Habari za wakati huu wanajamvi!
Kama ambavyo maada inajieleza, nataka kujua taratibu za kupitia ili niweze kufanya kipimo cha DNA. Yeyote anayejua anijulishe tafadhali
Msongo wa mawazo ni jambo la kawaida linalowapata angalau mwanamke (wamama wapya) mmoja kati ya nane. Dalili zake ni pamoja na kusikia mchovu, kulia, mwenye shahuku, mnyonge na mabadiliko ya kula...
Kama ambavyo kichwa kinajieleza hapo ju.
kijana wangu leo anasiku ya saba tangu sikio lake la upande wa kushoto lizibe yani anashindwa hata kutembea.
chanzo,ilikua usiku wa kuamkia jumapili tar...
Habari nipo DSM natafuta hospitali yenye specialist wa magonjwa ya ngozi fungus chronic.
Kwani nimechoka kwenda kwa hawa ma doctor general tatizo langu hailishi.
Kwa kichaga (cha kwetu) Rung'u maana yake ni chui, kwa hiyo sijajua kwa lugha nyingine unaitwaje na unaweza kua na majina mengine maeneo mengine kwa hiyo hilo sio jina rasmi nje ya kwetu
Uko kama...
Katoto kamiezi nane kamegoma kula chochote hata ukimkaba anatapika chakula chote,
Cerelac
Uji
Mtori
Juice(embe,papai,parachichi)
Anatumia dawa ya malaria huenda ndio inamfanya ashindwe kula...
Habari za hapa,
Mwanangu ana umri wa miaka sita anasumbuliwa sana na kifua ambacho hakiponi, nimejaribu kumpeleka hospt lakini hakijawahi kupona zaidi ya kutulia kwa siku kadhaa.
Habari Wana Jf Doctors
Kama kichwa kinavyojieleza hapo ni kwamba Nina mdgo angu Miaka zaidi ya saba imepita tangu mdgo angu aumwe na nyoka ambae hutukufaham ni wa aina , ailiumwa akiwa anaenda...
Kukosa hamu ya chakula, kichefuchefu na kutapika.
Kuwa mdhaifu, mwili kuchoka na kupungua uzito.
Kuvimba miguu,mikono au/na usoni karibu na macho.
Shinikizo la damu lisilozuilika hasa kwa umri...
Habari,
Kwa majina mm ni robert napatikana manyara kwa sasa.. Shida kubwa na changamoto ninayopitia ni kuwa nina tatizo la figo imekufa kabisa nafanya dialysis nina mwaka na nusu sasa.
Tatizo...
Habarini wanajamii,
Mkewangu nikisex nae anachubuka kwenye mashavu ya uke na anasema anapata maumivu na ameniambia kuwa nina uume mkubwa na anasema afurahii kabisa tendo nahofia kuachana nampenda...
Natumai mu wazima,
Mpenzi wangu akiingia kwenye mzunguko wa hedhi anatokwa damu nyingi sana hadi hufikia mpaka kuongezewa damu. Hali hii ikianza yaweza kuchukua hadi wiki 3 bila kukata, nampenda...
Waungwana wasalaam kwenu ebunaomba kujuzwa hilijambo nisilo lielewa sana kuhusu mpango uzazi. Najua kuna njia nyingi sana ila nahofia madhara kwabaadhi yanjia nyingine mfano za vitanz shindano...
Habari wapendwa bila kupoteza mda niende moj kwa moja kwenye mada wakuu.
Jana tarehe 25 ilikuwa ndio mara yangu ya kwanza ku do sex, sikuwai katika maisha yangu ila yaliyonikuta yamenifanya...
Licha ya dalili za awali zinazotambulika tangu wimbi la kwanza, pia kuna dalili nyingine zinazogunduliwa na madaktari hivi karibuni, ambazo zinahitaji uangalifu.
Madaktari nchini India wanaamini...
Pata Mapumziko ya Kutosha,
Kujifungua kwa njia ya upasuaji ni upasuaji mkubwa. Kama ilivyo upasuaji mwingine, mwili wako unahitaji mda wa kupona baada ya hapo. Tegemea kubaki hospitali kwa siku...
Wakuu napitia hali ngumu Sana.
Mwezi wa 11, nilikuja nkapata shida moja, yaani iliniperekea kupata stress, anxiety na totally ubnomal.
Sijakaa Sawa mwezi wa 12 nkafukuzwa kazi, aisee niliumia...
SUMUKUVU, VICHOCHEZI,
MADHARA YAKE NA UDHIBITI
________________________________
______
19 AUG, 2020
USUNGILO HOTEL
(Yusto Wallace)
Utangulizi
Shirika la Viwango Tanzania (TBS)
Ni shirika la umma...
Habari wapendwa,
Nasumbuliwa na maumivu ya kiuno na mgongo nilipima Dtk. kaniambiwa pingili za uti wa mgongo zimebanana chaajabu nimeanza kutibiwa tangu January hadi Leo nakunywa dawa kila siku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.