Sheria ya Mtoto inamtafsiri Mtoto kama mtu mwenye umri chini ya miaka 18. Watoto ni sehemu muhimu ya jamii na ndiyo tegemeo la uendelevu wa taifa lolote, hivyo hawana budi kulelewa vizuri na...
Fun fact kuhusu historia ya kisukari ni kwamba madaktari wa mwanzo kabisa waliweza kumtambua mgonjwa mwenye kisukari kwa kuonja mkojo wake!
Kisukari ni moja kati ya magonjwa ya kwanza kabisa...
Hili gonjwa lipo na siku ukibahatika kumuona mgonjwa wa COVID19,utataka siku hiyohiyo uchanjwe chanjo yake.
Kama hujaona ndugu yangu basi omba usione wewe kubali kuchanjwa tu siku ikifika uachane...
Kuna Mwanamama ana uja uzito wa miezi mitano kuelekea wa sita sasa, tatizo lake ni kwamba sehemu zake za siri zimekuwa kavu mno hakuna ute ute, ni ujauzito wake wa tatu hii hali haijawahi kumtokea...
Kawaida dozi huwa inaandikwa kwa siku na siku ina masaa 24. Kwa hiyo ikiandikwa vidonge 2 mara 3 maana yake masaa 24 uyagawe kwa 3. Hapo unatakiwa kunywa dawa kila baada ya masaa nane na si...
Habari wadau,
Leo nimeamua kuingia kwenye hii fani ya udaktari ili nami niweke neno kaa hapa chin basi uongeze maarifa. Ok nadhan kila mtu anajua kwa sasa kuna vuguvugu la chanjo dunia mzima tena...
Matatizo ya miguu au mikono kuhisi ganzi au maumivu husababishwa na kuumia au kudhoofika kwa Neva za pembezoni mwa mwili (peripheral neuropathy), hivyo kusababisha kupotea kwa uwezo wa kufanya...
BY Mfalme Hadithi
NINI MAANA YA HEDHI?
Hedhi (kutoka Kiarabu حيض) ni kipindi maalumu katika mzunguko wa mwanamke mwenye umri wa kuzaa. Wakati huo, ambao kwa kawaida unarudi kila baada ya mwezi...
Matumizi ya dawa yasiyozingatia muda uliopangwa yameelezwa kuingilia ufanisi wa kiambatahai kilichomo kwenye dawa husika ambacho husababisha athari mwilini.
Kiambatahai hicho huwekwa katika kila...
Wapenzi habari zenu..
Kuna mtoto wa 5 years huwa akibanwa Hana ghafura huachia mzigo bila hata kuubana .
Kuna muda utamchapa lakini ukimchapa asubuhi mchana anarudia Tena , ukifanya hivyo jioni...
Habari,
Nimekuwa nikisimama kwa Muda mrefu kwenye shughuli zangu.
Miguu kwenye unyayo inauma...nlienda hospital wakanipima kisukari (5.7) na Syphilis (non reactive)
Doctor Akanipa paracetamol...
Wadau,
Kama wiki mbili zilizopitwa nilipatwa na mafua makali na homa, nikadhani ni hali ya kawaida nikimeza Coldril nitakuwa poa kama ilivyo ada yangu ikizingatiwa nina allergy na suala la mafua...
X-radiation (imetengenezwa na X-rays) na inatokana na electromagnetic radiation. X-rays mara nyingi zina wavelength kati ya 0.01 na 10 nanometers, ikiwasiliana na frequencies kati ya 30 petahertz...
Ndugu wanajamvi, huyu mwanamke ni jirani yangu! Ana kichanga cha miezi tisa (9)!
Alinieleza njia ya uzazi aliyokuwa anaitumia ni ya kalenda! Sasa kuna kulingana na mabadiliko ya mazaringira kumbe...
Wataalamu wa Uholanzi wametengeneza virusi vinavyotishia maisha ya nusu ya watu wote duniani. Habari hiyo imefichuliwa na gazeti la Corriere della Sera la Italia ambalo limetangaza kuwa wahakiki...
Viongozi huunda mataifa yetu, jamii, na mashirika. Tunahitaji viongozi bora watusaidie kutuongoza na kufanya maamuzi muhimu makubwa ambayo yanafanya ulimwengu kusonga mbele.
Kiongozi bora ana...
Kwanza kabsa hongereni kwa kulijenga Taifa.
Mimi nina shida moja ambayo siielewi naomba madokta mnisaidie, kuna hospital moja kubwa tu kila mwanafamilia yangu akienda kupima malaria kwenye hiyo...
Walimu wa vyuo hasa hivi Vyuo za utabibu jaribuni kuwa na mpangilio mzuri wa ufundishaji maana kuna baadhi ya wanafunzi wanakua wanarudi nyumbani kutokona na mpangilio mbaya wa mtaala na ratiba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.