Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Wakuu habari zenu? Bila kuzunguka sana, ninaomba ushauri wenu kwa mwenye uelewa zaidi wa hizi chanjo za hepatitis B & C. Je, hazina madhara yoyote ya kiafya mwilini ikizingatiwa ni unakaa nayo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Wanajamvi mimi nikijana ninahisia zote na lijali kabisa tena nikiwa sita kwa sita naweza piga mpaka nyayoo 4 nakuendeleaa sasa tatizo nikipizzz naona msisimko na ilee halii ya urahaa umepungua hii...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Jamani naombà msaada wa tiba ya huu ugonjwa kwani maumivi take niakali hata antipain zimenigomea. Huwa inamisumbua kwemye femar pamoja na paja na goti . kila Sawa nikitumia maumivu uayakati na...
0 Reactions
6 Replies
912 Views
Hyperdontia ni ugonjwa unaosababisha meno mengi yaote kinywani kwa mfumo usio wa kawaida. Kwa kawaida mwanadamu huwa na meno 32 ambayo huitwa ‘Permanent teeth’ Dalili za ugonjwa huu ni kuota meno...
2 Reactions
0 Replies
5K Views
Hello wanajf, Bado siku 1/2 hivi tukacheze duduke[emoji39][emoji16] Naombeni mnijuze ni sawa? Mimi ni mjamzito wa week 23 sasa ratiba yangu ya kula kila siku Asubuhi mayai mawili nachemsha na...
4 Reactions
31 Replies
7K Views
Natumani tumeunza mwaka salama , ndg zangu naomba mwenye makala yanayoielezea hosptali ya indumandal kwa lugha ya kiswahili aniwekee hapa. Pia naomba kwa anaefahamu gharama zao za kujifungua kwa...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Nasumbuliwa navidonda vyatumbo takribani km miaka miwili sasa'kwahyo naomba km kunamwenye kuweza kunisaidia kwakunifahamisha dawa yakunisaidia ili hili tatizo langu liweze kupona nakuisha kabisa...
1 Reactions
24 Replies
8K Views
Habarini waungwana! Hivi pumbu hususani moja, kuwa kama inatembeatembea (kuzunguka zunguka, kupanda na kushuka) hivi (kidogo kidogo) huwa ina maana gani? Ni tatizo tu la kiafya au kawaida kwa...
2 Reactions
29 Replies
5K Views
Wataalamu wa masuala ya uzazi naomba elimu na msaada hapa. Watu husema mficha maradhi kifo humfichua. Ukweli Ni kwamba, Sisi wa Afrika tunapenda Sana watoto, tena watoto wengi. Tuna watoto...
0 Reactions
70 Replies
7K Views
Habari Wana JF, Tumbo langu limekuwa na tabia kunguruma hasa mida ya asubuh napokuwa sijala kitu, kwa ufupi nikwamba lina nguruma ninapokuwa sijaweka chochote tumboni. Mwenye kujua chanzo na...
1 Reactions
8 Replies
4K Views
Mtoto jino limeotea juu hivi wataalamu wa afya nishaurini cha kufanya
0 Reactions
1 Replies
702 Views
Habari wadau. Naomba msaada wenu kujua tatizo ni nini, chanzo chake na matibabu yake. Ndugu yangu amekua na tatizo la kuuma ulimi wake pindi awapo usingizini. Bahati anauuma kwa meno yote ya...
0 Reactions
1 Replies
5K Views
Kama kichwa kinavodai mie nimevutiwa na huu mmea haswa kutokana na tabia za watu niliokaanao ambao wanatumia niwatu wapole saana na hawajali maisha ya watu yaaani wanajalii yao tu pia sijawai...
1 Reactions
76 Replies
11K Views
Wanajukwaa naomba msaada wenu, nimekuwa nikiumwa na kichwa kwa muda mrefu ila sasa kimezidi naomba mnisaidie itakuwa shida nini???
1 Reactions
16 Replies
3K Views
Kwanza poleni na majukumu nimgependa kujua muda bora wa kutumia pantoprazol 40mg tab kwa ajili ya kuifanya ifanye kazi vizuri.Je ni bora kula nusu saa kabla ya kula usiku au nusu saa kabla ya kula...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kwanza poleni na majukumu nimgependa kujua muda bora wa kutumia pantoprazol 40mg tab kwa ajili ya kuifanya ifanye kazi vizuri.je ni bora kula nusu saa kabla ya kula usiku au nusu saa kabla ya kula...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari wakuu, Jamani sijui ni ugonjwa au ni nini maana nikinywa chai yenye tangawizi iwe imewekwa majani au tangawizi peke yake huwa napata kwikwi sana, naweza mwanzo wa chai hadi mwisho napata...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Tafadhali naomba msaada wenu Madaktari au kwa yeyote anayejua! Zamani nilikuwa na imani kwamba mtu anayestahili kuota mvi ni mtu wa makamo hasa kuanzia miaka 60 na kuendelea, lakini siku hizi...
0 Reactions
24 Replies
19K Views
Kwa utafiti wangu mdogo, barakoa zinazuia upumuaji mzuri na uingiaji mapafuni wa hewa safi ya kutosha. Kama mtu ana tatizo la kupumua, kumwambia avae barakoa ni kuzidi kumwongezea tatizo la...
2 Reactions
1 Replies
856 Views
IF YOU ARE ABOVE 40YRS OF AGE THIS IS FOR YOU HEALTH HINTS FOR YOU A. Two things to check as often as you can: (1) Your blood pressure (2) Your blood sugar. B. Six things to reduce to the...
22 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom