Habarini, naomba niende moja kwa moja kwenye tatizo langu huenda nikiandika naweza kupunguza yaliyopo kichwani na moyoni. Mimi ni Me26 Kuna tatizo linanikumba tofauti na awali nikikutana kimwili...
Hii ni nzuri hasa kwa Sisi tuliokuwa kwenye Mfungo, na hata kwa wale Heshima iliyopungua Nyumbani.
MAHITAJIO
- Tende 1kg,
- Maziwa fresh mabichi 1ltr,
- Parachichi Moja lililoiva vizuri,
-...
Nina mtoto wa kiume wa miaka miwili na nusu hapendi kula kabisa. Nimempima minyoo na haumwi chochote lakini kula kwake ni kwa shida mpaka umlazimishe. Inaweza ikawa nini?
Nifanyeje arudi tena...
Dear Doctors,
Kila nikiamka asubuhi nina mafua na chafya nyingi sana. Yani hii inaniumiza na situmii dawa yoyote kwa mazoea tu.
Pia muda mwingine kama mchana/ jioni nayapata kutokana na...
Hey ndugu zangu, nawasalimu wote.
Binafsi nina allergy na vumbi pamoja na vitu vyenye harufu kali. Hata ikitokea nimeweka nguo safi kabatini lakini ikichukua muda mrefu pasipo kuivaa, siku...
Prostate anlargement (kuvimba kwa tezi) ni ugonjwa unaosumbua wanaume wengisana kwa sasa,pindi tezi zinapopata maambukizi ya bacteria huwa zinaanza kuvimba.kuvimba huko husababisha kusinyaa kwa...
Wakuu wa Afya na technology Hivi mpaka sa hivi hakuna Vifaa vingine mbadala vya ile Urinary Catheter Ya kuingiziwa kwenye tundu la Uume?, Mfano iwe lenye lock au hata yaki plaster unayoweza...
Hivi ni kwanini uume wangu ukimakiza kusimama nasikia haja ndigo? Je! Kinachokuwa kimesimamisha uume ni mkojo au ni damu ambayo uingia kwenye mirija ya uume?
Wakuu habari za usiku huu!
Kuna rafiki angu alipata demu (mpenzi) hivi punde wakafanya nae mapenzi kama siku tano kama sio sita.
Mwanzoni alikuwa anatumia kodom kila akifanya nae mapenzi ila...
Nini husababisha mtoto mdogo kuuma meno usiku? (yaani anakuwa kama anatafuna kitu wakati huo hana kitu chochote mdomoni ila unasikia kama meno yanasagana). Je, nini tiba yake?
Tafadhari Madaktari...
Drinking lots of energy drink is not good of your health.
If you drink too much it can also upset the balance of acid in your stomach by relaxing the oesophagus which can cause heartburn and...
10 C0ndom Mistakes You are Making, Thank Me Later
Putting on a c0ndom may have all the earmarks of being normal to you now, yet would you say you are truly doing it the right way? Disastrously...
Habari zenu wakuu,
Kuna binti mmoja mtoto wa shangazi yangu ana umri wa miaka 21. Alinijia kuniomba ushauri juu ya tatizo la kuchekacheka. Anasema huwa anacheka sana bila sababu tena hata kwa...
Habari zenu wadau,
Naomba msaada kwa anayejua Clinic au Hospitali ambayo nitakutana na daktari mzuri wa meno anayeweza vizuri mambo ya rootcanal treatment crowning ambaye suala la kung'oa jino ni...
Habari zenu wakubwa,
Naombeni msaada juu ya hili..Nimekuwa nikisumbuliwa na maumivu ya kichwa kila mara. Nimejitahidi kutumia dawa za kupunguza maumivu hazisaidii. kwenye vipimo naambiwa sina...
Habari wapendwa,
Napenda kuuliza na naomba msiidie nimekua na uchungu saana sehem ya juu ya mdomo sasa nakaribia mwaka na tatizo hilo kiasi cha kunifikirisha saana,tatazo lenyewe hua linatokea...
Habar wakuu naomba kuuliza Kama umekunywa hii dawa ukanywa pombe kwadharura Kuna madhara yoyote ya Mara moja ? [emoji120][emoji120][emoji120]
Asante
Msaada waharaka wakuu nimepata kadharura....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.