-Je, kuna tatizo kama uume haujadinda wakati mwanaume yupo usingizini, na pale aamkapo asubuhi?
-Dr. Ndodi amewahi kusema kuwa NI DALILI ZA UKOSEFU WA NGUVU ZA KIUME kama UUME UTAKUWA UMELALA...
Habar wana jf,
Niende moja kwa moja kwenye maada yangu hapo juu , hilo tatizo la macho kila mara ifikapo usiku macho yangu huwasha sana na kusababisha nijikune na kupelekea mpaka kuwa mekundu...
Naombeni msaada ni dawa ipi nitumie kutibu UTI maana maranyingi nasikia maumivu ya kiuno lakini Sasa naona naanza kutoa usaha kwenye uume halafu Kama nakojoa mkojo unatoka kwa shida na kwamaaumivu...
Habari za muda huu wakuu?
Recently mwanangu amekua na shida, ana miaka 2 kasoro lakini hajaanza kuonyesha dalili za kusimama wala kutembea, mwanzoni nilidhani labda atakuwa kachelewa tu, lakini...
Habari za jioni,
Mimi ni binti wa miaka (20), kwa muda wa kama wiki sasa masikio yangu yamekuwa yakiunguruma kwa ndani kama sauti za magari hivi,mpaka kuna wakati nashindwa kusikia vizuri. Nakosa...
Hivi wadau, punyeto inaambukizwa ama ni ukuaji ambao kila binadamu lazma apitie? Hivi mtu anaanzaje kujua kwamba akijisugua ndio atapizi, how did it start yani?
Kujeni tupeane mawazo
Habari zenu,
Nakuja tena nikiamini hapa nitapata msaada kama ninavoendelea kupata kutoka post na majibu yenu. Dhumuni l uzi huu ni hivi, wife ni mjamzito wa miezi 6 unaendea wa 7 lakini mwili...
Kama mada inavyojipambanua kuwa ni swali. Nimekutana na wadau wa masuala ya afya wakijadili kuwa ati kuna binadamu wana ukosefu wa kitu gani sijui kwenye damu yao na hivyo kuwafanya hata...
Most people assume that blood is involved in HIV testing. But with OraQuick an oral swab is used for testing and requires no blood. By collecting oral fluid from your gums, you collect fluid...
Nahitaji nifahamu inachukua mda gani mbegu ya kiume kuishi ndani ya mwili wa mwanamke baada ya ejaculation pia ovum linaishi mda gani baada ya ovulation.
Ndugu wanaJF naomba msaada wenu, nina ndugu yangu kwa sasa amegundulika kwamba ana matatizo ya kutoweza kuhisi arufu yoyote( i mean sense of smell zimekufa) akiwa nyumbani hata itokee arufu gani...
Assalam wadau
kijana wangu ana vipele sana usoni ni vidogovidogo tumetumia sabuni hatujafanikiwa, tukampaka mafuta pia jibu ni ziro. huyu kijana ana siku 50 na kapatwa na hali hii akiwa na siku...
Wakuu,
Za mida?
Moja kwa moja kwenye mada, siku chache zilizopita nilikua nikiugua kikohozi na mafua, nilipona kwa njia za kienyeji kwa kutumia tangawizi na malimao lakini tangu nimepona...
Habari wana jukwaa,
Msaada tafadhali kwa anaejua au ambae alishatumia juice za forever living (za wakubwa)! je mtumiaji akitumia pombe(wakati bado anaendelea kutumia juice) ni kosa? je kwa mama...
Wanajamii wenzangu poleni na majukumu ya maendeleo
Mke wangu ni mjamzito wa wiki 42 n sawa na miezi 10 na wiki 2 lakini hanatatizo la haina lolote kwa kipindi xhochote na nmecheki ultrasound...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.