Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Ndugu zangu, Nafikiria kufungua duka la Dawa.Naomba anayejua Vigezo na Vibali vinavyohitajika anifahamishe. Vilevile naomba kufahamishwa na Dawa za Msingi na zinazouzika haraka. Duka la Dawa...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Naomba niulize jaman kuna mtu alisema kuwa mwanamke akimaliza kufanya tendo la ndoa akinywa maji mengi anaunguza mbegu za uzazi hivyo haziwezi kutunga mimba je kuna ukweli wowote? Saidia
0 Reactions
137 Replies
82K Views
Doctors msaada jamani nina makohozi yasiyoisha yaani nakereka hapa kooni nikiswaki lazima makohozi yatoke,samtymz inanibidi kufanya kama nakohoa au nagunaguna kupunguza kohozi kooni. Imekua hivi...
0 Reactions
18 Replies
21K Views
Kuna njia nyingi sana ambazo hujaribiwa na watu ili kupunguza mwili na tumbo lakini zinakuwa ngumu sana au zinakuwa haziendani na mazingira wanayoishi hivyo kupelekea kushindwa njiani. Zipo njia...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Ndugu zangu mimi ni kijana mwenye miaka 31. Ni zaidi ya miaka mi5 sasa nimekuwa na maumivu katikati ya maungio ya kiuono na mbavu. Dalili nilizo kuwa nasikia 1. Uchovu wa mara kwa mara. 2...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
NINI MAANA YA MTOTO KUZALIWA NJITI? Watoto njiti ni wale ambao huzaliwa kabla ya wiki 37 za ujauzito. Inakadiriwa watoto Milioni 15 huzaliwa kabla ya muda kila mwaka duniani, ikimaanisha kati ya...
0 Reactions
6 Replies
7K Views
Wanajukwa wasalaam, Pamekua na matangazo mengi ya biashara ya dawa za kuombeza maumbile ya kiume kwenye mitandaoni na mitaani sasa sijui pengine mamlaka husika imedhibitisha ama Ni miongoni mwa...
1 Reactions
5 Replies
7K Views
Kama tulivyopata taarifa jana jioni ni kuwa mapacha wale walioungana kiunoni ila kila mmoja akiwa na moyo wake na kichwa chake wamefariki dunia, taarifa zilizokuwa zimezagaa mtaani ni kuwa mmoja...
15 Reactions
88 Replies
13K Views
Mtu ana Shida zake za Kiafya pangine kwa 'Urijali' wake na kuwa Mwanamume 'Shujaa' kwa bahati mbaya kapata Moja ya Magonjwa ya 'Zinaa' ambayo kwa Mwanaume aliyekamilika ni lazima awe anayapata...
3 Reactions
12 Replies
2K Views
Aman iwe nanyi wapendwa, Najua kila kitu kina faida na madhara yake, hivyo kwa tanga wizi ina faida mwilin Leo wadau nilikuwa naomba kujua madhara ya tangawizi Nawasilisha LONDON BOY
0 Reactions
4 Replies
25K Views
Sijajua kwa Mikoa mingine bali kwa Mkoa niliopo wa ‘ Wajanja ‘ na ambao Mimi GENTAMYCINE ndiyo nasema Mji Mkuu wa Tanzania (na siyo Dodoma ) kuna ‘ Kajitabia ‘ ka Kipuuzi nimeanza Kukaona na naona...
8 Reactions
29 Replies
8K Views
Thread is deleted
1 Reactions
12 Replies
4K Views
What Is Mental Health? Main page content Mental health includes our emotional, psychological, and social well-being. It affects how we think, feel, and act. It also helps determine how we handle...
0 Reactions
0 Replies
884 Views
Habari za jioni? Miezi sita iliyopita mke wangu alijichoma sindano ya mtu aliyeathirika,wife ni muhudumu wa afya akaanza kutumia pep lakini zile pep zilimsumbua sana ikabidi abadilishiwe. Baada...
3 Reactions
55 Replies
14K Views
Hivi inaposemekana kwamba mwanaume aliyeathirika kwa kupiga puchu kwa muda mrefu uume unakuwa kama wa mtoto. Sasa nikijaribu kuimajini kananilii kamtoto jamani inakuwa sasa iko vp dume la miaka...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Mama mjamzito wa wiki 7 anaweza kusafiri kwenda Mbeya Inyala karibu km 900 kwa bus au treni? Anatapika sana lakini amepewa metaclopamide imemsaidia kupungua kutapika ila tumbo linamkwangua sana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Umofia kwenu Sikumbuki niliwahi kusikia yawezekana mtoto ktk umri fulani yawezekana mzazi au mlezi ukaona vitu au viashiria flani kwamba huyu mtoto ukubwani mwake hatakua na uwezo wa kuzalisha au...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Sheria ya Usimamizi wa Vinasaba vya Binadamu ya Mwaka 2009, Sheria namba 8 kuanzia ibara ya 45 hadi 47 inaeleza taratibu za upimaji wa vinasaba kwa mama mjamzito, kijusi na mimba iliyotungwa nje...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wajuzi nisiwachoshe nina tatizo limejitokeza toka mwezi wa 12 kwa siku naweza kula chakula ata mara 5-6 na bado ndani ya muda mfupi njaa inarudia! hili tatizo nahisi linataka kuniyumbisha kiuchumi...
5 Reactions
58 Replies
46K Views
Wakuu, kuna dogo hapa anasumbuliwa na minyoo yaana anasema anahisi kuna mdudu anachezacheza kwenye njia ya haja kubwa hata akienda choo bado hali inaendelea/ hatoki. Binafsi nakumbuka nipo under...
0 Reactions
13 Replies
3K Views
Back
Top Bottom