Jamii Health (Jukwaa la Afya)

We care about your health! Uliza swali lolote la kiafya na wanachama wetu watakusaidia haraka iwezekanavyo. Kumbuka: Mficha maradhi, kifo humuumbua!
Leo ni siku ya tatu, tangu mwanangu aanze kuharisha. Sijajua sababu ni nini. Kabla sijampeleka hospitali, naombeni msaada wenu wa mawazo. Kwa maana umbali hadi hospitali ni maiili nyingi mno, na...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Mafua yanasababishwa na simple virus, virus huyu ni simple kiasi cha kuweka kuuliwa na kinga ya mwili. Huambukiza kwa njia ya hewa, incubation period huchukua siku 3-7. Hushambulia epithelial...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Miezi 3 iliyopita nilibahatika kupata mtoto wa kike. Baada ya hapo sikuruhusiwa kulala na mke wangu kwa miezi mitatu mfululizo. Ndani ya miezi hiyo yote mitatu mtoto alipelekwa klinic na uzito...
1 Reactions
31 Replies
6K Views
JF Doctors nauliza, je! Yana matatizo kiafya? Maana yamesemwa mengi, mengine yanatisha. Kwenu wataalamu wa Afya!!
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Kuna kipindi hapo nyuma wiki iliyopita nliweka post hapa Kidole changu kimevimba na kinauma ,Nilienda hospitalini waliniambia nitumie dawa za ammoxylin na panadol lakini hazikusaidia...
17 Reactions
34 Replies
16K Views
1) Je, kuna uwezekano wa mama aliyejifungua kupata ujauzito baada ya hedhi kutoka? (siku mbili baada) 2) Je, kuna madhara gan kwa mama anaye nyonyesha kutumia vidonge vya uzazi wa mpango...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Ilianza vipele vidogo sana alafu vyekundu usoni karibu na pua mara baadae nikaviona tena chini ya jicho kesho yake asubuhi vikawa vimeshajaa maji japo sio vyote, lakini naona kama vile...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Naumwa na kichwa siku ya nne leo yaani hakisikii dawa kinanitesa sana. Nikilala kinatulia nikiamka kinavuta sana sijui tatizo nini. Kesho nitaenda hospitali.
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini za mida, naomba kuuliza maumivu ya tumbo huchukua muda gani baada ya kusafishwa? Sent using Jamii Forums mobile app
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habarin za mida polen na majukumu nilikuwa napenda kujua kuna demu ametoa mimba alipewa kidonge kimoja cha kutoa na kingne akaanbiwa inabidi akiweke huku chin.Ila hakubahatika kukiweka ila leo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Watu wengi tumekuwa hatutumii bamia either kwa ladha yake au tu kasumba ya kuona bamia ni MBOGA ya walalahoi ! Leo naomba ufahamu bamia kama moja ya mboga za majani ndio MBOGA yenye uwezo wa...
2 Reactions
22 Replies
8K Views
Habari za usiku wana JF, mke wangu ana mzunguko wa hedhi wa siku zaidi ya 35, sasa sijui siku yake ya hatari ya kushika mimba. Msaada tafadhali
0 Reactions
1 Replies
4K Views
CORONA VIRUS ni virusi vinavyotokea kwenye familia iitwayo Coronaviridae, na vimepewa jina hilo kutokana na muonekano wake wa "Crown-like projection" chini ya light microscope. Virusi hivi...
3 Reactions
10 Replies
3K Views
Umofia kwenu wakuu! Hivi unaweza share experience yako baada ya mwanao kuzaliwa na siku kadhaa akadondoka kitovu ulifanyaje? Ulimpa Mzazi wako hicho kitovu au ulikiteketeza mwenyewe na mkeo/...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Kwanini jinamizi linatokea ukiwa umelala na ni nini dawa yake? =========== Nadharia: Jinamizi kwa kiingereza Nightmare ama waweza sema ndoto zisizo za kawaida kama vile za kutisha na...
0 Reactions
293 Replies
91K Views
Dunia itahitaji ongezeko la wauguzi na wakunga milioni 9 ili kutimiza ahadi ya kutoa huduma za afya kwa wote ifikapo mwaka 2030. Haya yamethibitishwa na Shirika Afya ulimwenguni WHO WHO na wadau...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini wanaJF Mjamzito wa mwezi mmoja, hali ya kuumwa tumbo kama kichomi alafu kinakata na papuchi kuvuta fulani hivi ni kawaida kwa miezi ya mwanzoni? Na nikila nikashiba kitumbo kinajaa kama...
0 Reactions
40 Replies
4K Views
Nahitaji msaada, ni siku nyingi zilikuwa zimepita bila kufanya mapenzi na mwanamke yoyote ila hivi karibuni nilikutana na binti ambaye nilianza mahusiano naye. Ni muda hajawa na mtu hivyo...
0 Reactions
14 Replies
6K Views
Dawa nzuri ya fungus inayotoa kama utangotango ni ipi? Msaada
0 Reactions
7 Replies
4K Views
Back
Top Bottom