Mke wangu ni mjamzito wa miezi 6 kuelekea 7. Jana ameenda kupima damu majibu yamekuja ana damu 7.5 na wakasema ni ndogo sana ni hatari kwa maisha yake. Leo amepeleka majibu hayo cliniki, kwanza...
Binti yangu amemaliza Form 4 mwaka jana. Sasa hivi amepata mimba halafu tukimuuliza hiyo mimba ni ya nani, anasema alipokuwa period alipewa pedi na rafiki yake baada yakutumia akajikuta ana mimba...
Mke wangu ni mjamzito wa miezi 10 hivi sasaa...Yaani amepita tarehe yake ya makadirio jana tarehe 29.
Cha ajabu ni yeye kutohisi chochote.Ni juzi tar 27 kama sikosei ndio alianza kutokwa na maji...
Habari zenu wakuu ninaomba muongozo nina mdogo wangu ana ujauzito wa wiki 40. Anapata maumivu makali chini ya kitovu na nyuma kwenye nyonga kama dalili za uchungu Ila ni usiku tu.
Halafu hiyo...
Jamani, mimi nina tatizo la kutokuota nywele kichwani katika baadhi ya maeneo na nywele zinakuwa zikichomoka au zinaota zikiwa dhaifu sana hadi sasa ni mwaka mmoja tangu tatizo limeanza, katika...
Hapo zamani wazee wetu walikuwa hawajui haya mambo ya tiba za kisasa wengi wao wao walikuwa wanajitibia kienyeji sana na wala hawakuwa wanasumbuka. Kama mfano mtu aliyevunjika alitibiwa kienyeji...
Habarini wadau? nina mpenzi wangu ambaye anasumbuliwa sana na chango la uzazi. madaktari wamemwambia dawa pekee ni kuzaa. je,kwa wazoefu wa maswala ya kiafya,ni kweli kuwa hakuna dawa yoyote hata...
Nimekuwa nikipata maelezo meengi kuhusiana na hizi bidhaa za GNLD na Forever living Products (FLP). Hasa za forever, jamaa wako mahiri sana katika kuelezea faida utakazo zipata pindi utakapo...
Wengi wetu hupumua bila tatizo hivyo hatuwazi namna mfumo mzima wa upumuaji unavyofanya kazi katika miili yetu na umuhimu wake. Hata hivyo, watu wenye ugonjwa wa pumu huhitaji kufuatilia kwa...
Habari wana JF.
Nilikuwa naomba msaada wa ushauri na tiba ya maumivu ya kiuno. Kama mwezi sasa napata maumivu ya kiuno ila sijajua chanzo chake nini.
Nakaribisha ushauri wenu,,Asante.
Sent...
Madaktari wa JF habari zenu?
Naomba msada wa Hili. Katoto kangu ka miaka 5 kanaumwa tumbo tangia juzi juma pili jioni. Alianza kulalamika tumbo linamuuma hadi kulia halafu akawa ana joto kali...
Nina mwanangu ana umri wa miaka 2 sasa. Hawezi kukaza kichwa wala hajaweza kukaa. Nimeenda hospitali hadi leo ni mazoezi tu tatizo hasa sijalijua.
Naombeni mwenye kuelewa anieleweshe nitashukuru...
Hello guys
Jamani nina shida jamani mama yangu anasumbuliwa na maumivu ya nyonga na miguu. X-ray inaonyesha kwamba mifupa ya nyonga imepekecha jamani imefika hatua now anashindwa kabisa kutembea...
Habarini wana JF naimani mko powa sana.
Me ni trainer pia Physiotherapist na deal mazoezi kwa ujumla na nutrion na dietitian mzuri tu kwa ushauri wa kupunguza weight na kugain weight pia
Nimeona...
Wacha leo niseme juu ya hii kitu
1. Kwanza ni nini? Jina lake ni utoko kwa Kiswahili sanifu kabisa, tofauti na wengi hasa waislam (samahani lakini ni kuelimishana tu maana wengine mtapanic hapa...
Habari wanaJF, naomba msaada wenu wa mawazo nimetokewa na vipele mwilini ambavyo vinawasha sana. Vilipoanza kujitokeza nilijua ni fungus so nilitumia dawa ya kupaka ya fungus lakini bado...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.