Wadau wa JamiiForums,
Kwa anayejua tafadhali mmea huu wa Muarobani. Nimepata taarifa kuwa unatibu magonjwa mengi sana, naomba anijuze na kinachotumiwa ni nini; Mzizi, Majani au Gamba lake?
Habarini za weekend hii?
Tatizo langu ninaloliwasilisha hapa ni juu ya mtoto wangu kuwa mzito kuzungumza au kushindwa kunyoosha sentensi vizuri ili aeleweke kama ilivyo kwa watoto wengine.
Kwa...
Lets say siku za hatari unaanza tarehe 24 December, then tarehe 23 usiku ukasex tarehe 24 mchana ukanywa P2 mbili na Fragile 2, January ukapima mimba ipo.
Hii ikoje wataalamu?
Na je mtoto...
Habari za asubuhi wanaJF,
Jamani naomba ushauri wenu was mawazo kwa anayejua hata dawa ikiwezekana. Sikio langu la kushoto linanguruma na kutoa milio tofauti kama magari hivi.
Jamani nakosa raha...
Hi! Guyz,habari ya jumapili wapendwa,
Natumai wote ni wazima wa afya.
Kuna kitu cha tofauti kmetokea kwa my shkiki, i mean mpenzi wa mimi, naomba nielezee tatizo lenyewe.Ni kwamba kawaida...
Habari zenu wandugu,
Direct to the point. Mimi ni mgonjwa wa heartburn/ gerd kwa jina lingine ambayo imeshakuwa sugu. Kiukweli nasumbuliwa sana ni muda sasa wa miaka takriban 6 hivi nimejaribu...
Habari za asubuhi wanajamvi,
Nimeleta uzi hapa naamini nitapata msaada wa kimawazo. Kwa kawaida katika makuzi ya watoto malezi yanatofautiana na hivyo kuleta tabia tofautitofauti baina ya familia...
Hivi mwenye kigugumizi huwa anasahau neno analo tamka? Au huwa hawezi kulimalizia kwa muda huo na kwa haraka
Mfano mwenye kigugumizi kutamka neno "UNASIKIA" yeye huanza u u u u u nasikia, hua...
Sina sababu ya kujiapiza. Maisha yangu siku zote naona fahari kuwasaidia binadamu wenzangu. Sisi binadamu ni viumbe dhaifu sana. Ukitoa utashi tuliojaaliwa sisi si kitu mbele ya wanyama kama...
Wakuu kila nikifua mara nyingi hutokea haya magamba mfano wa yale ambayo yanaota baada ya kubangua korosho lakini haya malaini laini.
Naepukaje hali hii maana inakeraga sana muda mwingine.
Picha...
Habari wanajukwaa
Jamani nimeona ni vema nikaja kuuliza humu nipate kufahamu.
Siku za karibuni nimekuwa na tabia ambayo ishakuwa sugu ya kunywa hichi kinywaji cha DRAGON kwa zaidi ya tatu kwa...
Kuna wanaume ambao huwa wanatumia dawa za kuongeza nguvu za kiume ambayo kiafya sio nzuri kwani inasemekana wengi huishia kuwa mzigo kwa wake zao/ wapenzi wao kwa kuwa jogoo hapandi!!
Kama wewe...
Ndugu zangu wataalamu wa Afya, naomba ushauri juu ya maziwa yanayofaa kwa mtoto mwenye umri wa siku 84
Mke wangu amemaliza likizo ya uzazi, na hivyo kuanzia Jumatatu ataanza kuingia office...
Habari za wakati huu wakuu, natumaini sote humu ni wazima wa afya, na kama kuna ambao labda hali zao kiafya sio njema Mungu awasaidie ili muweze kupata unafuu.
Nimeamua niandike huu uzi nikiwa na...
Habari wana jamvi poleni na majukumu
Kwanza niombe nipate msaada kidogo ili nikamilishe research yangu kulinda kazi za watu
Kwanza kabsa nimepewa kazi ya kufanya utafiti ili kufahamu mwanamke...
Sausages kill, new study warnsWhile Tanzanians are getting increasingly fond of sausages, a recent research has linked them with early deaths from cancer and heart diseases.People who regularly...
Habar za mida wakuu,
Binafsi huwa napenda kila Mwisho wa mwaka kufanya full body check up.
Naangalia mwili wangu unahitaji nini.
Naangali sukari mwilin.
Naangalia sumu ikoje mwilini.
Damu...
Habari, Nina imani kila mwanamke anapenda kuitwa mama na mwanaume anapenda kuitwa baba kwakuwa ni jambo la kheri nina imani pia sijakosea kulileta hapa.
Jf ni mjumuiko wa watu wengi na wenye elimu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.