Amani iwe nanyi wakuu!
Ni kawaida sana kwa kijana hasa wa kiume, (sijui kwa wa kike maana mimi ni wa kiume) kuota unafanya mapenzi na binti au mwanamke fulani hususani yule umpendae katika jamii...
Kwa mama mzee hasa aliekaa na tatizo kwa muda mrefu, yupo mkoani naogopa kumsafirisha maana anaweza akaja huku halafu tiba ikashindikana, so nataka niulize kwanza kwa Dr mwenyewe anielezee kama...
Inakuaje pale MTU umeoa mwanamke au umeolewa na unazaa mtoto ambaye hafanani kabisa either na Baba au Mama... Aidha, pia kuna uhusiano gani na kuzaa mtoto ambaye huendani naye kama bwai na iwe...
Nilianza kama utani, najishika chuchu mara nashusha mkono, nikaanza kujisugua clit raha niliyoipata inatembea na mawazo yangu kila ninapovua nguo, iwe naoga au nalala, yaani nikijikuta nipo mtupu...
Kwanza poleni na majukumu, pili naomba msaada mnieleweshe.
Mke wangu alikuwa anaumwa tumbo (mjamzito) tukaenda hospital akafanyiwa vipimo tukaandikiwa dawa akanunue lakini tunajaribu kuuliza...
Ndugu zangu, naomba kujuzwa hospital nzuri ya kutibu magonjwa ya watoto kwa hapa Dar es Salaam.
Kijana wangu anasumbuliwa na kifua. Nimezunguka hospital kadhaa bila msaada wa maana.
Anayejua...
Na Jane Mihanji
TATHMINI ya chanjo mpya ya Malaria iko katika hatua ya mwisho ya majaribio ambapo Oktoba mwaka huu, inatarajiwa kuingizwa sokoni. Hayo yalisemwa Dare s Salaam jana na Waziri...
Salaam wakuu,
Ningependa kusaidiwa maelezo ya kitaalamu kwanini muathirika wa Virusi vinavyosababisha UKIMWI hawezi pewa chanjo ya ugonjwa wa Homa ya Ini (Hepatitis B), kuna uhusiano gani?
Sent...
Msaada wenu
Mtoto miaka mitatu, sijui njaa, kiu lakini hii kitu ni kila siku. Mchana anapewa maji, maziwa, juisi na vinywaji mbalimbali, usiku piga ua, ataamka na kushusha kilio kuomba juisi...
Habari wakuu,
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kuna binti wa ndugu yangu tunalea. Ana miàka 12 sasa.
shida aliyonayo ni huwa anawashwa sana sehem za siri baadhi ya siku. Kapelekwa hospital...
Maambukizi katika mfumo wa uzazi wa mwanamke kwa kitaalamu Pelvic Inflamatory Diseases au kwa kifupi PID, ni moja ya matatizo ambayo huwaathiri sana wanawake. Kwa kawaida maambukizi haya huusisha...
JF habari zenu,
nimeamka asubuhi nimejikuta na hii hali kidaka tonge kimeongezeka urefu mpaka muda mwingine kinakuja nigusa katika ulimi. Anayefahamu hili naomba kupatiwa muongozo na msaada wa...
Ukiwa na UKIMWI kifo kiko mlangoni pako. UKIMWI unafungulia kifo kwa haraka kupitia magonjwa mengine kama cancer, TB, BP n.k
Ukipima na ukabainika una VVU hapo stresses unazichochea, na...
Habari wakuu,
Kijana wangu wa miaka 8 alizaliwa salama cha ajabu sasa hivi mguu umepinda.
Nilienda hospitali tukaambiwa mguu wake haujaunganika kwenye goti, nikampeleka Bugando ili afanyiwe...
Kwa wale wataalamu wa haya mambo, tusaidzane.
Kumekuwa na nadharia/ maoni/ hoja mbalimbali kuhusu usahihi wa kipimo cha HIV. Wapo wanaosema eti kipimo kile hakiwezi kusoma katika baadhi ya...
Habari Wana JF,
Mke wangu anasumbuliwa na ugonjwa ambao unafanana na pumu lakini Hana historia ya kuwa na pumu.
Mwezi wa nne alibanwa na kifua, alikuwa anahema kwa tabu sana na akihema Kuna...
Kwa hali hii wengi tutabaki njia panda, katika pita pita zangu (vituo vya dala dala Ubungo, Tegeta, Buguruni) mekutana na watoa mada juu ya matumizi ya kondom, huwa wanazijaza maji, wanaweka yai...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.