Mashindano ya magari maarufu kama formula one F1 hufanyika kwa kuhama hama
Kutoka nchi moja kwenda nyingine,kwa mfano race itafanyika Malaysia halafu inafanyika Brazil,swali langu ni kuwa hivi...
Cheka na Kitime anaandika kuwa pamoja na sheria 17 za soka za FIFA kuwepo, enzi za utoto wetu kulikuweko na sheria za soka ambazo ndizo zilizokuwa zinatambuliwa: Hizi ni pamoja na
Mwenye mpira...
KUNA ule usemi wa Kiswahili usemao, ‘Matendo hukidhi haja maridhawa, kuliko maneno'. Lakini pia kuna ule mwingine wa, ‘Maneno matupu hayavunji mfupa'.
Hii ni misemo miwili ambayo...
Hivi Messi kafanya nini kikubwa zaidi ya Muller, Roben au hata huyo James Rodriguez?
Kama kuibeba timu Di maria ndio alikuwa anaibeba timu.
FIFA wamezidi upendeleo!
Legendary rally driver Björn Waldegård dies in Sweden
A rally driver during a past Safari Rally competition. Rally driver Björn Waldegård, 70, who won Kenya's Safari Rally four times when it...
Nilikuwa wa kwanza kuipongeza simba ilipotufunga kwenye mtani jembe, nikawa wa kwanza kuupongeza huongozi mpya wa simba ulioingia madarakani, nilidhani wamekuja watu ambao wanapenda kuendeleza...
Champs Upper Hill stay on track
Upper Hills Joshua Okeyo Joshua attempts to shoot past opponents from Kuajok Highs School from South Sudan during their boys basketball quarter-final match at...
Hii timu baada ya kuchukuliwa na babu Jan Poulsen imekuwa kama homa ya kipindi, tunashindwa hata na Chad nyumbani?
Tatizo mi silielewi kama ni kocha, mfumo au wachezaji wanaounda kikosi hicho.
nikiwa mdau wa mpira wa miguu nawaombeni sana hasa uongozi wa juu kutowafuata hawa viongozi wa chini kwenye klabu nakumbuka rais aliwambia azam mnaweza ila msiegemee kwa simba na yanga mtashimdwa...
Jamal Malinzi amesema hayo kupitia akaunti yake ya Twita
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limetangaza nia ya kuandaa fainali za Mataifa ya Afrika za 2017 baada ya kujitoa kwa Libya kutokana na...
Wakati TFF ilikuwa ifunge usajili wa Ligi Kuu Bara usiku huu, taarifa inasema siku mbili zimeongezwa.
Kuna taarifa Shirikisho hilo limeamua kuongeza siku mbili za usajili sasa utafungwa tena...
Hivi mnahitaji World class Players ili kuifunga timu kama MK DONS... Watu Wa Man Utd hebu tuambieni timu yenu inakosea wapi.
===================
Just hours after welcoming Manchester United's...
Kuna hii article ya Gab Marcoti ninaiweka hapa kuonyesha Biashara za Pwagu na Pwaguzi wanazofanya Man United kwa sasa...
Gab Marcotti goes inside the Angel Di Maria and Mario Balotelli deals -...
Dirisha dogo la usajili linafungwa leo saa 5: 59 mpaka sasa yanga ina wachezaji sita wa kigen ambao ni jaja,continho, niyonzima, kihiza,okwi, na mbuyu twite na sheria inataka wachezaji watano wa...
Hatunae tena Albert Eboisse, huo ndio ukweli mchungu kwa washabiki wa Soka barani Afrika. Klabu ya JS Kabylie ilimpoteza mshambuliaji huyo raia wa Kameruni mwenye umri wa miaka 24 wakati wa mchezo...
Posted by FikraPevu
Wawakilishi wetu pekee waliokuwa katika Michuano ya Kagame, Azam FC walitolewa na El-Mereikh kwa mikwaju ya penati juzi katika mchezo ambao ulichezwa katika Uwanja wa...
Wakuu salama.
Jana wakati naingia uwanja wa taifa, nilikutana na rafiki yangu wa muda. wakati tunaelekea getini nilimuuliza anakaa level gani akaniambia yeyote, nikahoji kivipi akaniambia hajawai...
Chini ya uongozi wa Jamal Malinzi pale tff wameamua kufufua tena yale mashindano yenye msisimuko kuliko ligi kuu namaanisha mashindano ya FA.Mashindano hayo yataanza kutimua vumbi mwez novemba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.