Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Sevilla wamebeba kombe la EUROPA baada ya kuifunga BENFICA kwa mikwaju ya penati. Wakati huo huo tunasubiria fainali ya champions league hivyo makombe yote msimu huu yatatua spain!! Hongera LA LIGA!!!
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Against all odds the right team will win. Zanzibar kwanza.
0 Reactions
0 Replies
582 Views
Kikosi cha Spain: Goalkeepers: Iker Casillas (Real Madrid), Pepe Reina (Napoli), David De Gea (Manchester United). Defenders: Dani Carvajal, Sergio Ramos (both Real Madrid), Gerard Pique, Jordi...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
watakuja wengi na kung'ara kwa muda na kisha watapotea,lakini malaika weupe tutatawala milele,real madrid forever!
2 Reactions
234 Replies
16K Views
WEIGHT;- 437 grams CIRCUMFERENCE;- 69 cm REBOUND;- 141 cm WATER ABSORPTION;- 0.2 % This will be the 12th ball created by Adidas for the World Cup. Tutakumbuka kwamba adidas walikuwa...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
kwa anayejua huyu dada yuko wapi aliwahi iletea sifa sana nchi yetu upande wa riadha lakini siku hizi hasikiki tena anayefahamu tafadhari
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Kikosi cha Spain: Goalkeepers: Iker Casillas (Real Madrid), Pepe Reina (Napoli), David De Gea (Manchester United). Defenders: Dani Carvajal, Sergio Ramos (both Real Madrid), Gerard Pique, Jordi...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Mpira wa miguu ni moja ya michezo inayopendwa sana duniani, hivyo mpira wa miguu una umaarufu mkubwa sana. Mh. Esther Bulaya, mbunge wa viti maalum kutoka mkoa wa Mara kwa tiketi ya CCM, amejitoa...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
FC-Barcelona na Atletico Madrid wanakaribia kukutana kwa mara ya tano katika msimu huu wa 2013/2014 Jumamosi tarehe 17th may match ambayo itaamua mshindi wa La liga(league kuu ya spain) , huku...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Wana jamvi mwenye taarifa za mzee huyu kama atagombea tena simba maana mwaka huu mchuano mkali
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Klabu Atletico Madrid ya Hispania imejichomoza mwaka huu wa ligi 2013/2014 kama timu ya ushindani na inayotaka kubeba makombe. Ikiwa chini ya Diego Simeone,kiungo wa zamani wa Argentina, Atletico...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
mwaka 2010 ulikua uchaguzi wa simba sc unafanyika..katika uchaguzi huo uliofanyika ukumbi wa bwalo la mapolisi oysterbay...kundi la FoS nilikua limejipanga kuchukua uongozi ..na waliiingia katika...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Huyu kocha kafundisha mpira msumbiji na ethiopia ambako hajaleta mafanikio yeyote iwe kwa timu ya taifa wala vilabu alivyofundisha. Ni moja makocha wababaishaji ambao bara hili halijaoona mfano...
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Kombe mtalisikia kwenye na kuliona kwenye tv zenyu tu leo. Limepigwa muhuri wa kukaa katika jiji la Manchester kwa miaka kadhaa. Msimu huu 2013/2014 team zilizokaa juu ya msimamo wa ligi mara...
0 Reactions
81 Replies
5K Views
Enzi zile 1998 na 2002 romario de souza alitokwa machozi pale alipotemwa katika timu ya taifa, lakini sikuhizi naona mtu akiachwa timu ya taifa anaona poa tu, wengine wanajitoa bila sababu ya...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Mwana michezo mwenzenu najitokeza kuwapa hongera sana Man City kwa kuwa mabingwa wa BPL mara mbili ndani ya misimu mitatu. WAMESTAHILI! Ukiachiliambali Man city kuwa mabingwa lakini vilevile...
1 Reactions
39 Replies
2K Views
BREAKING: Divork Origi named in Belgium’s World Cup squad Origi named in Belgium's World Cup squad | Nairobi News
0 Reactions
0 Replies
864 Views
Mwenye kumbukumbu atanisaidia kuweka majina ya makocha wa vilabu hivi waliopitia mpaka sasa maana ni hodari mno kwa kutuletea makocha ambao majina yao ni magumu kwetu si kuyatamka tu bali hata...
1 Reactions
1 Replies
1K Views
SQUAD IN FULL: Goalkeepers: Iker Casillas (Real Madrid), Pepe Reina (Napoli), David de Gea (Manchester United) Defenders: Dani Carvajal, Sergio Ramos (Real Madrid), Juanfran (Atletico...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
0 Reactions
2 Replies
995 Views
Back
Top Bottom