Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Wakati bodi ya ligi kuu ya Vodacom (TPLB), ikitangaza tathimini ya msimu wa Ligi iliyomalizika April 19, Yanga iliingiza 205, 160, 700/- sawa na 29% ya mapato yote, Simba 131,354,798/- sawa na...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Nilikua nasoma habari za matokeo ya masindano ya mpira wa kikapu ya east and central Africa intercity cup ambayo yanaendelea kwenye viwanja vya ndani vya taifa na kuripotiwa na gazeti la daily...
0 Reactions
1 Replies
913 Views
Helena Costa amewahi kuwa kocha wa timu za wanawake nchini Iraq na Qatar Klabu ya soka ya Ufaransa iliyo katika ligi ya daraja ya pili, Clermont,imemteua mwanamke raia wa Portugal Helena Costa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kupitia ukurasa wake wa Twitter,ameconfirm hivyo. Hizo timu 2 za kuongezea zitachukuliwa zipi?
0 Reactions
20 Replies
3K Views
Thamani ya midifilidi Paul Pogba ni mara mbili ya garasa Gareth Bale ambali linapigiwa kelele na wasiojua soka.Nakubaliana na Raiola Masterpiece Pogba 'worth two Bales'ESPN staff August 28, 2013«...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
0 Reactions
17 Replies
4K Views
Nauliza sehemu nzuri na iliotulia niende na mke wangu leo usiku kutazama mechi kali za leo usiku Astonvilla vs Man City na ile ya hispania kati ya Madrid vs Valadolid zote kwa pamoja huku...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Maumivu ni makali kabisa nimeyapata, sijui lini ntabeba EPL au UEFA Mwakan sijui. Sijui liver ifanyeje?
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Rais wa TFF Jamal Malinzi amemteua wakili Wilson Ogunde kufatilia sakata la viongozi wa Azam kuvamia kambi ya timu ya taifa kwa lengo la kumsajiri mchezi Frank Domayo akiwa ktk kambi ya timu ya...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
lawmaina78, waltham, Bantugbro, Ab-Titchaz, Dhuks, mwitaz, livefire, Nairoberry, Koborer, Askari Kanzu,lawmaina78,mwathai,Ngongo, kadoda11, nomasana, NairobiWalker, Wacha1,Kiranga...
0 Reactions
1 Replies
891 Views
Wakazi wajiji la Mbeya wamelalamikia kitendo cha timu ya taifa (taifa stars) kutowasalimia mashabiki kwa staili ya kwenda kwenye sehemu ya majukwaa walikokaa kabla ya mechi ya kirafiki dhidi ya...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Mambo wana jf nawaalika kwenye kipindi changu cha michezo sikiliza online www.info radio 921.com live kutoka mtwara tz
0 Reactions
11 Replies
2K Views
  • Closed
Taarifa ambazo zimetufikia hivi punde ni kwamba beki kisiki wa yanga Mbuyu Twite amesaini mkataba wa kuitumikia azam fc msimu ujao wa ligi. Taarifa zaidi tutazidi kuwajuza....
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Manchester City, pamoja na Paris St-Germain, walikuwa katika kundi la klabu tisa kwa kupatikana katika uvunjaji wa sheria. Klabu zote wamekuwa wakifanya mazungumzo na UEFA juu ya adhabu yao...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kweli kama unataka kuona inatumika nguvu ya umma kukunyamazisha basi utaiona, sababu uongozi ulishakupa taarifa uache kuripoti Habari za klabu yetu. Wewe kila siku ni kuandika habari za...
1 Reactions
18 Replies
6K Views
Leo Rais wa TFF Jamal Malinzi kupitia ukurasa wake amepost hii habari. "Ligi nyingi duniani maarufu zina msisimko wa kipekee kutokana na uwepo wa wachezaji wengi wa kigeni ambao uchagiza na...
2 Reactions
32 Replies
4K Views
Haya sasa wale wapenzi wa masumbwi aka ndondi aka boxing leo ndio leo kati ya bondia asiyepigwa hata pambano moja la kulipwa The Money vs Maidana tutumie uzi huu kupeana updates ya kinachojiri...
0 Reactions
238 Replies
21K Views
Azam 2 wapo live wanaonesha. Dakika ya 34 hakuna timu iliyoliona lango la mwenzake. Updates: H.T: taifa stars 0- 0 malawi F.T: 0-0
1 Reactions
23 Replies
5K Views
Hivi hiz rekodi za wanakomed Zhao hakuna MTU anaeweza kuziigiza I we kwa vitendo au saut tu....
0 Reactions
0 Replies
824 Views
Back
Top Bottom