ni mtazamo wng wadau. kwa mwendo wa epl ninavyouona chelsea endapo itafanikiwa kumfunga sunderland cku ya jumamosi basi uwezekano utakuwa mkubwa sn kutwaa kombe. kuwafunga liver anfied c zani km...
Habarini ndugu wana jf. Jamani wana jf hasa wapenda mpira wa miguu na wadau wa mpira wa miguu tanzania bara naomba kuuliza, hivi hii nayo ni kanuni ya ligi ya kuzikutanisha timu za yanga na simba...
Kamanda wenu nimefura kwa stress za kufanya ovyo ktk Liki Kuu!Sio ishu,nawaletea live updates mpira mkubwa Mnyama anakipiga na Yanga,Updates FT, SIMBA 1:YANGA 1
Kwa kweli soka la Tanzania litashuka sana iwapo wachezaji name viongoz hawatokuwa name uzalendo WA ukweli
Ktk sehemu husika alipo mchezaji awe na uzalendo WA Tim take name viongoz wawe waadilifu..
Wadau iwapo Liverpool watafungwa leo, basi itakuwa ni klabu ya kwanza katika historia ya EPL kuwa nje ya top 4 kabla ya new year, wakati krismas ilikua top of the table. Ikumbukwe pia klabu ambayo...
Ikiwa draw ya clab bingwa ulaya imepangwa leo....iko hv Buyern v Real Madrid na Chelsea v Atletico Madrid......Je unafikiri timu gani itaibuka kuwa bingwa kati ya hizo.
Eneo la jangwani maarufu kama "bwawa" la Yanga limeonekana linafaa zaidi kujenga kit uo cha kuzalisha umeme badala ya uwanja wa mpira kutokana na eneo hilo kujaa maji ya kutosha mwaka mzima...
Kocha Msaidizi wa Taifa Stars, Salum Mayanga ametangaza wachezaji wengine 23 watakaoingia kambini kesho (Aprili 20 mwaka huu) kuungana na 16 waliotajwa awali kujiandaa kwa mechi ya kirafiki dhidi...
BBC Sport - Yaya Toure: Man City midfielder says he deserves more recognition
Baada ya kusoma tena leo yale yaliyosemwa na Nasri kwamba Toure hawi recognized sababu ametoka Africa..,
My Take
Ni...
Rais wa Shirikisho la Soka la Kimataifa (FIFA) Sepp Blatter ametuma salamu za pongezi kwa mabingwa wapya wa Tanzania Bara, Azam FC. Blatter ameandika barua hiyo kwa Rais wa TFF, Jamal Malinzi na...
...haya wadau, tuhabarishane maendeleo, mafanikio, kusua sua hata kuporomoka kwa chama letu, Mnyama Mkali, Simba taifa kubwa!
Wengine sie, ushabiki tuliuanzia miaka hiyo, unaunga foleni ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.