Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Wakuu leo ni leo, ile burudani iliokua inasubiriwa kwa hamu imewadia tena! Man city ataendeleza uteja kwa chelsea?
1 Reactions
19 Replies
2K Views
TIME: 8:15 PM LIVE LINKS
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Italian club Lazio have released official documents to prove that 17-year-old midfielder Joseph Minala is not actually 41. Minala caused a stir this week because of his appearance after being one...
0 Reactions
24 Replies
5K Views
Habari ya mjini ni Okwi ruksa kukipiga Yanga,sasa hayo tuyaache maana tayari Okwi ni mali ya Yanga.Sasa twendeni Mbeya tukampe support mzee mwenzetu Simba aka 'nyau'. Maana kama Simba akipigwa na...
0 Reactions
26 Replies
3K Views
SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limeanza rasmi mikakati ya kuiwezesha timu ya taifa ya Tanzania ‘Taifa Stars' kufuzu kwa Fainali za mataifa ya Afrika (AFCON) mwakani baada ya kupanga...
0 Reactions
0 Replies
921 Views
Hili ni swali jepesi lakini kwa upande wa pili ni gumu sana.kipindi kabla ya henry hajaondoka arsenal wakiwepo wakina jeans lehman,babtista,clichy,fabregas wakat mdogo mdogo,song pale ilikuwa...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Chanzo- BBC Swahili michezo na wachezaji. Moja wa maboss wa TFF amesikika ktk kipidi cha BBC Swahili michezo na wachezaji. akisema kuwa "TFF haina PESA ya kusafirisha kontena mbili za viatu...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Baada ya Yanga kuinyanyasa Comorozine de Domoni ya Comoro kwa magoli ya 'week' nzima; leo ni zamu ya Azam kukutana na Ferroviario ya Msumbiji katika uwanja wa Azam Complex. Wakati huo huo baada ya...
0 Reactions
252 Replies
18K Views
Kama kawaida , tupeane taarifa za matokeo ya mechi zote za leo , leo mbeya sokoine mtibwa sugar atakuwa akipelekwa puta na Mbeya city , wapenzi wa Mbeya city twendeni tuipe sapoti timu yetu ...
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Arsenal in top of table is like an elephant in a top of a tree Nobody knows how he get there but everyone knows that he'll fall..hahahahaha
0 Reactions
3 Replies
834 Views
Kwa hali inavoendelea pale ngome kongwe (old trafod) ni dhahiri wa shahiri timu yao inaenda uefa ndogo ambayo mechi zake huchezwa Alhamis mida ya sa4 kasoro usiku muda ambao Futuhi wanakua hewani...
0 Reactions
0 Replies
775 Views
Habari nilizopata kupitia vyanzo mbali mbali vya habari ni kwamba mshabaki wa soccer wa club tajwa hapo juu ameuawa hapo juzi wakati timu hizo mbili zilipokutana juzi jumamosi Liverpool Vs Arsenal...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
1.David Beckham 2.Thiery Henry -ongezea..,
0 Reactions
4 Replies
877 Views
Niaje wana jf.. mm ni mteja mzuri sana wa mhindi kwenye mambo ya bettin, ila since last week naona mambo hayaendi kabisaa yaaani,, nachana mikeka tuuu... hebu leo tusaidiane kidogo, wataalamu...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Siku ya Man city na Chelsea nilisema ntatembea uchi, kweli Chelsea walishinda ila nilivyotaka timiza maneno yangu, watu walinitisha eti kuna washkaji wako Manzese wana-wait wanile Kabang...
4 Reactions
48 Replies
3K Views
Mwenyekiti wangu Yusuf Manji. Salaam aleikhum! Awali ya yote naomba niupongeze uongozi wa Yanga chini ya stewardship yako imara kwa mafanikio mliyoyapata on and off the pitch tangia...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Ligi kuu ya nchini italia almaarufu Serie A inaendelea leo na Vilab vya SSC NAPOL na AC MILAN vinakutana leo kwenye dimba la san paulo mjini nepol. Kocha wa milan Clarence Seedorf anakwenda...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Mashabiki wa Man U hatuna haja ya kuhofia mechi yetu ya leo, kuku wako kwa nini kumfukuza, ataingia bandani nawe kumchukua na kumchinja, supu saaafiiii, leo twendeni kifua mbele na tena kwa...
0 Reactions
26 Replies
2K Views
WACHEZAJI wa Simba SC wameahidi kwenda kupigana kufa na kupona kwa ajili ya ushindi dhidi ya Mbeya City Jumamosi katika mchezo wa Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania Bara Uwanja wa Sokoine mjini...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Siku zote nimekuwa nikiwahusisha kwenye mikeka yangu mmeniangusha sana tena sana ila nikavuta subira nimeamua kuanzia kesho sitokuja kuwahusisha tena kwenye mikeka yangu mnampa faida kanjibah na...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Back
Top Bottom