The global free entertainment that is currently run on musicians is about to accommodate those additional talents. Get the details here Talents Contest | All Cakez
Nawasifu TRA na TCRA kwa msimamo wao wa kusimamia EFD na ving'amuzi. Jambo lolote lianzapo huwa na kasoro zake hasa linapohusu pesa kwa maana ya kudhibiti mianya ya wachache kujineemesha. TFF...
Jamani hivi Yanga walitoa wapi hili jina la Yanga? Je lilitokana na jina la Kiingereza Young Africans na Young ikatamkwa Yanga?
Mara nyingine sielewi pale ambapo unakuta habari ya Kiingereza ina...
Mashindano ya kombe la dunia yaliyoandaliwa kwa pamoja kati ya Japan na Korea kusini yalikuwa ni mashindano yenye msisimko mkubwa sana,Senegal walitupa matumaini makubwa sana waafrika lakini...
Mwanasheria WA TFF, Allex Mgongolwa amesema kuwa mshambuliaji Emmanuel Okwi yupo huru kucheza Yanga na wala Sakata lake lisipotoshwe. Mgongolwa alisema watu wamekuwa wakipotosha kuhusu Sakata la...
Kocha Msaidizi wa Yanga Charles Boniface Mkwasa ameondoka leo na ndege ya shirika la ndege la Ethiopia kwenda Misri kuangalia mechi ya wapinzani wao ambao Alhamis wanacheza mechi pale Cairo...
If i was to select a team to play Bayern tonight, ofcourse only 11 people can start hence not everyone will make the line up. I will select and give an explanation why.
1. Wojo
2. Sagna
3. Gibbs...
wadau round ya 16 bora ndio inaanza leo, moja kati ya mechi kali ni hii itakayopigwa Man City Vs Barca saa 4:45 kwa saa za Afrika Mashariki, kama mdau wa michezo tupia maoni yako hapa kabla...
Habari zenu mashibiki wote wa Man U na wadau wote wa soccer,
Awali ya yote naomba ni declare interest, mi ni die hard Man U fan, nina zaidi ya mapenzi na timu hii mi nina mahaba na timu hii. na...
Juzi jumamosi nilikuepo sokoine kushuhudia pambano la mbeya city na simba.
Filimbi ya mapumziko refa alivopuliza kipenga cha mapunziko, gafla bench la ufundi la simba na wachezaji walingia...
Heshima kwenu wadau.
Jamani huu wimbo nikiusikia huwa unanikumbusha fainali ya Liver na Milan 2004. Wewe mdau huwa unakukumbusha fainali ipi?
Mwenye clips ya huu wimbo naomba anisaidie...
Wakuu leo natoka kivingine, naomba muweke hapa maujuzi yenu.
Hivi, kwenye shows za WWE akina John Cena, Batista, Triple H na wengine wengi wanapiga kweli au is just acting?
Kama ni uongo...
Wadau habari zenu
Naomba kujuzwa! Nimejipigapiga weee nikajiwekea DSTV! Kama wengi wengine kubwa ni mpira! Lakini naambulia kuona EPL, Tusker League ya Kenya, Zambia nk. Sioni VPL! Kuna nn kwani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.