Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Ken Norton, heavyweight boxing legend, dies at 70 Ken Norton and Muhammad Ali during their second meeting in 1973 Related Stories...
0 Reactions
0 Replies
680 Views
1. Amewahi kuwa mchezaji bora Ulaya mara mbili mfululizo, amechezea timu kubwa Hispania, Italia na Ufaransa, mpaka kesho mashabiki wa ligi ya Uingereza wanatamani angecheza kwenye ligi hiyo...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Wakuu leo nilikua mitaa ya k,koo. Nikaona siyo vibaya kwenda klabu pale jangwani kujua mikakati iliyoko sasa pale Yanga. Nikiwa kama mita 20 kutoka lilipo jengo la Yanga niliwakuta mashabiki...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kama kawaida yanga ikiwa mbeya ,kwa mashabiki walioamua kushangilia timu zao za mbeya yadroo na prison ilicheza soka mbovu!!!! Bravoooo Mbeya bravoo,,
0 Reactions
3 Replies
974 Views
Kuna taarifa nimezipata kwamba Yanga wamekata rufaa ili mechi yao irudiwe maana jana walifanyiwa fujo kabla na baada ya mechi. Akiongea na waandishi wa habari leo njini Mbeya katibu na mjumbe wa...
0 Reactions
86 Replies
9K Views
Hizi ndizo mechi zitakazochezwa leo clabu bingwa ulaya Group A- Man. United Vs Leverkusen 20:45, at Oldtrafford (ENG) Group A- Real Sociedad Vs Shakhtar Donetsk 20:45, at Anoeta (ESP)...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Baada ya kutoa droo na mbeya city, wabingwa wa kihistoria wa tanzania kesho watashuka dimbani kukwaana wajelajela ,.. Yanga iliyowakosa wachezaji wake mashuhuriniyonzima na msuba kwenye mechi ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Kwa mara ya kwanza kabisa ,katika historia ya mpira miguu nimeshuhudia mabadiliko ambayo yanga hawakuyatarajia , umati wa washabiki uliojitokeza kuishabikia timu yao ya mbeya tofauti na kipindi...
3 Reactions
41 Replies
7K Views
Ni tabia ambayo tunaiona kwnye ndondo lakini taratibu inaanza kupenya kwenye ligi kuu. Ni tabia ya mashabiki wenyeji kufanyia vurugu wapinzani wao ambao ni wageni. Tumeona hali hii ilianza tanga...
0 Reactions
27 Replies
2K Views
FAMILIA ya kiungo wa zamani wa Kikwajuni na timu ya taifa ya Zanzibar, Eric Nditi inaendelea kutesa katika soka la Ulaya baada ya watoto watatu wengine wa staa huyo kuibukia katika timu ya...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Baada ya Fergie kustaafu refa mmoja mkongwe amefunguka na kuongelea jinsi gani walivyokuwa karibu sana na meneja mkongwe katika ligi kuu ya England. Refa Mark Halsey ametoa ndogo ndogo jinsi...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
nipo katika ukumbi wa MGM Grand nikifuatila kwa karibu kabisa mapambano ya utangulizi. Lakini kinachosubiriwa hapa ni pambano kati ya Maywether na Alvarez... Twende sasa.........
0 Reactions
112 Replies
7K Views
Habar wana jf, Nimekuwa najiuliza maswali mengi pale ninaposikia viongozi wanamuongelea ADAM NDITI na kama kumbembeleza kuja kuchezea t.stars eti kisa anacheza ulaya kwan yeye akija anacheza...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Wale wachezaji wetu samata na ulimwengu ambao walidai ni wagonjwa hivyo hawawezi kuichezea timu yetu yetu ya taifa dhidi ya The Gambia, leo wamedhihilisha hawakuwa wagonjwa ila walikuwa wanajianda...
1 Reactions
28 Replies
3K Views
Mayweather kashinda
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Watu wafurika
0 Reactions
1 Replies
1K Views
SIMBA sc jana aliweza kushinda mechi yake dhidi ya mtibwa 2-0 huku goli la kwanza likifungwa na HENRY JOSEPH.Mashabiki ni moja kati ya watu ambao hutakiwi kuwaamini. Jana baada ya goli hilo...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Ivory Coast v Senegal Ethiopia v Nigeria Tunisia v Cameroon Ghana v Egypt Burkina Faso v Algeria
0 Reactions
1 Replies
812 Views
huyu jamaa nilikua napenda sana uchezaji wake, mara ya mwisho nilimuona akiwa mnene sana, alirudishwa yanga na mwalimu jack chamangwana akiwa anatoka moro united, jamaa alikua fundi sana
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Naombeni kujua mahali ambapo training za riadha hutolewa hapa DSM.
0 Reactions
2 Replies
798 Views
Back
Top Bottom