wadau vipi leo ligi kuu ya bongo hakuna mechi zilizochezwa? Kama zipo tunaomba matokeo tupo nje kidogo ya tz yetu lakin taarifa zenu muhimu sana hasa timu yetu ya wananchi na wale wenzetu...
Katika kuonyesha kwamba amechukizwa na kitendo cha Simba kuwasaliti Yanga kwa kwenda kuchukua mshiko wa AZAM MEDIA,leo ameungana na Yanga kuwasapoti katika msimamo wao wa kugomea 100m ili...
kama kawa kama dawa leo tunawaua tena kama tulivyofanya last uefa final chini ya mateo mida ya saa 3.45 .jose m. amedai hakuna sababu ya kuleta wasiwasi ni kichapo tu.usikae mbali na tv...
FIFA umesema, mchezaji fulani ambaye haijaonyesha jina lake alitumia dawa za kuongeza nguvu katika mechi iliyochezwa mwezi june na Tanzania kupoteza. Haijaonyesha ni adhabu gani itatolewa kwa...
Samuel Eto mwenye umri wa miaka 32 anatarajiwa kujiunga na CHELSEA kama mchezaji huru kwa mkataba wa mwaka mmoja akitokea ktk club ya ANZI.
MORINHO kafikia uamuzi huo baada ya ofa mbili kwa...
usiku wa leo imepgwa mechi kati ya barcelona vs A. Madrid result ni 0-0 so agg ni 1-1 ni SUPERCUP
=========
Barcelona-won the Spanish Super Cup on Wednesday after being held to a-0-0 draw-at...
We hivi awa viongozi wa jangwani wanatuchukuliaje sisi mashabiki wa mikoani wanahisi timu ni yao au kiburi au sisi mashabiki wa mkoani hatuna mamlaka na timu tunataka ligi ioneshwe ili tupate...
Makao Makuu ya AzamTv yamezinduliwa na Yatakua Tazara.
Leo wametoa Logo yao sehemu ambayo yatakua makao makuu yao pale Tazara.
Kwa watu waendao Kariakoo au Posta nadhani watakua tayari wameona...
On Wednesday, Young Africans and ambitious Coastal Union will renew their growing rivalry at the National stadium, Dar.
Young Africans opened the defence of the league title by thrashing 5-1...
RHINO RANGERs Match 2-- Wed 28 August, 16:00, Ali Hassan Mwinyi Stadium AZAM
Azam will be aiming to emerge with a victory against the newly promoted army side to stay...
Licha ya uwekezaji wa kiwango kikubwa , ubingwa wa ligi kuu umeendelea kuwa simulizi ya msimu ujao kwa vijana wa Chamazi. Kwa misimu miwili mfululizo, wamekaribia sana kutwaa ubingwa lakini mara...
Nonini named highest paid singer
Musician Nonini entertains guests at a past party at the Carnivore restaurant in Nairobi. Nonini has been named the highest earning musician in Kenya through...
Today basketball fans tumepoteza bonge la mchezaji Tracy McGrady ambae ameamua kutundika daruga.This is is sad me and my family we wish Mr Tracy a very happy retirement.
He's one of the...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.