Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Mshambuliaji wa AC Milan, Kevin-Prince Boateng ameomba rasmi kurejea katika kikosi cha timu ya taifa ya Ghana. Chama cha Soka cha Ghana kilithibitisha kupokea ombi la maandishi la mchezaji huyo...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
Napenda kuwapongeza wachezaji,wanachama na mashabiki wa Yanga kwa ushindi wa kishindo wa goli 5 kwa 1. 1: Ukaguzi wa tiketi na rushwa. Kuna wakati niliwahi kwenda kuangalia mechi kati ya Yanga na...
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Wiki chache zilizo pita tambo toka TFF na waandishi uchwara wa michezo walipamba sana kuondoka kwa huyu dogo kwenda Nchni Uholanzi.Habari toka FC Twente zinasema huyu Shomari hana nafasi kwao na...
2 Reactions
60 Replies
8K Views
Mbeya city sasa wametengeneza jezi zao na wanazisimamia kuziuza wenyewe hivo kuiongezea kipato timu,. Jezi ni nzuri na ni bora na origino sio famba inauzwa elfu12000; hata mimi nimewaunga mkono...
2 Reactions
28 Replies
4K Views
Champions League: 2013/14 revenue distribution UEFA has unveiled its revenue distribution system for the 2013/14 UEFA Champions League and UEFA Super Cup – from a total estimated at around...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Ratiba iliyotolewa na TFF majuzi ya Ligi Kuu Tz Bara, ligi inatarajiwa kutimka hapo Agosti 24 mwaka huu mpaka Novemba 3 itakapo simama kwa takribani miezi mitatu mpaka Januari 25, 2014 mzunguko wa...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Hii ni aibu!Kwa muda mrefu sasa, ukiangalia taarifa za michezo ktk king'amuzi cha DSTv, kuhusu ligi kuu Tz, msimamo wao wa ligi unaonyesha kuwa Simba inaongoza ligi kwa pointi 49, na AFC ni ya...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Kocha mbishi na bahili mfaransa Arsene wenger amesajili mchezaji wa pili kutimiza lile lengo lake la kuimarisha kikosi... chezaji huyo si mwingine bali ni matheu flamini aliyemsajili for free...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Kudos to Kenyan athletes, once again you have done the country proud. Kudos too to Ethiopia and Uganda for keeping our region in the world map:-...
3 Reactions
9 Replies
3K Views
Wachezaji wooote wa kigeni Simba hawaruhusiwi kucheza isipokuwa owino pekee. Vibali vya kazi na itc. Chanzo kamati ya ligi.
0 Reactions
24 Replies
3K Views
Matokeo ya leo Jumamosi 24 Agosti, Yanga Afrika 5 - 1 Ashanti Rhino Rangers 2 - 2 Simba Mtibwa 1 - 1 Azam FC JKT 0ljoro 0 - 2 Coastal Union Mbeya City 0 - 0 Kagera Sugar Ruvu Shooting 3 -...
11 Reactions
59 Replies
9K Views
Wayne Rooney can save his Manchester United career with a huge performance in Monday night’s clash with Chelsea....
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Record zinaonyesha kala anapopewa majukumu huwa anaharibu tena anaharibu vibaya. 1. 1. Alipewa kazi mamlaka ya ustawishaji makao makuu CDA aliharibu mpaka akafukuzwa. 2. 2 Baada ya...
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Nategemea pale Tabora Mkuu ndetichia na Masuke mtakua live. Pale manungu nategemea Mkuu Kitoabu utakua live pia kwa hisani...
4 Reactions
399 Replies
28K Views
Watu wengi hasa Graduates wanavyeti vizuri na elimu zao lakini hawapati kazi!! Moja ya sababu ni kutojua kama njia anayopitia Shomari Kapombe hata wao pengine ingeweza kuwasaidia. Kama umesoma...
2 Reactions
15 Replies
3K Views
Najua kuna watu wataumia lakini huu ndio ukweli wenyewe. Huyu jamaa alikuwa anafanya mazoezi yanga kama ilivyokuwa kwa Shaaban kondo Simba. Baada ya kuona yanga wanamyeyusha kimyakimya...
0 Reactions
16 Replies
6K Views
Ni timu gani itatwaa ubingwa 2013/14?
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Ile michezo ya kumchokoza Ng'ombe, ambayo hufanyika sana kule Hispania, na hata hapo Zanzibar, ingawa ni kwa kiwango kidogo, huenda inamfundisha binadamu wa kawaida nje ya ulingo, namna ya...
11 Reactions
38 Replies
7K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Ndugu Wana habari. Asalaam Aleikhum. KATIKA siku za karibuni, kumekuwapo na mjadala kuhusiana na hatua ya klabu ya Yanga kupinga udhamini wa Ligi Kuu ya Tanzania...
0 Reactions
9 Replies
5K Views
Evander Holyfield wanted to bite Mike Tyson to get even when Tyson bit him in 1997 title boutBy Kevin Iole | Boxing – 11 hours ago Email...
0 Reactions
0 Replies
6K Views
Back
Top Bottom