Wakuu Leo Taifa Stars wanakipiga na Uganda Cranes ya Uganda kwenye uwanja wa Taifa Tuendelee kujuzana Live Updates kwa wale ambao tuko ndani ya uwanja wa Taifa.
Nimeshudia dogo wisman mwenye miaka 23 aliyetoka mbeya kwa miguu hadi hapa jijini dsm tokea siku ya jumatano kwa ajili ya kwenda kutazama mechi ya taifa stars, kama ni uzalendo dogo kazidi kwani...
Luhende,Kaseja,...... kukosekana kwa Samata na Ulimwengu japo kanuni haziruhusu wacheze,lack of plan B, na kumwacha Bocco acheze pekee mbele! Je ndo kimetupoteza kabisa!? Hivi Kale ka-TAHITI...
Atimae Yanga wamekamilisha usajiri wao kwa 99% kwa ajiri ya klabu bingwa africa na ligi kuu bara.
Katika usajiri mpya klabu ya Yanga imewaacha baadhi ya wachezaji na kuwapeleka wengine kwa...
Mshambuliaji mpya wa Man United Wilfred Zaha,majuzi alikuwa kituko wakati team hiyo inaondoka Uwanza wa ndege kwa ziara yake ya Mashariki ya mbali kujiandaa na msimu mpya.
Wakati wachezaji wenzake...
Ndugu zangu wana jF, Tujulishane kinachojiri nje na ndani ya dimc la taifa juu ya mtanange unaotegemewa kupigwa hapo kesho, kati ya Stars na The cranes ya Mserbia, MICHO. Tupia updates hapa ili...
Baada ya kukamilisha usajili wa stiker wa Real Madrid, Higuan Gonzalez , kocha wa Arsenal , Arsene Wenger amesema anataka kusajili striker wengine wawili, ambao ni Wayne...
Karibu wachezaji wote wa simba sports klub wapya na wazamani washatoka kwenye makala nyingi za magazeti kuwwelezea'''kwa bahati mbaya yupo bwana mdoga anaitwa Miraji Adamu licha ya kazi kubwa...
Jamani naomba ufafanuzi kidogo pale mchezaji anapouzwa na timu moja kwenda nyingine mfano kauzwa paund milion 20 je hizo pesa inachukuwa timu husika yeye hapati hata shilingi ama ni vipi?
Tanzaniaans International Shomari Kapombe op proef bij FC Twente
Je bent Hier: FC Twente » FC Twente Nieuws » Tanzaniaans International Shomari Kapombe op proef bij FC Twente...
Nimefurahi kuwaona mahasimu wakifurahi pamoja naona tamasha kama hili ni zuri kudumisha mshikamano JK,Mwigulu,Zito,Nasari,Kingwangwala,Mdee ,Idd Azzani,na wengine wengi hii imekaavizuri wabunge wa...
JK akilakiwa na refa Othman Kazi
JK akiweka saini katika mpira utaochezewa
JK akiweka saini
JK akitambulishwa waamuz
Huyu Referee si alifungiwa na TFF kuchezesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.