Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Wadau wote mnaotazama hii mechi tunaomba update mzimwage humu.
1 Reactions
24 Replies
6K Views
CONTEST: Vodacom Premier League VENUE: Azam Complex, Chamazi KICK OFF: 1600HRS EA Time UPDATES: VIA JamiiForums
0 Reactions
48 Replies
4K Views
Jana ligi kuu Tanzania bara iliendelea kwa baadhi ya viwanja, wakati mashabiki wa mpira wa miguu wanaoichukia ama itakia simba mabaya walitegemea ushindi kwa Azam mambo yamekuwa kinyume chake...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Azam fc 1(Bocco) Simba 1(Sunzu), Yanga 1(Twitte) Oljoro 0 Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
0 Reactions
1 Replies
3K Views
Jamani huku tunakoelea sasa kisoka siko, mchezaji anadai milioni 7 kwa mwezi, kocha anadai dola elfu 10, hivi mpira wa Tz unaelekea wapi? na hawa wazalendo watabaki kulipwa laki 8? huu urari wa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Baada ya ukweli kujulikana kuhusu Lance Armstrong ..... nimekuwa najiuliza.....what about Usain Bolt?.... hatumii madawa? na kama anatumia...ni hadi lini ukweli utakuja kujulikana?
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Timu ya soka ya coastal union imefanikiwa kumpata mchezaji kutoka brazil. mchezaji huyo atareport mda wowote akiwa na mke wake. mchezaji kasema anafurahi kubadili mazingira ya kazi yake. ntawapeni...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Timu ya soka ya Prison ya Mbeya imepata ajali mbaya mkoani Tanga baada ya gari lao aina ya Coster kupinduka mara tatu. Hivyo mechi yao na Mgambo JKT imeahirishwa hadi hapo baadaye. Source: ITV
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Naomba kujua wasambazaji wazuri wa muziki wa Injili waliopo Nairobi. Naomba jina na contacts kama inawezekana.
0 Reactions
0 Replies
2K Views
NA ALBERT G. SENGO:MWANZA Ikitumia Vyema uwanja wake wa nyumbani Pamba Fc ya Mwanza leo imeanza vyema mchezo wake wa kwanza kundi C ya Ligi ya soka Daraja la kwanza ya Tanzania bara kwa...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
KLABU ya soka ya Simba imepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Katibu Mwenezi wake wa zamani, Robert Charles Sechawawa Mwaimu, kilichotokea juzi Jumanne nyumbani kwake Oysterbay jijini...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
contest: Vodacom premier league kick off: 16:30 eat venue: Ccm mkwakwani, tanga starting line-up 1. Jackson chove 2. Ismail suma 3. Juma jabu 4. Mbwana kibacha 5. Othman mani...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Eto'o: "Song is not even among the best players in Cameroon." - Goal.com
0 Reactions
1 Replies
843 Views
Leo lazima kieleweke uwanja wa taifa Yanga lazima aue mtu na kumsogelea mnyama aliyetangulia kwa baiskeli yenye mataili ya miti,mechi ya Azam na Simba jumasosi tunajua watadraw na wakikosea kidogo...
2 Reactions
173 Replies
10K Views
Hayo ndiyo matokeo ya mechi jana... English Premier League EPL chali, Waingereza wanajisema sana na sisi tumezoea kwashangilia mno hata DSTV wanashadadia sana lakini wanapotoka nje ya Uingereza...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nimeona mara nyingi katika picha mbalimbali za wachezaji wetu wa timu ya Taifa wakiwa nje ya uwanja, mavazi yao kwakweli hayawapi hadhi ya kimataifa kama ambavyo wachezaji wa timu za nchi nyingine...
0 Reactions
1 Replies
988 Views
Miezi kadhaa nyuma ilikuwa imefungwa hii tovuti. Sikujua ni kwanini lakini kila nilipoitembelea nilijibiwa 'ACCOUNT SUSPENDED', baada ya malalamiko ya wadau nadhani wamesikia sasa. www.tff.or.tz/
0 Reactions
0 Replies
986 Views
Unconfirmed report BREAKING NEWS: TIMU YA SOKA YA MAAFANDE YA TANZANIA PRISON IMEPATA AJALI USIKU HUU WA LEO KATIKA KIJIJI CHA AHALE ILIPOKUWA IKIELEKEA TANGA KWA AJILI YA MECHI NA Mgambo JKT...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Manji anatarajia kuweka heshima Jangwani kwa kuwajengea uwanja wenye thamani ya sh. 78 Bilioni. Utakuwa na uwezo wa kuchukua watazamaji 45,000. Atajenga uwanja huo kama mchango wake kwa Yanga...
0 Reactions
16 Replies
2K Views
Back
Top Bottom