Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Beki wa kisiki wa Simba, Shomari Kapombe ataukosa mchezo wa kesho dhidi ya JKT Orjoro ya Arusha kutokana na kuumizwa mguu na mshambuliaji wa Yanga Said Bahanuzi katika mchezo uliochezwa usiku wa...
0 Reactions
0 Replies
999 Views
Wakuu kuna habari eti kuwa miaka ya nyuma sana wachezaji wa Simba na Yanga walikuwa wakichezea timu zao kwa mapenzi ya moyo kabisa siyo kama kazi. Kutokana na mapenzi hayo, walikuwa hawahami...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Thursday, October 4, 2012* Pambano la watani wa jadi Yanga na Simba la Ligi Kuu ya Vodacom lililochezwa jana (Oktoba 3 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kumalizika kwa sare ya bao 1-1...
0 Reactions
22 Replies
3K Views
Mbingu jaman nimeona hayo mapato na idadi iliotangazwa nimebaki wazi kumbe ukiona tff watu wanakomaa kwa garama wanajua wapi zinarudi aisee ..ukiwa kama mwanamichezo kuna uchaguzi wa tff hivi...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
king leo anataraji kupata mtoto wa kiume muda si mrefu kuanzia leo na ameshampatia jina la Thiago
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Katika pambano la juzi la Simba na Yanga Jumla ya mashabiki 50,455 walishuhudia pambano hilo na kuingiza sh 390,568,000, huku Yanga na Simba kila moja ikiambulia sh 93.3 milioni. Watazamaji...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
PAMBANO LA YANGA, SIMBA LAINGIZA MIL 390/- Pambano la watani wa jadi Yanga na Simba la Ligi Kuu ya Vodacom lililochezwa jana (Oktoba 3 mwaka huu) Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam na kumalizika kwa...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Aaron Ramsey(ArsenAl) Scores the 3rd Goal against OLympiacos .. It is said on internet memes that every time Aaron Ramsey scores an important goal, someone famous dies, series Coincidences...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
nILIANGALIA MECHI YA JANA YA WATANI WA JADI SIMBA NA YANGA ILE KADI YA MCHEZAJI WA YANGA NI SAHIHI
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Asante sana StarTv Radio Free Africa Tanzania*|* STARTV LIVE updates: Simba 1 - Yanga 1 - Goli la simba limefungwa dk ya 4 na Mchezaji Amri Kiemba, Goli la Yanga limefungwa na Bahanuzi katika...
2 Reactions
382 Replies
32K Views
Huu mchezo wa kupenda kupiga domo kwenye vyombo vya habari unaofanywa na mabondia wa hapa nyumbani pindi wanapoomba pambano na dume la milima ya Uluguru utaisha lini? Jana, Karama Nyilawila...
2 Reactions
27 Replies
5K Views
4-foot-5 man's ridiculous basketball skills Despite his diminutive stature, Jamani Love has earned respect on the famed Venice Beach courts. The 4-foot-5 Love showcased his moves at the Venice...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Boxing has first openly gay competitor Orlando Cruz A Puerto Rican featherweight has publicly announced he is homosexual, making him the first openly gay active boxer in history. Orlando Cruz...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Habari ndiyo hiyo raundi one jamaa kachukua bila ubishi, sometimes playing safe is dangerous!
0 Reactions
19 Replies
2K Views
anachambua mpira wa manchester city na borussia dortmund. Leo hawa jamaa wataonyesha mpira live.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Kweli Simba baba lao. Wachezaji wengi wamekuwa wakitaka kuchezea Simba kwa sababu future yao inaonekana ya kwenda kucheza nje. Tunayo mifano mingi na hakuna anayebisha. Hebu wadau wa Simba tulete...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
  • Closed
Live Feeds follow this link: https://www.jamiiforums.com/sports/332695-simba-vs-yanga-oct-03-2012-a.html Haya haya tena kumekucha wapenzi wa kabumbu wa bongo. Yamebaki takribani masaa 48 kabla...
4 Reactions
114 Replies
16K Views
"UDIKTETA" kumbe haupo kwenye SIASA pekee na naamini huanzia NYUMBANI kwanza. Hivi soka letu kama nchi litafufuka kweli ikiwa watawala pale TFF wanaona mawazo yao tu ndo sahihi? Udhamini wa timu...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Simba na Yanga kwa ninavyoona Mimi ni maadui. Adui ni yule anaye wish mabaya kwa mwenzake, ambayo ndio hizi timu zinavyofanya Sasa tutawaitaje watani wakati ni maadui.
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Back
Top Bottom