L
Timu zote mbili zinakaguliwa
Wanahabari wakikimbizana na matukio timu zikiendelea kukaguliwa
Uwanja wa Kirumba ukiendelea kushona watu
Hawa ni wachezaji wa Toto.
Dar Yanga Africans
Bao...
Sasa ananyanyai madaluga kama Salum Kabunda 'Ninja':
Tribunal gives Ronaldinho 1-match ban
SAO PAULO -- Brazil's sports tribunal has suspended Ronaldinho for one game for a dangerous kick that...
uganda imeaga mashindano ya africa baada ya kufungwa penalti tisa kwa nane. mara ya kwanza Uganda ilivyo enda zambia ilifungwa goli moja na leo uganda imeifunga zambia goli moja lililopelekea...
Jana katika michezo ya ITV niliwasikia viongozi wa African Lyon wakilalamikia maamuzi ya TFF ya kuzuia udhamini wao na ZANTEL kampuni mojawapo ya simu nchini. Kwa hili tenha hajautendea haki...
It would be a crime if Cristiano Ronaldo lost out to Lionel Messi for the 2012 Ballon d'Or, his Real Madrid coach Jose Mourinho said on Friday.
Mourinho hit back at remarks by Barcelona coach's...
Tawi la Uswisi la KIBA linafurahi sana kutangaza kwamba Mashindano ya Kimataifa ya Tano ya Mchezo wa Bao yatafanyiwa mjini La Tour de Peilz (Uswisi) kuanzia Novemba 10 hadi Novemba 11, 2012 (taz...
Tangu msimu wa usajili ulipoanza kwa timu zetu hapa nchini hasa za Yanga, Simba na Azam, yalisemwa mengi na wengine hata kufikia hatua za kujiapiza na kuwekeana dau kana kwamba wao ndio wanaoingia...
Tokea Yanga wafungwe magoli 2-0 huko Zanzibar kwenye kombe la muungano baadaye tukashuhudia Mnyama huyo huyo akitoa kipigo dhalili cha magoli 5-0 kwa Yanga mapema mwaka huu, nimeiona Yanga...
Kipindi cha michezo (Spot) 09/10/2012 Radio one kinamkariri aliyekuwa msemaji wa Yanga Luise Sendeu akilalamika kwamba yeye na wenzake waliotimuliwa Yanga baada ya matatizo ya Mbeya na Morogoro...
Angalia kwa makini namna Haruna Moshi alivoufuata mguu wa Yondani na alivokunja sura, angalia position ya mpira hutosita kusema jamaa alikusudia kumuumiza mwenzie!
Cisse and Ba could lead Muslim players' boycott of wearing new Wonga sponsor on Newcastle shirt
By SPORTSMAIL REPORTER
PUBLISHED: 04:00 EST, 10 October 2012 | UPDATED: 04:11 EST, 10 October...
Tenga acha unafiki! kama ni kweli uongozi wa soka ni wito mbona wewe upo TFF tangu 2004,takribani miaka 8 sasa.Kama ni wito kwa nini uliwafanyia fitina Michael Wambura na Jamal Malinzi wasigombee...
Watch VideoPlay Video
Today we continue our National Day Special Young China. Theres a football player in Shanghai whos redefining what it means to be a Chinese.
Eddy Francis, Football player...
Kutokana na kiwango alichoonyesha katika mechi chache za ligi kuu Tanzania Bara, nathubutu kusema kuwa kiungo mahiri wa Simba Amri Kiemba ameonyesha umahiri katika kuliziba pengo aliloliacha...
Mbwenuuuuuuuuuh ................. yakamtera Yanga!!!!!!!!!!!!!! 1 - 0 front ya My wife wake... is very fantastic
Hawa YANGA pamoja na wachezaji wa mataifa sita ... Congo, Burundi, Tanzania...
Leo nimeshuhudia wapenzi wa Yanga eneo la Tandika wakilaumu kuwa matatizo yote wanayoyapata ya kuzomewa na watani wao wa jadi yanasababishwa na tabia ya kocha wao. Kocha huyo raia wa kigeni...
MABINGWA wa Afrika Mashariki na kati Dar Young Afrika jana kwa mara pili tena walionja joto katika michuano ya ligi kuu ya VodacomTanzania Bara,baada ya kufungwa na Kagera Sugar ya Mkoani Hapa bao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.