kwa mara nyingine tena yanga wananyakua kombe na kulitetea pia,kiukweli wamecheza poa,azam pia wamecheza poa,ila mpira dakika 90,yanga 2 azam wanaambulia patupu,simba ni muda wa makosa mliofanya...
Azam Football Club..Nitimu inayokuja kwa kazi hapa tanzania Naona umefika wakati wakuwa na natimu za Simba na Yanga .....Wakati wakuishabikia Azamu kwakuwa inaonyesha kandanda nzuri!
Former slum dweller in Olympic torch relay
Julius Mwelu became part of history when he participated in the Olympic Torch Relay in Norwich City, United Kingdom early this month.The former...
Our land never runs out of eyebrow-raising issues/scenarios. Picture this one.
USA has an athlete team of 512 runners in the ongoing olympic games.Let alone other games.
Uk has more than 500...
Niko natazama mashindano ya riadha ya International Association of Athletics Federations (IAAF) yanayofanyika huko Monaco muda huu. Nawaona wanariadha wa Kenya, Africa Kusini, Nigrria, Ethiopia nk...
Hakika sherehe za ufunguzi wa mashindano ya olympiki zimefana, waingereza wanaitendea haki historia ya nch yao wanaonesha namna yalivoanza mapinduz ya viwanda na mambo mengi tu.
mambo ya km haya...
Hivi kweli ana kiwango kinachoandika kuwa Simba au Mnyama hashindi kwa sababu OKWI hayupo? Napenda kuwakumbusha ukiangalia pambano la mwisho la SIMBA vs Yanga ambao Yanga alilala 5 -0 kwa mu...
The government did not provide money for Ugandan athletes to fund their preparations ahead of the 2012 Olympics that start tomorrow in London, a senior official has said.
Investigations by this...
Kuna uwezekano mkubwa kwamba endapo serikali ingewekeza kikamilifu katika michezo walau ingepunguza kwa kiasi kikubwa tatizo la ajira kwa vijana. Ni ukweli kuwa vijana wengi wana vipaji vya...
Timu ya soka ya Hispania inayoshiriki michuano ya Olimpiki nchini Uingereza,imechezea kichapo cha bao moja kwa bila toka kwa Japan. Ni katika mechi ya ufunguzi wa michuano hiyo. Kazi imeanza...
Van Persie departure hint: Gunners release squad numbers - but no shirt for Podolski
Arsenal have announced their squad numbers for the 2012-13 season and although Robin van Persie has retained...
On Sunday the Premier met soccer legends Didier Drogba and Nicholas Anelka in a bid to convince them to open soccer academy in Kenya.
Raila who is on a one week official visit to China met...
Ndugu zangu
Msinishambulie kama mlivyofanya kwa J.Mhagama. Huu ni utani tu kwa furaha ya Simba SC "kulambwa" na Azam FC. Keep cool guys. Chonde chonde msimshambulie Jenesta; maana alikuwa...
Baada ya mpira wa Simba vs Azam kwisha na wachezaji kuelekea kwenye vyumba vya kubadilishia nguo.
Inaonekana picha ya Mwinyi kazimoto anamuomba maji mzungu mmoja wa Azam afu jamaa kamnyima LIVE...
:spy:Mtangazaji maarufu wa kipindi cha duru za michezo Wapo radio Fm Joseph Mapunda amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi ktk hospitali ya Temeke Juzi. hiyo ni kwa mujibu wa matangazo...
Kutoka kwa mwenyekiti wa simba,
ismael aden rage anadai katunzi mmiliki wa tp mazembe amemwambia kuwa wasaka vipaji wa manchester city wame2mwa kumwinda mbwana samatta ambaye samani yake ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.