Napenda kuwapongeza TFF kwa kuhakikisha mkoa (nchi) Dar Es Salaam soka linakuwa, nasi huku mikoani tunatumia rasilimali tulizo nazo kuendeleza soka vilevile na Inshaala ipo siku tutafikia kiwango...
H
Sebastian Vettel hit out at Lewis Hamilton for unlapping himself during the German Grand Prix in a bizarre incident, calling the McLaren driver's actions "stupid".
Hamilton was a...
Oliech moves to Turkey in Sh200m deal
Harambee Stars captain Dennis Oliech has joined Turkish club Kasimpasar Spor on a three-year lucrative deal worth Sh7 million a month.
Oliech has been...
Nadhani imefika wakati huu jamaa kuachana na ulingo na kujikita ktk mchezo huo kwa nadharia nyingine. Umri umemtupa mkono 'jioni ishaingia' kama watoto wa mjini tusemavyo.. Othwz njaa itamtoa...
Baada ya kaka zao La Roja kutwaa ubingwa wa EURO2012, vijana wa chini ya miaka 19 wametwaa ubingwa wa mwaka huu dhidi ya wapinzani wao Greece.
Kwa habari zaidi, bonyeza HAPA
Huu ni ushindi wa 6...
Kama mwanamichezo na mpenzi wa Yanga naahidi kwa moyo wangu wote kwamba sintakujasikiliza kipindi cha spoti cha Radio One. Sababu: Nilipoteza muda wangu mwingi kusubiri kipindi cha michezo cha...
Timu zetu zinazoshiriki michuano ya Kagame simba, Yanga na Azam bado zimeshindwa kutuonyesha kama zilikuwa
kwenye Maandalizi ya kutosha ya michuano mikubwa ya Afrika Mashariki na Kati na badala...
wwe champion cm punk DEFEAT daniel brayn
world champion sheamus DEFEAT albeto delio
John cena WIN money in the bank breafkest so he can cash for wwe champion on Raw.
Dolp zigge Win money in the...
Jamani, I stand to be corrected, lakini sijaona Mtanzania yeyote kwenye haya mashindano.
haya mashindano ndo yanatoa platform for future athletees ulimwenguni.
Nimeona nchi karibia zote za...
Kwa mtazamo wangu uongozi wa Yanga ulitakiwa kumshauri kocha mpya kuwa mshauri wa Minziro. Issue ilitakiwa kuwa hivi:- Kwa kuwa kocha mpya hakuwa anaijuwa Yanga vizuri, nikiwa na maaea ya kuwajua...
SimbaSC imekuwa klabu ya kwanza kunyakua kombe la urafiki baada ya kuibanjua AzamFC kwa Penati 3_1 baada ya kutoka 2_2 ktk muda wa kawaida. Shujaa wa Simba alikuwa nahodha Juma Kaseja baada kufuta...
Habari zenu wana jamii forums na wapenzi wa jukwaa hili la Michezo. Kwa wale tunaofuatilia ligi kuu ya uingereza,kumekuwa na matukio mawili yanayohusishwa na ubaguzi wa rangi,yakiwakabili JT(John...
Jamani tupeni matokeo, sijui Jirani yangu ameshinda maana
jana kulikuwa na watu pale kwake usiku kucha wamekesha
huku wakiwa wamewasha ubani na kuongea maneno yasiyoeleweka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.