Jamii Sports

Football, Cricket, Golf, Rugby, WWE, Boxing, Tennis and much more...
Baada ya kuonyesha kiwango cha juu kabisa katika kusakata soka mbunge mtogo kabisa kupitia chama cha demokrasia na maendeleo mh Joshua Nasari, klabu ya yanga imeanza mazungumzo na nyota huyo...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Yanga imeonyesha kile kilichotarajiwa:israel: na wengi baada ya kuichapa JKT Ruvu mabao 2-0, magoli yaliyofungwa na Cannavaro na Khamis Kiiza.
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Lilian Thuram alichezea Parma ya Italy kuanzia mwaka 1996 mpaka mwaka 2001. Alicheza mechi zaidi ya 200 na kufunga goli moja tu! Tena la kujifunga!
0 Reactions
1 Replies
932 Views
Timu ngeni na mpya katika medani ya soka Sudan Kusini.imekuwa timu pekee duniani ambayo haijapoteza mechi hata moja baada ya kutoka sare ya 2-2 na Uganda katika mechi ya kirafiki hapo jana.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu, kuna matangazo mbalimbali yanaendelea hapa nchini kuwa kutakuwa na mechi ya mpira wa miguu uwanja wa taifa DSM, JMosi kati ya waheshimiwa wabunge wapenzi wa YANGA dhidi ya wazao wapenzi wa...
0 Reactions
44 Replies
5K Views
Kenyan evicted in Big Brother Africa Stargame By JOHN MUCHIRI jmuchiri@ke.nationmedia.com Posted Monday, July 9 2012 at 00:05 Malonza Chege is the first Kenyan...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Kwa raha zake stress ya Uwaziri hana anajimwaga kinoma noma..
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu mwenyekujua matokeo au update za hawa jamaa atawekee hapa!
0 Reactions
44 Replies
6K Views
hi! jf,will kbc air cecafa kagame cup?
0 Reactions
3 Replies
2K Views
mwenye contacts za producer wa gospel music in kenya ani pm.
0 Reactions
6 Replies
4K Views
7 July 2012 Last updated at 07:45 GMT Wimbledon 2012: Radwanska ready for Serena Williams WIMBLEDON Venue: All England Club, London Date: 25 June - 8 July Coverage: Live on BBC One, BBC...
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Ilimchukuwa round sita tu Klitchko kumaliza kazi!balaaaaaaaa
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mzee akilimari nimemsikia akilaumu kuhusu shafii dauda kumpigia simu maximo kua asije kuifundisha yanga,. Nauliza je kwanini shafii ageuke kuwa msemaji wa yanga?
0 Reactions
50 Replies
16K Views
Wapendwa wapenda sport Najua mpo nafatilia game kati ya Itary VS ENgland Yaan leo ni mpambano kati ya RC ( Itary) VS Anglican (England)
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Mimi ni mmoja wa watu tunaoamini Victor Nampoka Costa ni beki mwenye kipaji cha hali ya juu sana na pengine ndiye beki mwenye kipaji kuliko wote hapa tanzania kwa kizazi hiki. Majeruhi yameshusha...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Wazee wa jijini vipi mechi ya wanazi wa mjengoni haijaanza? nijuzen kama wenye jezi nyekundu wanamuenzi Mafisango
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Yule refa feki, mwanaharamu ametajwa kwenye orodha ya watakao chezesha mechi za kombe la Kagame.Akitajwa kuchezesha mechi yoyote ya Yanga sitaingia uwanjani..nina areji na sura yake
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nimeshituka na kupata presha niliposikia CHAMA CHA SOKA CHA ZANZI-BAR kuiondoa timu ya Yanga eti kwa sbb wamemepeleka kikosi cha vijana na sio kikosi cha kwanza.Kwa mtu anaejali ustawi wa soka la...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI Tukuyu stars ni timu pekee yenye historia ya aina yake nchini Tanzania. Ilipanda daraja mwaka 1985, ikachukua ubingwa mwaka 1986, ikashuka daraja mwaka 1987...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Boss wa TP Mazembe Moize Katumbi Chapwe atembelea wanja la TP Mazembe Sehemu ya Kupumzikia wakuuView kutoka sehemu ya juu ya VIPMoise Katumbi akiangalia uwanja viti vya mzungukoMakabati ya...
1 Reactions
20 Replies
8K Views
Back
Top Bottom