Baba na mama,ni matumaini yangu kuwa mtasoma ujumbe wangu huu kwenye karatasi niliyoiweka juu ya meza,naomba msishtuke mana ni mambo ya kawaida kwenye maisha tunayoishi,najua mtaumia kwa vile bado...
Siku moja huko maeneo ya hifadhi ya Ngorongoro wamasai waliiba simu ya mmoja wa wahifadhi wakaondoka nayo. Mhusika alipokuwa anaitafuta simu akawa anabip bila kupokelewa. Siku iliyofuata...
ati ukichukua maeneo na viwanja vyoooote vinavyomilikiwa na chama cha kijani kwa nchi nzima na kuyaweka pamoja, unaweza pata eneo la kuweza anzisha wilaya mpya!!
halafu ukichukua majengo, magari...
Kulikuwa na mkutano wa madaktari bingwa kutoka nchi mbali mbali duniani wakati wa lunch kwenye meza wakakutana madaktari kutoka Ujerumani, China na Tanzania, wakawa wanajadiliana mafanikio...
Niko vibaya kuanzia akili/kimwili na hata kipesa...sasa suluhisho langu nimeona nimtafute huyu bwana labda ataweza kuokoa hili jahazi...Bishanga nakupa first priority...hii ni special kwake kwa...
CRAZY WIFE.
Ilikuwa mida ya usiku, baada ya kula chakula cha lala salama mke akamwambia mumewe
MKE: Honey, leo tubadilishe style. Kila siku style hiyo hiyo!
(Mume kwa furaha akajibu)
MUME...
Umekuta nguo inauzwa 10,000 ukaenda kwa dada na kaka yako kila mmoja akakukopesha 5,000, ulivyokwenda kununua nguo ukakuta bei imepungua inauzwa sh 9700, ukarudishiwa 300, ulivyorudi home ukaamua...
Vifaa vya kunywea mbege vimeitwa majina mengi tofauti.Na hiki ni kifaa gani na matumizi yake ni nini?
Mdau
Reactions::
. Wednesday, March 21, 2012 2 comments...
Communication is the key i believe it, we gain knowledge through it!
No body knows everything, yet nobody knows nothing!
How can i know something you know that i dont know?
Ofcourse its through...
C lengo langu kukudanganya ila na wewe mdanganye mwenzako...
Juzi niliambiwa na bibi niwashe moto nikatafuta makaratasi sikupata..akanipa noti ya sh 5000 niwashie...
Kwetu tuna nawa mikono...
Katika maisha aibu hazikwepeki,
Enzi hizo nikiwa form two likizo nilienda kumtembelea ndugu, si wakanitandikia kwenye kochi la watu watatu, nikalala kuja kushtuka mida ya saa 11 nimejikojolea...
Wewe ni baba ndani ya familia au hata kama ni wazazi wako,bahati mbaya au nzuri we ni mkali na ukikohoa tuu watoto na mke wanashtuka na wanaitika,siku moja wakaja Polisi home kukuarest,kabla BABA...
Kwako mke wangu na watoto, na jamii nzima kwa ujumla. Najua mtasikitika sana na uamzi niliouchukua wa kujitoa duniani, lakini nimeshindwa kujizuia kutokana na mambo kadha wa kadha ambayo kuyatatua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.