JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Anauzwa. Bei ni maelewano. Kama una swali lolote uliza. Wahi, yuko mmoja tuu.
1 Reactions
108 Replies
7K Views
Kuna staili nyingi za kulala. Sasa wewe unavolala unalalaje? Kifudifudi, chali, kiubavu (kulia au kushoto), unajikunja au unajikunyata?
0 Reactions
44 Replies
3K Views
We si mjanja bwana kila demu unaemtongoza anakukubali Hebu click link hio apo chini umtongoze asha ngedere halafu useme kakubali au kakataa click hapa kumtongoza asha ngedere
0 Reactions
4 Replies
2K Views
A young man to his new girlfriend "do you smoke after sex?" The girlfriend "I don't know, i never check"
0 Reactions
2 Replies
947 Views
Haya leo nimeamka na hang-over za kutoa single,nipata jina la single "nina kuzimia" kwani wasanii wengi wanatokea kwenye mapenzi sasa sijui nianzeje,hebu nisaidieni mistari waungwana.
0 Reactions
30 Replies
16K Views
Wanaume wote ambao huenda Bar kunywa na kulewa wana sifa moja kubwa. Huwa wanawaona wahudumu wa Bar hawavutii kwa uzuri wakati wanapoingia, lakini muda mfupi wakishalewa huwa wanawaona wahudumu...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Kazi kwako utajibeba lazima hapo miezi yote unazungusha NO SEX. posted by Charles @ 2:56 PM
0 Reactions
13 Replies
3K Views
JF mnafanyaje pale unapohisi akili imechoka ,inahitaji mtu unayemwamini umwambie jambo linalokusibu..linalokuchosha atakayekuwa tayari kukupa muda wa kukusikiliza ...kukuadvice and so and so...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
‎"MLEVI mmoja alioa mke. Mkewe alikuwa hajatulia hata kidogo. Siku moja mkewe akiwa anajivinjari na msela, MLEVI akarudi home ghafla. mkewe akamwambia yule msela Usiondoke, lala hivo hivo...
2 Reactions
9 Replies
1K Views
Mwenyekiti wa kamati ya mazishi akainuka na kuanza kusema ‘kinachofuata sasa ndugu wafiwa na marafiki wa marehemu ni kusoma historia fupi ya marehemu tuliyemzika hapa leo, karibu ndugu...
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Taja jina la demu au njemba wa kwanza kukuchungulia katikati ya mapaja aka ku duuu nae! Mi wangu wa kwanza alikuwa ni Kokushubira hukoooo mbeya kwetu, haya mtaje wa kwako na wewe.............
0 Reactions
14 Replies
3K Views
kwa muda sasa nimekuwa nawashangaa kwann wanasayansi watuambie kuna jua moja wakati ukweli kuna jua la afrrika na jua la ulaya. tofauti yake ni kubwa sana, jua la ulaya wakati wa majira ya baridi...
0 Reactions
16 Replies
4K Views
Nani anapenda. . .nani hapendi? Mi leo nimekula zilizowekwa mchicha kwa mara ya kwanza. . .Tamu mpaka raha, sema chai tu ndio ilikosekana.
0 Reactions
12 Replies
3K Views
Binadamu tunapitia mambo mengi katika maisha yetu. Nimeamua kuanzisha uzi huu ili tupeane uzoefu wa mambo yaliyotukuta,na kujipa matumaini mapya ya kusonga mbele,na kuwapa pole wenzetu,kwa...
0 Reactions
41 Replies
4K Views
This incident, is supposed to have happened in real life. My friend, who is a the head of Human Resources at a very large bank, says that the best excuse for absenteeism, that he had ever...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimesikia katika vyombo vya habari Leo Tarehe 14 March 2012 ni siku ya hesabu Changamoto iliyosema ni pamoja kwa ufaulu wa hisababi kuendelea kushuka Tanzania Inabidi tuhimize kizazi hiki kipende...
2 Reactions
110 Replies
6K Views
Mwalimu mmoja wa shule ya msingi aliwaambia wanafunzi wake waulizane vitendawili. Wanafunzi wawili wakasimama kuulizana., MWANAFUNZI 1:"Kitendawiliiiiiiiii....." MWANAFUNZI 2:"Teghaaaaaaaa...."...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Hivi unaweza kumuozesha mwanao kwa mvulana aliyetoboa sikio?
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Karatasi laini sana..hii na ina maandishi haya ....No 1 in Africa ....Art of Rolling ....Roll your Own... Najua zinalipiwa kodi wakati wa kuingia Nchini. Je zinaingizwa kwa matumizi...
0 Reactions
14 Replies
1K Views
Majira ya saa moja kikao kilianza rasmi mpaka sasa kinaendelea kwa muda usiojulikana.Mada kuu ni kuibinafisha jf kwa magamba ili Ipunguze kuanika ouvu wao.kwa wenye pingamizi nilazima uwe cv...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom