WAKATI MWINGINE DALADALA
INARAHA ZAKE,KWA WALE WENYE
MAGARI NA AMBAO HAMPANDI
DALADALA...HIVI NDO VIOJA
TUNAVYOPATA WENZENU
BARABARANI! Mlokole: "Nyimbo gani
mnapiga?!? Wekeni
nyimbo za...
Aisee MADEMU WENGINE SIO WA
KUPARAMIA JAMANI LEO NIMEKOMA.
Na sitarudia tena ujinga huu, sasa
demu mwenyewe cmjui nimemchukua
njiani tu kwa tamaa tukaenda guest,
tumekaa kanichekelea...
imamu kawaambia wanawake mckitini,anaeteswa na mumewe kati yenu asimame,woote wakasimama kasoro mmoja tu kabaki amekaa. imamu akamwambia"mashaallah wewe huteswi na mumeo"? akajibu,"kanivunja miguu...
Kwa kweli katika maisha kuna vitu vidogo sana lakini vinaumiza saaaaana moyo, na vinatoa maumivu makali sana. Kama unabisha JICHOME NA PINI KWENYE MAKALIO uone maumivu yake
SECTION A
Hivi kama ni kweli wanawake ni wengi kuliko wanaume (five women per man), nyumba ndogo zitaisha? Changudoa's wataisha?
******
SECTION B
Wimbi la wanaume kuchelea au kutokuoa lina...
... Wadau ...
nåfaham kabisa leo ni Friday..
...nafaham kabisa "TUPO".. bar...
...nafaham kabisa kuna watu wamedhamiria kuzima usiku huu...
...na ninafahamu kwamba kuna WAZEE watarud leo home na...
Wamakonde ni noma,
katika kuwafukuza wamakonde ambao walikuwa wamezagaa town bila kazi serikali iliamua kutumia mbinu ya kuwauliza maswali ili kuwabaini coz walikuwa wamejichanganya na raia...
Dogo1,kamuliza mama yake,mama mbona me sifanan na ndugu zangu wote?
mama;kwann?
dogo;mbona me mweus kuliko wote?
mama;wasamehe tanesco,
dogo;kwanini?
mama;wakati babaako anapiga bao,umeme ulikatika.
Katika basi Mama mmoja alitak akumunyonyesha mtoto mtoto akakawa hataki mama akaona nibora amtishie mtoto ili aweze kunyonya kwani safaari ilikuwa bado ni ndefu!Mama akamwambia mtoto kama hunyonyi...
Kauzu..Kaanguka na kazirai nje ya kiwanda cha bia (TBL) wasamaria wema na wafanyakazi wakampa huduma ya kwanza kwa kummwagia maji ili azinduke..
mara akazinduka kwa ukali akapayuka "nyie...
Wanyama wote siku moja walikuwa darasani wanasoma,Mwalimu akawauliza swali, je ni mnyama gani ana maskio makubwa? simba akamgeukia punda kwa dharau na kuanza kumcheka sana huku akijibu haraka na...
Hivi mkipewa pesa ka buku 10 au pesa yoyote na mwanaume wakati hujamfanyia kazi yoyote wakati hiyo noti imeandikwa FEDHA HALALI KWA MALIPO YA SHILINGI ELFU KUMI.. huwa kamuoni noma? Ningekuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.