Maisha magumu (kwangu)..muda huu na ka-weekend haka ningekuwa somewhere nakula gambe....lakini haina shaka nipo nimetulia nalamba asali na kutafuna masega..Sipati nishai lakini najenga afya!
Awali ya yote naomba nikiri mbele ya hazala hii kuwa uzi wa 'jf udaku' kwangu ulikuwa ndo sredi of ze year 2011.
Kudos kwa aliyeshusha uzi huo (jina la mdau husika memory un reachable).
Ndugu...
University students waliingia kwenye
quiz ya kuongea, two friends ambao
walikuwa wakisaidiana walikubaliana
aingie mmoja ambaye yuko vizuri
kichwani ili akitoka ammezeshe
mwenzie.
Kwakuwa...
mc ukumbini katika kumpamba bi harusi akasema, 'sasa nawapa sifa kubwa za bi harusi, tangu nimfahamu bi harusi hajawahi kuvaa nguo za ndani' watu wakaduwaa. Akasema 'narudia kwa msisitizo na...
A Man was sick and tired of going to work every day while his wife stayed home. He wanted her to see what he went through so he prayed: 'Dear Lord: I go to work every day and put in 8 hours while...
Jaman wana jamvi,huyu washawasha yuko wapi na ile nalog off yake au amebadili user name,tafadhal mr/miss washawasha popote ulipo ebu jitokeze jamvin japo tujue km upo hai.
jamani kwa watumiaji wa barabara ya tegeta
kuna matrafiki wametanda barabarani
wanakula vichwa kama hawana akili nzuri
kama una gari, hakikisha umejipanga.
Jamani hapana hili wazo la kufungwa kwa mtandao wetu, unaotusaidia kifikra ,kimawazo. Sikubaliani nalo na hoja iliyotolea jana bungeni, kuwa mtandao wetu wa kijamii, unapotosha jamii kwa kutoa...
Leo nilipita sokoni Majengo hapa Dodoma katika kujipatia bidhaa, wakati nazunguka sokoni nikaona sehemu mama mmoja anauza Ubuyu (wenye rangi mbalimbali pamoja na unga wake). Nilivutiwa kwenda...
Hii ni style mpya nawapa ya matangazo ya kifo incase ukiondokewa na ndugu yako kama ameishia la saba unaandika burian mr/mrs /miss sososos(certificate prmary school,mbagala))
KUNA MTU AMETANGAZA...
Jamani nimependana sana na mke wa mtu na tayari tumepeana promice na huyu mama kwakweli ananipenda sana the same to me, wanajf vipi hivi kweli nitembee naye au nimwache na kasema anatamani sn...
Nimeikuta hii kitu leo inawezekana wengine tayari walishaona. Ni kifaa kizuri cha kutumia mjini halafu bei yake sio ya kutisha sana. Bongo zimeshaingia kweli?
Maelezo yake yako hivi:
Toyota FJ...
Jamaa mmoja alikuwa na marafiki wa3, na kati yao mmoja alikuwa anatembea na mke wake. Siku moja akawakaribisha wote wa3 kwa chakula na vinywaji. Wakati wanaendelea kunywa, jamaa akaingia ndani...
Wadau nawakariibisha sana wakati huu tujumuike pamoja katika kuchafua jina lakini in the other hand unajenga afya. Mimi hapa nachafua jina kwa ugali na mlenda plus mtindi. Karibuni sana, sharti...
baba kajibanza anashudia mwanae akiombwa game na jamaa:
Jamaa: Nikubalie tuu kasuku sitaiingiza yote!
Baba kakurupuka:Usikubali mwanangu hiyo haina mabega!!!
Sala Kuu: MOSHI: Mungu Onesha Sehemu Hela Iko?
Viitikio:
1.Hata Ikipungua Mungu Ongeza! (HIMO)
2.Mungu Angalia RAia NGawira Utuhakikishie! (MARANGU)
3.Mungu Ahidi Mapesa Bila Ajira! (MAMBA)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.