JF Chit-Chats and Jokes

General Chat, Talk about anything that falls under no category on the board, but remember FOLLOW THE RULES!
Kuna ticha mmoja ambaye alikuwa katika mafunzo kwa vitendo. Siku ya siku assessor alikuwa anakuja kwa ajili ya kuangalia swala zima kama kijana kaiva kwenye vitendo. Mwalimu huyo aliandaa zana...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
Habari zenu wapendwa mie nilikuwa naomba mnisaidie jinsi ya kumjua msichana mwenye mapenzi ya kweli.
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Habari zenu, wakuu. Jana I googled myself nikakuta jina langu kwenye list ya board ya higher learning ya watu wadaiwa ambao hawajalipa au kuanza kulipa mikopo yao ya chuo. The odd thing is...
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Jamaa alikuwa amechelewa kazini,kwa kuwa foleni ilikuwa ndefu. Akawa anamtumia boss wake ujuembe kama atachelewa, baada ya kumaliza message akawa anataka kubonyeza 'send' simu ikaporwa.Mwenye simu...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Baada ya JUKWAA LA SIASA kuniteka kwa mda sasa nimerejea kundini.
0 Reactions
6 Replies
981 Views
.
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Siku moja mtu mmoja jijini Dar aliendesha baiskeli usiku bila ya kua na taa, kwa bahati alikutana na askari mgambo na akamsimamisha kwakua hakua na taa. sasa maongezi yao yalikua kama ifuatavyo ...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
1. ....kupost thread nyingi..... 2. .....kuchakachua thread za wenzake.... 3. .....ukorofi-korofi wakati anarespond kwenye posts ...... 4. ....kuandika thread ndefu...... 5...
0 Reactions
74 Replies
5K Views
A boy went to the gym and ask the coacher BOY: hey i want to impress a girl and i will meet her after 3 days which machine should I use? COACHER: use the ATM machine outside..!
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Jamani heri ya mwaka mpya, mwenzeni nilikula bani tokea mwaka jana mwezi mpaka leo hii. Nilisikitika sana kui miss jamii forum hivyo sasa nitakaa kwa adabu zote.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
wadau kuna post ilikuwa imeelezea kwa undani histora ya wachaga ntaipata wapi?
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Let it go.... There are pple who walk away from u, when pple walk away from u let them walk.. Don't talk another person into staying with u, loving u, caring about u, calling u.. Don't talk...
0 Reactions
4 Replies
886 Views
Taarifa zilizopo kwenye deports/wakala wa bia zinaonesha kuwa kale kabia nako kameshapanda bei tena kwa asilimia 12.5. Tumekwisha. hakuna tena kupanga mipango na na migogoro itazidi kwani wanaume...
0 Reactions
22 Replies
2K Views
Wadau tusaidiane kuhabarishana ili tujue wekend inaendelea au kesho kwa wakoloni kama kawa? Wenye uelewa wa hii siku kuu watusaidie
0 Reactions
10 Replies
1K Views
jana tulikuwa sehemu tunapata moja moto moja baridi baada ya kijimuda kupita kuna kaukimya flan kakajitokeza pale... Mara jamaa m1 akaamua kuuliza ivi nchi gani ipo jilani na USA Kuna mwanetu m1...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Dah, nilijikuta ghafla nimefika Posta ya zamani, acha ile mpya yenye makelele na mijengo mingi ya kisasa. Pale kwanza kuna upepo bwana, wa bureeh! Afu kuna garden pale mbele ya NBC Corporate...
2 Reactions
81 Replies
6K Views
Jamaa mmoja alikuwa na tabia ya kutembea na watoto wa shule. Ikagundulika kuwa amempa mimba mwanafunzi. Akafikishwa mahakamani. Baada ya kuona kafikishwa mahakamani akaenda kwa mganga kuloga ili...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
mzee moja amejisahau na kwenda kwa mkewe na condom kwenye boo
0 Reactions
4 Replies
1K Views
One day a mother went 2 visit her son Tom and his room mate, but when they were up for breakfirst the mother recognised that there was something going on between the two, Tom reading his mother's...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Mke: hivi mume wangu mi nikifa utaoa tena? Mume: kwanini nisioe.? Nitaoa tu. Mke: huyo mwanamke ataishi humu ndani? Mume: ataishi humu na atakuwa anawatunza watoto wetu. Mke: atalala kwenye...
5 Reactions
26 Replies
4K Views
Back
Top Bottom