Serikali imeamua kufuta wizara ya afya na kufuta kabisa ajira ya madaktari na wauguzi ikiwa ni pamoja na kupiga marufuku maduka ya dawa za binadamu na kuwataka watanzania wasiugue tena, serikali...
Nenda katika msitu wenye nyani wengi.Msitu huo uwe na akina mama wanaokata kuni,kufunga mizigo ya kuni na kuibeba kichwani.Daima nyani huwaangalia kwa makini sana hawa akina mama wakidhani kwamba...
je ushakutana na kichekesho ambacho hakichekeshi halafu unaona watu wanacheka?
au ushatoa kichekesho ukajua watu watacheka alafu wasicheke?
Utajisikiaje?
Ebwana daaaaah!!!!! CHEPE alikuwa anamlalamikia rafiki yake kuwa Kiganja chake kinamuuma sana, inabidi akamuone daktari....
Rafiki yake akamjibu...
"Haina haja ya daktari.. Kuna computer...
Ni rahisi kweli watu kuwa nyuma ya computer na kumuattack /bash a.k.a kumponda mtu mwingine kwa muonekano wake hata kama mpondaji hamjui mhusika kwa sura kwasababu tu yeye haonekani. Yani...
Ushawahi kuwa mmbea? Ulishasutwa?
Mi niliwahi zamani kidogo wakati nikiwa darasa la nne nadhani, na nilivunja urafiki na my 'then' best friend kwa huo umbea na hapo hapo nikakoma.
Kulikua na...
.......Wana JF nadhani mpo salama, leo nimeona si vibaya kuongelea mavazi haswa yanayoendana na umbo lako.
Kuna hii tabia haswa kwa wanawake wenzangu unajua kabisa tumbo lako limelegea na wewe...
John alimwalika rafiki yake Fred nyumbani kwake kwa ajili ya dinner na vinywaji. Baada ya maakuli na wakati vinywaji vinaendelea John, mkewe John (Lisa) na mgeni wao Fred walikuwa wanacheza...
mume anaingia ndani kutoka kazini na kusema."mke wangu nina matatizo makubwa"
"sema tuna matatizo mume wangu sisi tu mwili mmoja" mke anapoza
"ok! tuna matatizo mke wangu, tumempa mimba secretary...
Valentine ndio hiyoooo inakaribia lakini mpaka sasa sijajua nitatoka na nani. Mpenzi wangu wangu ambaye nilitegemea ndio nitatoka naye tumeshaachana kwa sababu yeye alinitenda. Sio siri wana JF...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.