Jaman watumishi wa serikali!Jaman watumishi wa serikali nyie!
Watumishi wa serikali walienda kwa babu Loliondo, baada ya kupata kikombe babu akawaambia,
"haya 500 yangu"
si wakatoa kadi za bima ya...
mwalimu mmoja wa PHYSICS alikutwa akitongoza mwanamke mitaa ya uswahilini kiphysics zaidi kama ifwatavyo.
listen baby wheneva i see u ma heart accelerate 2 da maximum velocity `v`, initially...
Jamaa yangu huwa nafanya part time job baada ya masomo yake muda wa jioni nchini Norway. Hivi karibuni kakutana na kauli ya dharau toka kwa kibabu kinachotunzwa ktk nyumba za wazee. Jamaa wakati...
Teacher: - What's wrong?
Johnny: - Our house is very small. Me, my mum, my dad, we sleep on the same
bed. Every night my dad asks, 'Johnny r u sleeping?' Then I say No & then he slapped my face...
ebana leo nimeshuka ubungo terminal kutoka mkoa, nikaenda kupanda daladala za gongo la mboto (DCM aka gobore), daladala zikawa za kugombania lakini nikabahatisha kupanda japo sikupata siti...
Kwa wale wenzangu mliopitia JKT kwa mujibu wa sheria au vinginevyo.
Ni mkasa gani MKUBWA ambao ulikumbana nao ukiwa JKT aidha kwa uzembe wako mwenyewe kwa kutozingatia kanuni na sheria za JKT...
Kwa hakika ni jambo la kushukuru kwa kuwa na afya tele mpaka muda huu,
ni wengi wagonjwa, waliokata tamaa, waliofiwa, wenye mahasibu chungu nzima, tuwape pole na tuwafariji.
Na sisi tulio na...
Juzi wakati niko sehemu na washikaji tunapiga stori za maisha na bongo yetu iliyolaaniwa kwa ufisadi. Ghafla akapita dada ambaye amebarikiwa 'usafiri'. Macho ya Watu wote tulokuwa pale...
Nimekuwa nasoma threads mbalimbali za members hapa jf,jinsi watu tunavyojadili huwa naona kuna wengine wanafahamiana physically!hii imenisukuma kuuliza hilo,mimi binafsi simfahamu yeyote hata kama...
Na umri wangu huu huwa bado natatizwa. Labda wakuu mwaweza msaidia ODM kufumbua hili fumbo.
Eti ni kweli?
Wanaume wanapokojoa (haja ndogo) lazima wateme mate?
Wanawake wanapokojoa (haja ndogo)...
Wakati wa uchumba na miaka michache ndani ya ndoa wife wangu nikimuita alikuwa akiitika Beeee .... ikifuatiwa na smile. Miaka kama saba na kuendelea ndani ya ndoa kila nikimuita anaitika Eeeee...
Kuna waungwana wenye magari lakini ukiwaona walivyo smart na magari yao machafu vitu viwili tofauti kabisa
wengine wanadiriki kusubiri mvua inyeshe ndio waanze kusafisha magari yao
vile vile kuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.