Jamaa mmoja alilewa sana pombe. Usiku akiwa amelala akaota ndoto anapaa na akafika mbinguni. Akawa amefurahi sana. Baadae akamwomba mungu ruhusa arudi duniani kidogo.wakamwambia ukishafika...
Hivi ktk katiba mpya kiwekwe kifungu kuwa kila mmoja amuoe aliye mtoa bikira. Je! Huyo uliye nae utamuoa au ataenda kwa aliyemtoa bikira?. We utampata wa kuoa au wa kwako wote uliwapata tayar...
Someni, kuweni serious kwenye shule, mmepata fursa ya kuwa kwenye familia inayowasapot ipasavyo kwenye elimu halafu mnaleta upuuzi kwenye mambo muhimu. Tambueni wapo wengi wanaotamani kuwa kama...
nitajie jina la kiswahili la mti wowote ule
ambao hauitwi kwa kuanza na herufi m......
na hapa nazungumzia mti,mimea
miti ya kupandwa ardhini...mfano mwembe,muarobaini, n,k.
Kuanzia features, text inayoweza ku support, graphics, storage capacity, aina ya data inayoweza kuhost, user friendship n.k.
Kwa vigezo hapo juu na vingine vingi, je ni mtandao gani unaokuvutia zaidi
Salaam wana JF
Wakati nasoma Sua, ue ya kumaliza semister ya pili, nipo kwenye pepa, bado kama maswali mawili. Msimamizi akatangaza kuwa bado ten minutes. Mtu mzima nika "piz" (kitu kikasimama...
It can buy a bed-----------but not sleep
It can buy a clock----------but not time.
It can buy you a book-----but not knowledge.
It can buy you a position----but not respect.
It can buy you...
kwa wanao amini;
ivi mbinguni tutapewa miili na rangi mpya let say watu wote tuwe wa blue,au wote tuwe black kusiwe na masuala ya wazungu na waafrika, waarabu n.k
wale washkaji kina emolo...
Salaam JF!
Kila niki Quote thread au niki edit thread kuna herufi kama hizi <br />
Zinatokea <br />.
Nimechunguza hata kwa wachangiaji wengine zimekuepo kwenye uzi zao
Ndio virus au nani...
I remember one day when Flo went to a wedding counselor and complained their never ending fights. The counselor advised Flo- when he starts talking you just keep quiet. FLO left happy and eager to...
Marafiki wawili,kipofu na Kiziwi walikuwa na Maongezi kama ifuatavyo.Kipofu akamwambia mwenzie(Kiziwi) kwa ishara;"Jana nilichelewa sana kurudi nyumbani,wife alinibwatukia sana,ili kuepukana na...
Imegundulika kwamba maskini anayeishi miongoni mwa matajiri hufa haraka kuliko masikini anayeishi miongoni mwa masikini wenzie.Mtu jana kalala njaa,anamka asubuhi unakutana na mtoto wa jirani...
Jamaa wawili wakitoka matembezini saa 6 usiku waliamua kutumia njia ya mkato kupitia makaburini kurudi makwao.Wakiwa katikati ya graveyard mara wakasikia mlio kama mtu anagonga kitu,tap-tap,jamaa...
Muitalaliano mmoja baada ya kulala na changu akampa dola feki. Baadae akampigia simu akamwambia, "Dollar i gave you is fekelo". Changu akamjibu, " The HIV I gave you is originero"
Hebu tuorodheshe ugumu wa maisha au vitu vinavyopelekea ugumu wa maisha katika awamu hii ya kikwete.
- mafuta kupanda bei.
- umeme mgao usioisha.
- upandaji wa nauli wa kihorela.
- network...
Jamaa mmoja alikuwa na mke msamaria mwema sana.Mumewe akinunua vitu yeye lazima agawe kwa majirani.Kutokana na ugumu wa maisha,mume akachukua uamuzi wa kumgawia vitu vyote vya matumizi mkewe kila...
kuna jamaa mmoja alikwenda kuoa huko kigoma, harusi ilipokwisha wakaenda mapumzikoni(honey moon) na mkewe.
walipomaliza hiyo honey moon jamaa akarudi kwa wakwe zake kushukuru kwa vitu vzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.