Ni mbunge wa viti maalumu Mbeya (CCM) na mkiti wa kamati ya bunge ardhi. Leo akiwasilisha maoni ya kamati yake kama kawa kaanza na kushukuru hadi panya wa nyumani mwake na kisha familia yake...
nimemind sana mtoto mkali ananitabasamia halafu rafiki baya limenibania linamwambia aachane na mimi halafu limeniangalia kwa pozi!hivi ni kweli midemu mibaya inaringa au ni wivu tu kwasababu...
eti wachaga Wamezoea pesa mpaka ukiwauliza saa badala ya kusema kamili wanasema kesh(mfano ukiwauliza ni saa ngapi, kama ni sasaba kamili wanasema sasaba kesh!!
Wa ndugu,
Huyu jamaa wakati kamati kuu inamalizika na kutangaza mikutano ya jana ya Arusha juu ya kuwaelewesha wananchi juu ya upuuzi wa uliofanya na madiwani wale ilitangazwa...
Hongera zikufikie, kimwali kumtwaa
Wambea msiwasikie, nyumba na mitaa
Karaha msizishike, msingenyo kukataa
Hongera zikufiee, kimwali kumtwaa...
Kwa mbali msikike, mkipeta na ku ng'aa
Pamoja...
amini usiamini chaja na simu ni mtu na mpenzi wake, na walitaka wasikutane (kimwili)
mpaka wafunge ndoa, ila wewe na wenzako mlivyokuwa mna tabia mbaya mnachukuwa
chaja mnaichomeka kwenye simu...
Mwanafunzi mmoja baada ya kufanya kosa shuleni,mwalimu mkuu alimtuma aende nyumbani akamlete mzazi wake.Alipofika shuleni na kuelezwa makosa ya mwanae,baba wa yule mwanafunzi alikasirika na...
Walianza maji tukakubali kwa ahadi,wakaji umeme tukazoea,ikawa mafuta ikawa ni kuamka alfajiri kuwai foleni.
Chonde chonde msije mkaingia kwenye bia maana hizo ndo zinatupotezea mawazo.
Tuesday Feb 24, 2009
Varsity sacks Kenyan impostor
PIUS RUGONZIBWA, 24th February 2009 @ 10:07
Management of St Johns University in Dodoma has sacked Kenyan Paul Maweu, who the...
mimi ndugu yenu, nilipotea kwa muda. Mime pata mchumba binti wa miaka 22, ni mwenyeji wa same (mpare), msomi wa shahada nani mjasiliamali (enterprenuer) pia. Tabia za watu hawa sizifamu vyema...
Jamaa mmoja mzungu alikuwa anakatiza gengeni na nyani wake, yule nyani akanyakua ndizi na kula, mwenye genge (a black man by the way) aka mind, yule mzungu akamwambia unalalamika nini na hali...
1. Akiamua kutulia ameamua
2. Hana aibu za ajabuajabu
3. Bikra yeye atataka kuonja kidogo nje, kicheche hatahisi kama kuna kipya
4. Ana uzoefu wa kutongozwa kwa style nyingi, hataona jipya...
Mzee mmoja mpenda vibinti alianza kumsumbua hausgal wake akitaka mambo ye2 yalee! Baada ya kusomeshwa bint akaelekea kwa bed, zee lkataka kutumia condom lkn hausgal alvyoona vile akamwambia "mi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.