Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Hivi ina maana thamani ya Voda ni mara 20 ya thamani ya tiGO, haya manunuzi kafanya bilionea Rostam. Mimi sijaelewa kabisa Bei ya manunuzi haya, wataalamu mtufungue. Au ndo Hawa wamefake thamani...
7 Reactions
25 Replies
4K Views
Wakuu habari, nataka kujua kama kuna mtaalamu wa kunifundisha namna ya kutengeneza forex robot (automated trading system) hata kwa malipo Ni programu ambayo inasaidia ku trade automatically...
4 Reactions
9 Replies
3K Views
Katika pekua pekua zangu, inaelekea kuwa Benki ya Dunia imesahau kuiweka Tanzania kwenye orodha ya low income countries. Yaani kwenye low income countries duniani hatuonekani na huko kwenye middle...
5 Reactions
52 Replies
4K Views
ndugu wapenzi wa jf nimefarijika sana baada ya kuona huzuni zote na makelee yote ya watanzania hayajawasaidia kumshawishi raisi kuwaweka ndani wale walioiba pesa za epa na matokeo yake walioiba...
0 Reactions
8 Replies
3K Views
Oil hits near 4-year low on weak economic news Thursday, December 4, 2008 | 7:38 AM ET The Associated Press Oil prices sank Thursday to lows last seen nearly four years ago as more bleak...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Wakuu, Naomba kuuliza kwa yeyote anaejua ni wapi naweza pata vifaa vya michezo vya watoto wadogo. Kama bembea nk Nina kadaycare kangu kadogo,, namshukuru Mungu, sasa nilitaka April niweke...
2 Reactions
10 Replies
4K Views
Wakuu msaada wenu wa ushauri ninamna gani naweza pata wateja wengi nawateja wapya katika biashara
1 Reactions
12 Replies
2K Views
Kutokana na watu wengi kuniandikia kuniuliza kama ni salama kuwekeza pesa JATU company PLC. Nimeamua kufanya utafiti na maswali kwenye utafiti wangu yalikuwa kama ifuatavyo;- 1. Nani anaongoza...
3 Reactions
30 Replies
8K Views
HZH na PPR Tanzania Yapatiwa Euro Milioni 2 na Finland kupitia TMEA Want to spread the word about your newest video? Share your video...
1 Reactions
21 Replies
4K Views
INFLATION RISES TO 12.3% IN NOVEMBER-Daily News(18/12/2008) Wajameni hela ya Tanzania yaanza kurudi kwenye madafu.Exhange rate ya sik za karibuni zinaonyesha kuwa dola moja sasa inauzwa kwa...
0 Reactions
44 Replies
8K Views
Naomba kutoa ushauri kwa banki na mitandao ya simu hasa hasa mitandao, mfano mtu anapotaka kununua kifurushi kwenye laini ya simu mfano: mpesa na akawa hana salio la kutosha ila wakati huo...
1 Reactions
5 Replies
803 Views
Elon Musk has a lot to thank Twitter Inc. investors for, as he has already made more than $1 billion after disclosing that he bought a boatload of the social media company’s stock In a 13-D...
1 Reactions
0 Replies
410 Views
Habari, Samahanini kwa kurejesha huu uzi jukwaani kwa mara nyingine! Kwa wenye uzoefu na kazi hii au wateja wao naombeni mchango wenu wa kimawazo: • vifaa vinavyohitajika ili kufanya shughuli...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Mke wangu kaoota nyoka anamzuia kila akijaribu kupita njiani. Kila akijaribu kutafuta upenyo nyoka anaziba njia
1 Reactions
3 Replies
589 Views
Kuna wakala rafiki yangu nimempa pesa ya kunitengenezea laini za uwakala lakn katika lain 3 moja ndio ipo tyr nyingine nazungushwa wiki na nusu saiv kila siku kesho madai yao system inazingua na...
1 Reactions
10 Replies
558 Views
Habari wanabodi? Ni matumaini yangu makubwa kuwa hamjambo humu ndani na manaendelea na ujenzi wa Taifa letu na harakati za kusaka mkate wa kila siku. Bila kupoteza muda, ni kwamba kumekuwa na...
2 Reactions
9 Replies
5K Views
Habari za kwako binafsi usomae Bandiko hili, Natumaini uko poa sana. Eeeh bhana mimi ni mtumishi na mjariamali pia. Katika harakati za ujasiriamali nilifungua duka la Dawa Muhimu (DLDM). Kama...
4 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari wana Jamii Forums, Ni kauli ambayo nilipatiwa na mfanya biashara mmoja anaefanya shughuli za kubandika kucha, kupaka rangi, massage na ususi ingawaje hakutoa maelezo ya kina zaidi...
2 Reactions
8 Replies
2K Views
Wakuu nimekuja msaanda kwenu nisaidieni hii biashara nataka kuanza ifanya kwa njia ya mtandaoni na nivip naweza pata mzigo China
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Naomba kwa wazoefu wa hii Mambo, namna ya kupata mashine za uwakala NMB, nimefuatilia sana bank lakini napigwa danadana mnooo mpaka sasa ni miezi 9 imepita bila mafanikio, mwenye uzoefu na hii...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Back
Top Bottom