Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Kutokana na watu wengi wanatumia smartphone kwa matumizi yao ya kila siku.Matumizi hayo yanaweza kuwa kibiashara, kielimu, ajira n.k. Katika ichi yetu kuna watimiaji wa smartphone kutoka kampuni...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
NEEDS Haya ni mahitaji muhimu ambayo mwanadamu anayahitaji ili aweze kuishi. Mfano: Tunahitaji maji ili tuweze kuishi, tunahitaji chakula ili tuweze kuishi. WANTS Vitu ambavyo mwanadamu...
1 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari za weekend..... Wauzaji wa bidhaa za forever living, kwanza hongereni kwa kufanya hiyo biashara inayohitaji kipaji cha hali ya juu kuweza kuongea sana na kumshawishi mteja, ni kipaji...
40 Reactions
319 Replies
47K Views
Nimeiyona kule mjini twitter nikaona nije tushee kwa pamoja ili kuondoa upotoshaji.
0 Reactions
1 Replies
413 Views
Mwenye uzoefu wa mashine za kusaga na kukoboa nafaka. Units ngapi za umeme zinasaga gunia moja. Aina gani ya mashine ni nzuri.
2 Reactions
31 Replies
13K Views
Habar wakuu, Kwanza nikiri kuwa nepata wazo la kufanya hii biashara ya maharage ya kuchemsha kutoka humu humu kwa MSELA Q Beans, Ila sio dhambi, msela nimemtafuta kwa number yake ile ya watsap...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Mbunge wa viti Maalum Mkoa wa Dar es Salaam Mhe Mahawanga Janeth ameshiriki kama Mgeni Rasmi katika uzinduzi wa mradi Maalum wa Digimali unaotekelezwa na shirika lisilo la kiserikali la Her...
0 Reactions
1 Replies
905 Views
Mimi ni kijana, ninataka nifungue biashara ya urembo sehemu fulani. Nimeshapata fremu ya duka but bado sijajua utaratibu wa kupata Leseni ya Biashara ili niweze kuanza kuuza bidhaa zangu Michango...
4 Reactions
19 Replies
17K Views
Wakuu, nina uzoefu na haya maspanners, fix, ring, sockets, power handles etc. Nafikiria kufanya biashara ya kuuza haya maspanners aina zote jumla na reja reja pale Kariakoo. Je, hii idea iko...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
DEMAND Kitendo cha mwanadamu kutamani kununua bidhaa na kuwa na uwezo wa kununua bidhaa na kuwa teari kulipia hio bidhaa kwa bei husika hii ndio tunaita DEMAND. Kitendo cha mwanadamu kutamani...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
10 Copper Facts Copper has a reddish-metallic coloring that is unique among all the elements. The only other non-silvery metal on the periodic table is gold, which has a yellowish color. The...
4 Reactions
1 Replies
486 Views
Kwa kutambua na kuheshimu umuhimu wa wateja wetu, Johngs inapenda kuwakaribisha katika mafunzo ya uzalishaji bidhaa za VIWANDANI yatakayo fanyika ofisini kwao Mbagala-kizuiani. Mafunzo hayo...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari wakuu, Nimekuwa mzoefu kidogo kuagiza vitu kwa njia ya air kupitia makampuni mbalimbali. Kwa leo nahitaji mwenye uzoefu wa njia ya meli. Maana mizigo ya ndege inaenda kwa uzito. Ila ya...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
Wakuu habari! Niende moja kwa moja kwenye mada husika. Humu kuna watu wana experience walishafanya au bado wanafanya itasaidia kwa namna moja au nyingine. Niko na idea mbili tatu sijajua nifanye...
2 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wakuu naweza kupata mkopo bank dhamana ikiwa pesa zilizokuwepo kwenye account yangu? Mfano, kwenye account Nina million 40 nataka kununua Guta nifanyie biashara hivyo sitaki kushusha salio...
0 Reactions
28 Replies
4K Views
OLIGOPOLY Kwanza neno oligopoly limetoka kwenye maneno mawili ya ki latin maana yake ni wauzaji wachache. Sifa za Oligopoly: 1.Ugumu wa kuingia kwenye hili soko Kutokana na mtaji wake kuwa...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu kwema? Poleni na mihangaiko ya maisha pamoja na Ups and Down za January. Mada ya uzi wangu ni kama kichwa kinavyojieleza juu. Kwa wafuatiliaji wazuri wa JF na mitandao mingine duniani...
6 Reactions
89 Replies
10K Views
Je, ulishawahi kutapeliwa na kampuni iliyosajiliwa!? Taasisi nyingi za kiserikali na binafsi kwa sasa husajili vitu vingi online ili kurahisisha na kuongeza ufanisi. Mfano TRA na BRELA. TRA...
1 Reactions
0 Replies
655 Views
MARKET STRUCTURE Kwa kiswahili huu ni muundo wa soko au aina ya soko. Kama mfanyabiashara au mtu ambae unataka kuingia katika biashara basi ni vyema ujue aina tofauti za masoko yaliyopo na vigezo...
3 Reactions
2 Replies
2K Views
habar za jioni wakuu, hisikeni na kichwa cha habar tajwa hapo juu...nimekuwa na uelewa mdogo kuhusu hz compressor za kuoshea magari wakati nina uhitaji nazo ..kwa maana ya kwamba nahitaji kununua...
1 Reactions
14 Replies
3K Views
Back
Top Bottom