Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Chimbo gani naweza kupata mafuta ya kula kwa bei ya jumla, ni haya mafuta ya kawaida, sio ya Alizeti.. Ila nahitaji kwa bei ya jumla. location: Dar Sent from my Infinix X572 using JamiiForums...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu nauliza jambo moja leo, mnafahamu pesa ya Marekani ni pesa maarufu sana sio kwa Tanzania pekee bali hata nchi zingine zinatumia Dollar kama njia ya kufanya exchange ya pesa. Sasa nauliza...
1 Reactions
20 Replies
5K Views
tuwaombe wenyeviti serikali za mtaa mkoa dsm wamsaidie mkuu mkuu mkoa dsm pamoja na serikali kwa jumla kwenye hili la wamachinga ni ngumu mkuu mkoa kuzunguka kila mtaa kujua wamachinga ambao...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Rafiki yangu mpendwa, Maisha ni mfululizo wenye machaguo ya kupata na kukosa (trade off). Hata uchague kiasi gani na uwe na mamlaka makubwa kiasi gani, huwezi kupata kila unachokitaka, kwa...
1 Reactions
1 Replies
851 Views
Likizo inayokuja nataka kufanya kitu tofauti kwa watoto wangu. Pamoja na kujisomea nyumbani ila nitaweka nguvu kuwafundisha biashara kwa vitendo. Nataka niwafungulie biashara ya kufanya kila mtu...
14 Reactions
39 Replies
5K Views
Wakuu, Mwenye uzoefu wa biashara ya nguo na vitu mbalimbali kutoka huku Tanzania kwenda kuuza Malawi naomba aliyewahi kufanya biashara nchini Malawi anipe uzoefu
1 Reactions
16 Replies
4K Views
Wana JF, Naomba kujua mtu anawezaje kuwa na Computer iliyounganishwa internet na kupata pesa kwa kuwa "Affiliate market" hasa wa sekta za utalii na Hoteli au biashara nyingine? Naweza kuwa...
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimeona bureau de change moja inaitwa Kadco. Je hawa wameufata vigezo gani hadi kuruhusiwa?
3 Reactions
45 Replies
6K Views
Habarini? Sina maelezo sana maana nina moyo wenye uchungu sana na machozi yakinilengalenga,naenda straight to the point... Kutokana na mgao wa umeme unaoendelea nchini nimelazimika kufunga...
9 Reactions
24 Replies
3K Views
Business as Usual! Msaada wa haraka unahitajika kupata connection kwa hapa bongo Dar wanapouza bidhaa za jumla za simu kama *Screen Protectors *Cover za simu *Power Banks *USB Cables / Charges...
1 Reactions
17 Replies
7K Views
Wadau habarini za mchana Mimi ni Mtumishi wa Serikali, nafanya kazi Lindi lakini likizo hii nataka nifanye biashara ya kutoa kuku mikoani kwenda kuuza Dar (soko la kuku Manzese) kwa ajili ya...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
"Use force to reach the end " hii ndio slogan iliyonitoa kuwa tegemezi mpaka kujitegemea, ukichanganya na "sacrifice the betterment of few days for the long time joyfulness". Ukichanganya hizo...
4 Reactions
25 Replies
3K Views
Wadau. Mini na Shemeji yenu tumeamua tuanzishe Biashara ya CHAKULA kwa maana Mgahawa Pamoja na Catering. Tutakuwa tunafanya delivery. Shida yetu hapa ni jina la Biashara lenye kuvutia wateja...
3 Reactions
22 Replies
8K Views
Wakuu habari! Kwa muda mrefu nimekuwa nikifikiria na kutamani kuingia kariakoo na kufanya biashara ya viatu, shida sijui wapi pakuanzia. Wenye uzoefu naombeni ushauri. Ahsante
2 Reactions
37 Replies
5K Views
Habari wadau. Nahitaji hizi soda za take away ila ya Cans na sio hIzo chupa za plastic. Wapi naweza Pata kwa bei ya jumla ya katoni?!
0 Reactions
3 Replies
3K Views
UOZO na ufisadi ulioigubika Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) uliwekwa hadharani bungeni mjini Dodoma jana. Hayo yalielezwa katika hotuba ya Msemaji wa Kambi ya Upinzani wa Wizara ya Mawasiliano...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Bira shaka mtakuwa hamjambo na kazi inaendelea vyema. Nimeamua kutumia ukurasa huu wa Jf kwakuwa ninaimani watu wengi walioko huku niwale wenye uwezo furani kifikra na kifedha. Bila shaka unaweza...
13 Reactions
33 Replies
5K Views
Wanajamvi nawasalimu, Mimi ni mfanyabishara/mjarisiamali ninahitaji hii deduction code, inayotolewa na utumishi/hazina ili niweze kuwakopesha watumishi walio ajiriwa na serikali au sekta binafsi...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Nina mteja wangu ambao anauza nyumba za ghorofa na jengo la flat (building with appartments) Ameshapata wanunuaji wawili kwa ajili ya mradi . Alikubaliana nao kuhusu bei. Mteja wangu anataka...
0 Reactions
4 Replies
723 Views
Back
Top Bottom