Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Habari ya asubuhi wakuu. Naomba kujuzwa eneo ninayoweza kupata iliki na bei kwa kilo. Iliki hiyo, iwe ni ya kijani, yaani imekaushwa pasipo kupoteza rangi yake. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
2 Replies
2K Views
Wanasema mafanikio ya mwanadamu yapo kwenye taarifa au connection Sasa wana Jf Mwenye utayari wa kuzungusha pesa yake ndani ya muda mfupi aweze kurudisha pesa yake na kuamua kuendelea au lah...
5 Reactions
39 Replies
4K Views
Jamani yaani hawa Zuberi ni tatizo kama utapotrlewa na mzigo. Basi mwezi wa kumi si nikatumiwa mzigo toka Dar Yaani mzigo ulifuatiliwa mwezi mzima na haukupatikana Boss wao yule zuberi mwenyewe...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Nawasalimu kwa jina la Jamhuri ya muungano wa Tanzania Tupate muelekeo wa uchumi toka kwa Govana, Wizara na Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Ni matumaini yangu mpo salama wote. Baada ya kusota mtaani kwa miaka miwili tokea kumaliza degree yangu nimefanikiwa kujikusanya na kupata kapesa kidogo. Baada ya kuwaza sana nimeona ninunue...
11 Reactions
49 Replies
9K Views
Tanzania iko tayari kuzuia bidhaa za Kenya, Uganda nk, hivyo hivyo Kenya yuko tayari kuzuia bidhaa za Tanzania lakini nchi hizo haziko tayari kuzuia bidhaa za China. Yaani bora Mchina kuliko...
3 Reactions
1 Replies
1K Views
Jana nilikwenda kwa wakala wa NBC aliyepo Kilosa mjini (ni mmoja tu) na niligomewa kutoa kiwango nilichohitajika huku wakala akilalamika kuwa NBC hawana ushirikiano na anatarajia kujivua uwakala...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Habari wana jamii nina mtaji wa m2 nataka kufanya ununuzi wa nguruwe toka Moro to Dar kuchinja kwa ajiri ya biashara vp ushauri, hapo italipa?
3 Reactions
13 Replies
4K Views
Habarini wadau. Nataka kufungua Toto/Baby shop maana nimeona hapa mtaani kwangu hakuna biashara ya namna hii. Duka litakuwa na vitu vya mahitaji ya msingi ya kila siku ya mtoto kuanzia siku moja...
1 Reactions
1 Replies
3K Views
Nina biashara nguo za spesho rejareja je!? nihalali kulipia leseni sh, 103,000/= nipo Wilaya ya Mbogwe, Geita
3 Reactions
25 Replies
2K Views
Habari wana jf kwa anayefahamu kiasi gani kitanikosti nikisafirisha mzigo wa kilogram 50 na mzigo wa kilogram 100 kupitia kampuni za hapa bongo zitakosti Bei gani? Tafadhali naomba nijue kwa anaye...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Habari Zenu Waungwana. Naomba jinsi ya kufahamishwa nawezaje kuweka pesa kwenye bank account ya Tz nikiwa overseas kwa lengo la kuendeleza biashara ya forex asanteni
5 Reactions
18 Replies
3K Views
Habari wakuu: Im real Team 666: Nimeona bidhaa nyingi kwenye mtandao wa Alibaba ziko cheep kulinganisha na huku kwetu Tanzania mfano wa biashara ya vifaa vya simu, nguo, viatu,nk... Albaba...
2 Reactions
32 Replies
7K Views
Kwa wafanyabiashara wote, je unaweza fanya bihashara bila kukopesha? Bihashara yoyote ile iwe kubwa au ndogo. Je, ni zipi faida za kukopesha na zipi hasara za kukopesha kwenye bihashara? Welcome
4 Reactions
13 Replies
2K Views
Wakuu poleni na hongereni kwa majukumu. Nisiwachoshe nimechoka na hekaheka za boda boda nina bajet ya mil 5 naweza kupata gari used iliyo vizuri? Mimi ni bonge kidogo sitaki Passo wala Vits...
6 Reactions
52 Replies
8K Views
Yaan nimefanya tathmini Anakusambazia maji ya jumla anakuachia faida 200 katoon. Sasa najiulza hawa wene maduka ya maji huwa wanapata nini? Kama hailipi wanatumia mbinu gani kupata faida.
3 Reactions
21 Replies
10K Views
Naelewa Kariakoo ni sehemu yenye ushindani katika umiliki wa fremu na pia gharama kubwa ya kulipia rent. Nataka nijikite katika biashara ya underwear (chupi, boxer, sox..etc). Ningependa kujua ni...
5 Reactions
99 Replies
47K Views
Ndg wanaboard, naombeni ushauri wenu maana ninawazo la biashara. Nipo Geita, mtaji nilio nao ni 25M, nimepata machine ya kukoboa 25t/h, ya Kisasa. Ambayo wanauza 8700usd. Inakuwa na: 1...
2 Reactions
12 Replies
10K Views
Wakuu habarini za muda huu! Nina mtaji wa milioni 5 nafikiria kuanzisha biashara ya kuuza senene Dodoma, nini mapekeo kuhusu hili wazo?
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Kuwa mbunifu ni kuvunja sheria kanuni na taratibu bila kuwa na hatia yani ni kufanya tofauti na mazoea Kama utafanana na wengine nani atahofia kukupoteza Lazima uwe tofauti na wengine ili...
2 Reactions
2 Replies
617 Views
Back
Top Bottom