Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Nina kiwanja nataka kuchukulia mkopo kwenye benki, lakini kiwanja hiki hakijapimwa. kilichopo ni zile documents tulizoandikishiana kwa balozi. sasa nilikuwa nauliza kama naweza pata mkopo kwa...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Habari ya asubuhi? Naomba kupewa namna mbali mbali niweze kufikisha mzigo (simu) rwanda. Leo hii Ahsante
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Hope mko poa. Je ushindani kwenye bihashara ni mzuri au mbaya. Zipi faida za kuwa na mshindani kwenye bihashara yako Na zipi hasara zake za competition kwenye bihashara. Mfano una duka anakuja...
1 Reactions
4 Replies
793 Views
General store ni duka ambalo linauza bidhaa za aina tofauti na nyingi kwa ajili ya matumizi ya binadamu ya kila siku. Tunaweza kuliita hili duka "kiosk kilichochangaamka", wengine watakuwa...
14 Reactions
30 Replies
8K Views
Yaani mpaka uongee na mhudumu wa huduma kwa mteja ni baada ya siku 2 hizo masaa hapo unahangaika na bots tu aisee
3 Reactions
2 Replies
533 Views
Jamani wapendwa nataka kuanzisha biashara ya kuuza dawa za kuua nyasi kama vile round up kalachi nk. Naombeni mwenye uzoefu anipe faida na hasara za biashara hii. Asanteni sana
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Habari za huku wakuu wa JF Kama kichwa Cha Uzi kinavojieleza hapo me naanza na kuuliza ni nchi gani kwa afrika ambazo Zina unafuu haswa wa Kodi na mazingira yake kibiashara yako vizuri
1 Reactions
5 Replies
669 Views
Habari wanazengo, Kutokana na gharama kubwa za undeshaji wa pharmacy inatakiwa niuze kwa wingi ili ni cover costs zake na maisha yangu pia. Je, investment ya pharmacy ya reja reja eneo lenye...
0 Reactions
29 Replies
3K Views
Zanzibarbest ni kampuni inayojishughulisha na utengenezaji na usambazaji wa spices(viungo vya chakula) mbalimbali. Baadhi ya viungo hivyo ni -:Tea masala,Pilau masala,Biryan masala,Mchuzi...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Nawasalimu katika jina lipitalo majina yote, nimejichanga na kupata frem ya biashara. Mwanzo nilipanga kufanya biashara ya nguo za kiume, nimegundua biashara hii ina mzunguko mdogo sana. Naomba...
0 Reactions
16 Replies
12K Views
Habari wakuu! Kama title inavojieleza hapo juu napenda kufahamu ni kampuni gani ambazo zinajihusisha na kusafirisha mizigo kutoka Pakistan kuja Tanzania? Na kama zipo wanatumia njia gani ya anga...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari zenu wana JamiiForums, mimi kama kijana mtafutaji na mwenye kiu ya mafanikio, nimeamua kuja kwenu Ili nipate ABC juu ya mada tajwa hapo juu. Nimejaribu kupitia maada mbalimbali za zamani...
5 Reactions
33 Replies
8K Views
Wanajamvi nawasalimia kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Kichwa Cha habari chahusika. Ninahitaji kuanzisha mradi wa kutotolesha mayai na kuuza vifaranga. Aliyewahi kufanya hii biashara...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Kichwa cha habari kinajieleza Mimi katika familia nina wenzangu ambao tunakutana kwa baba, wenzangu wako sita ila mimi niko mwenyewe, ila wenzangu walianza kunitenga tokea niko shule kwani mimi...
12 Reactions
5 Replies
2K Views
Kwa miaka mingi sasa watanzania wengi wamekuwa wakitumia zaidi dawa za meno za Whitedent kuliko dawa zingine zozote, naamini hii ilitokana na Whitedent kuja na bidhaa nzuri na zenye bei nafuu...
0 Reactions
2 Replies
821 Views
"If you cannot imagine it then it cannot be." "If you cannot ritualize it then you cannot imagine it" Key words.Imagination and Ritualization Meanings: Imagination-the act or power of forming a...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Wana jukwaa anaemfahamu wakili yyte anipigie muhuri vyeti vya shule vyote kwa 10k. Nipo dar es salaam #gomc Dm me for deal
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Msaada mwenye kujua machine ndogo ya kutengeneza juice ya muwa inauzwa bei gani
0 Reactions
1 Replies
576 Views
Nilichojifunza Bongo yetu, kutumia akili utoboe ni kazi ngumu sana, ila ukitumia ujanja ujanja unatobo asubuhi na mapema sana. Mambo mengi nchi hio yanaenda kiujanja ujanja tu na si vinginevyo...
4 Reactions
19 Replies
2K Views
Hallo ndugu zangu Leo nimekuja na jambo muhimu saana Ili ni wazo langu ambalo nimelitafakari Nikaona so case acha niliweke apa Hivi kwenye huu mtandao wa JF hatuwezi kutowana kimaisha? Maana...
5 Reactions
36 Replies
3K Views
Back
Top Bottom