Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Forum kama hii ilitakiwa sahivi kuwe na mjadala mkali wa kuelezea kwanini kuna mfumuko wa bei na kutoa mapendekezo ya nini cha kufanya ili kutatua,badala yake naona kimya tu na mijadala myengine...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
Rejea kichwa apo juu,tusaidiane wadau
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Nahitaji kabla ya weekend niwe nimeshapata. Muda huu nipo njiani kwenda kiwangwa. Nimeelekezwa kua ndio shambani huko, nikanunue kwa mkulima. Napokea direction za ziada. Pia kama kuna kampuni...
3 Reactions
9 Replies
758 Views
Siku hizi naona mambo yamebadilika, night clubs zimejikita zaidi kwenye kuuza vinywaji kuzidi uwaja wa kucheza (dancig floor), hii nimeona inanyima watu ule mzuka wa kwenda club kwa jili a...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Nafikiria kuanzisha local delivery company ya bidhaa za nyumbani, kwa kutumia baiskel za umeme especially eneo la Kibaha. Nakaribisha mwenye mawazo kama haya awekeze knowledge na muda namna gani...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
General Commercial Company ni aina ya kampuni ambayo husajiliwa kwa minajili ya kufanya shughuli yoyote ile halali ya kuweza kukuingizia PESA, iwe kuwekeza, kukopa, kukopesha, kuzalisha, kuuza...
2 Reactions
8 Replies
1K Views
Habari wapendwa, Poleni na majukumu kunakipindi nilikutana na changamoto flani nikataman niuze baadhi ya vitu kimoja wapo lilikuwa ni shamba langu lile la Kilosa. Nashukuru Mungu sikupata mteja...
7 Reactions
13 Replies
3K Views
Imagine unaishi mjini halafu unataka kuanzisha duka ambalo Lina frem tayari Ila duka Hilo linatazamana na kilabu cha pombe za kienyeji japo cha kisasa Ila wewe una mtaji wa milioni moja hebu sema...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Ni matumaini yangu mu buheri wa afya, Bila kupoteza muda niende moja kwa moja kwenye hoja ya msingi. kwa kuwa kam tujuavyo kumekua na kilio kikubwa kutoka kila kona nchini kutokana na ongezeko la...
20 Reactions
38 Replies
7K Views
Habari za wakati huu, Kila biashara huwa inakuwa na aina mbili za shughuli kwa kutegemea sector yake.(Nitachanganya lugha) Function za kwanza zinaitwa CORE FUNCTIONS(Shughuli za msingi ambazo...
2 Reactions
0 Replies
1K Views
Wakuu, kuna shida ambayo ninaipata banggood au gearbest wakati ninapotaka kununua bidhaa Kama simu,tablets,n.k. Store nyingi haziship kuja Tanzania. Lakini ukibadilisha nchi ukiweka labda USA au...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Natafuta mtu ambaye ataweza endeleza pale nilipoishia, nilikua nataka kufungua mgahwa na nimenunua viti meza kabati na vyombo va kutumia na majiko ila nimekwama katika mtaji na hela ya kulipia...
3 Reactions
16 Replies
2K Views
Mimi ni kijana wa miaka 22 kwa sasa nasoma chuo bachelor of electrical engneering! Nlibahatika kupata pesa so nilinunua bajaji angu Moja na pikipiki so angalau kwa mwezi naingiza kama 700k hivi...
4 Reactions
36 Replies
2K Views
Ndugu wana JF biashara gani yenye mtaji mdogo inamfaa mwanamke, karibuni tulijadili hili ili wadada na wamama kadhaa waweze kupata chochote kitu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Bandugu, Huwezi kushinda mchezo wa bahati na sibu kama hujacheza. Link zifuatazo hapa chini zitakuwezesha wewe kuingia ktk bahati na sibu hiyo BILA GHARAMA YOYOTE, angalieni asiwatapeli...
2 Reactions
115 Replies
22K Views
Habari za majukumu wakuu. Naomba tujuzane kuhusu ufundi unaoweza kuusomea na ukakulipa vzr kwa hapa Dar kwa miaka hii ya sasa. Natanguliza shukrani na karibuni kwa mawazo mbali mbali
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wadau, Kama kuna yoyote anayefanya au anayemfahamu mtu anayefanya biashara kati ya Tanzania na visiwa vya Comoros tafadhali tuwasiliane hapa au PM, kuna jambo tunaweza kushare. Ahsante.
1 Reactions
32 Replies
4K Views
OFFER. OFFER. OFFER Fursa kwa wafanya biashara na watu wote. Jipatie raba kali za kike kwa shilingi elfu kumi na tano. Napatikana Karia koo Dar es salaam 0620239355
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Natengeneza Mageti Milango Stand za viatu na mikoba Stand za Gas, Vitanda Majiko Sofa nk.. Instagram @tabata_metal_furniture au whatsapp 0625490113
0 Reactions
0 Replies
620 Views
Watengenezaji wa mashine za aina mbali mbali kwa msaada zaidi nicheki kwa 0627518825
0 Reactions
0 Replies
586 Views
Back
Top Bottom