Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Ayanda Charlie muandishi wa habari za kiuchunguzi ameandaa makala kuonesha utapeli wa makampuni ya biashara za mtandao yaliyotapakaa katika nchi za Afrika. Anasema makampuni husika hupata hela...
1 Reactions
25 Replies
4K Views
Habari wana jf naplan kuanza biashara ya kuuza nguo za wadada za mitumba kwa kupoint npo Dar. Nimejarib kupitia thread mbalimbal humu nyingi znasema mitumba inapatikana ilala ukiwah alfajir...
0 Reactions
2 Replies
752 Views
Habari zenu wakuu. Muda mrefu nmekua natamani kua na biashara ya kuuza mapambo ya nyumbani. Kuanzia mapazia,maua,decorations zingine kama mito ,wallpapers etc. Sasa leo nmepita pita kwenye...
1 Reactions
10 Replies
2K Views
Ufanye vifuatavyo ambavyo ni baadhi ya njia, au mbinu na vitu vya kuzingatia unapotaka ufanye biashara. 1. Kwanza unahitajika kufanya tafiti katika upande wa masoko kwa bidhaa yako husika. 2...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Habari ya leo wakuu,mimi ni kijana wa kiume naishi Dar najihusisha na ujasiriamali wa usafi na dawa kwa uchafu sugu katika Tiles,Masink,Vioo na Sofa. Mwezi wa 10 mwaka jana nili hama kimakazi...
85 Reactions
111 Replies
18K Views
Hello.. Wale wapenzi wa kunukia vizuri karibuni kujipatia perfume nzuri na classic kutoka uturuki kwa bei sawa na bure. Tunazo za jumla na rejareja ila hapa nitawawekea bei za rejareja...
1 Reactions
0 Replies
983 Views
NAOMBENI USHAURI Nimekuwa katika mawazo na wakati mgumu sana, najaribu biashara ambayo iko salama nakoswa majibu na najikuta nakuwa mpole tu. 1. Nilipanga nifungue Duka la vipodozi kwa sababu...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakubwa mwenye uwezo wa kuninunulia bitcoin za thamani ya $50 mtandaoni naomba anicheck pm tafadhari
3 Reactions
33 Replies
9K Views
• Mshindi mwingine na Jackpot bonus ya SportPesaamepatikana. • Ni TZS 21,191,497 baada ya kubashiri kwa usahihi mechi 12 kati ya 13 kwa 2000/= tu. Mkazi wa Ngara, Bukoba Expectance S. Gwomeka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu naomba kujua biashara ya vitafunwa kama inalipa. Nina mtaji wa sh 300,000/= je, naweza kufanya biashara hii kwa mtaji huo, namaanisha vitafunwa kama maandazi, sambusa, chapati, eggchop...
0 Reactions
2 Replies
7K Views
Habari ndugu wadau nimeona ni shiriki katika mjadala huu nikiwa moja ya vijana tulio wengi mtaani ambao kimsingi tunapambana na changamoto ya ajira na ukosefu wa ajira za kutosha. Mimi kama...
0 Reactions
0 Replies
811 Views
Naomba wale wajuzi wa masuala ya maadili mniambie wazi kua FOREX ni kamali? Ili nisijiingize japokua wazo langu ni hili asanteni
2 Reactions
61 Replies
12K Views
Habari wakuu! Nimefungua biashara ndogo ya mtaji wa kama 7.5m hivi. Biashara nimeifungua rasmi Jumatatu ya week hii. Biashara yangu inadeal na uuzaji wa vitu kama battery za magari, oil na...
8 Reactions
26 Replies
4K Views
The Tanzanian shilling has gained ground against the United States dollar in the past two weeks, thanks to a steady flow of the greenback from Tanzanian tourism, exports and funds from development...
3 Reactions
45 Replies
5K Views
As tunaangaika kutafuta njia mbalimbali za kuinvest na kusaka kipato, nimekuwa interested na swala zima la stocks trading. Nimejaribu kufatilia sana lakini bado sijapata jibu la kuniridhisha...
0 Reactions
19 Replies
5K Views
Ndugu Wana JF, ni muhimu kushirikishana fursa na kushirikiana. Nina kitalu/Ploti yenye madini aina ya Ruby nyekundu/damu ya mzee inayong'aa. Eneo liko full madini haya ya Ruby ingawa hata...
0 Reactions
0 Replies
967 Views
Habari? Jina Langu ni Mr Equator. Ni kijana ambaye najaribu kuyatafuta maisha. kwa njia mbali mbali. Nimekuwa nikitafuta wazo la biashara ya pembeni (Side-hustle) ya mtaji kati ya Laki 1-2...
2 Reactions
7 Replies
4K Views
Habari ya leo JF Members, Naomba msaada juu ya Vifaa Muhimu na Garama zake kwenye Ununuzi kwa ajili ya kufungua kituo cha kuoshea Magari. Eneo nitatafuta, natumaini ntapata msaada wenu wadau wa...
1 Reactions
0 Replies
908 Views
Bei ya mafuta imeendelea kupanda katika masoko ya barani Asia baada ya mkutano wa nchi zinazosafirisha mafuta kwa wingi duniani OPEC kuvunjika bila makubaliano juu ya mpango ulionuiwa kuongeza...
2 Reactions
9 Replies
2K Views
CASH IS NOT THE KING Najua wengi ni ngumu sana kuamini hiki ninachoenda kukiandika lakini sikuzote ukweli haufichiki na hata ambao wataamini naamini watashangaa sana, ukweli ni kuwa dunia ipo...
6 Reactions
6 Replies
2K Views
Back
Top Bottom