Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Wakuu nataka kufanya hii biashara naombeni mwongozo vitu vya umuhimu vya kuangalia kabla ya kuanza hii biashara Na vipi kuhusu malipo yake upande wa commission kila mweziii huwa wanalipajeee Na...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Habari wakuu, Nina mteja anahitaji kusafirishiwa mzigo kutoka bandarini(dar)kwenda nje ya nchi,kwa yoyote mwenye taarifa sahihi ya kampuni nzuri iliopo Dar aje PM tuwasiliane NB it is urgently case.
1 Reactions
4 Replies
887 Views
Ndugu wa Tanzania wenzangu napenda mnipe maelezo nataka nifanye biashara ya Uber hapa DSM napenda kufahamu changamoto na hatua za kujiunga. Kwa yeyote mtaalamu na mwenye uzoefu karibu unijuze...
1 Reactions
34 Replies
4K Views
Nilikuwa nashida ya cotton cake ....kwa mtu mwenye connection kwa namna moja ama nyingine tafadhari nisaidie ...
1 Reactions
6 Replies
885 Views
Habari wanajukwaa... Ni kampun gan bora inaweza kunitengenezea vifungashio. Vifungashio navyo hitaji ni vile ambavyo vipo katika mifuko ya bahasha.ndani inakuwa miwili miwili kama ilivyo kwenye...
4 Reactions
8 Replies
2K Views
Habarini wakuu wa jukwaa. Naomba kufahamu yeyote anaejua kampuni ya uhakika wanao safirisha loose cargo kutoka UK. Kuna Machine nataka ninunue zije kwa maji, kuzipandisha ndege kwa uzito wake...
1 Reactions
22 Replies
2K Views
Habari jf? naomba mnisaidie kutambua kama hii ni mawe ya madini ama la? kuna mtu kaniuliza nimeshindwa kujua
1 Reactions
41 Replies
4K Views
Nimekutana na hii post huko mitandaoni, sijawahi kulima tikiti wala kupiga hesabu za idadi ya miche kwa ekari moja. Naomba tufahamishane kama kilichoandikwa na huyu ndugu yetu ni sahihi ama lah...
2 Reactions
14 Replies
3K Views
Nimesikitika kuona bei ya samaki wa baharini ikipanda sana mpaka kufikia shs 8500 kwa kilo moja wakati mwaka 2017 nilikuwa nanunua samaki shs 4500 wale wa wachina.tukasikia wamesimamishwa ili kazi...
1 Reactions
2 Replies
560 Views
Nini kinafanya watu (business owners) washindwe kujibu NO hasa ukiwa unaomba kazi Ni kwamba ni wanaepusha disappointments kwa waombaji? Matakwa ya kazi yanamuambia asijibu email zote? Au ku test...
0 Reactions
0 Replies
385 Views
Habari wakuu, awali ya yote niwape pole sana kwa shida, fedheha na usumbufu kipindi mtandao huu ukiwa haupatikani. Nikirudi kwenye mada, katika harakati za kijasiliamali, nimejaaliwa kuwa na wazo...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Wanajukwaa habarini za muda huu! Niende moja kwa moja kwenye mada nimekuwa nikipokea gawio kutoka mitandao ya simu hususani Tigo na Vodacom gawio hilo ni muda mrefu sasa naona napata shilingi...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Habari, Ninatarajia kufanya biashara ya nguo za mitumba ila niliplan kuwa naziuza kwenye minada mwenye kufahamu changamoto zake. Naomba anifahamishe na pia kwa Dar anayejua minada inapofanyika au...
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Pokeeni salamu zangu za dhati ndugu zangu wapambanaji wenzangu na polen na majukumu ya kutwa nzima ya Leo, *Mimi ni kijana niliyetoka katika familia duni na isiyo jiweza kiuchumi Lakin Nina ndoto...
2 Reactions
20 Replies
2K Views
Napongeza sana kushuhudia transformation inayokwenda kufanyika TANESCO kulifanya shirika la kujiendesha kibishara. Sina wasiwasi na uwezo wa MD Maharage Chande pamoja na bodi yake inayongozwa na...
3 Reactions
6 Replies
952 Views
Uzi tayari. Mana utaambiwa ni hela unatengeneza huku umekaa tu
2 Reactions
7 Replies
813 Views
Parcels zinachukua muda mrefu kumfikia mlengwa. Zamani walikuwa wanatumia ndege baadae wakaacha. Wakati huo ilikuwa inawezekana parcel kutumwa leo kutoka DSM na kesho unaipokea Mwanza. Sasa hivi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama umechoka lawama za boss, kuamka asubuhi kupambana na usafiri, kufanya kazi usiyoipenda, mshahara wa mwezi hadi mwezi usiotosha... basi huu uzi unaweza kukupa mwanga wa fursa mpya ama side...
9 Reactions
36 Replies
7K Views
Habari. Kwenye haya maisha hakuna miujiza kabisa ,maisha unayoishi leo Kama hutobadilika haraka Sana ndio unayoenda kuishi huko mbele mpaka uzeeni ..! Kuna teacher alikuwa anatuhimiza Sana...
7 Reactions
14 Replies
943 Views
Tupeane fusra, leo nimeamka nimeona tupeane fusra kiroho safi kabisa, wewe kijana unaye hangaika na bahasha kila siku uchwao kutafuta ajira soma hapa. Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Robert Gabriel...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Back
Top Bottom