Jamani Mikopo imeyumbisha biashara yangu Nikiwaza naumia hasa kuzingatia mda na mapambano niliyofanya kupata mtaji..
Kwa kua unaanza biashara Unaona ili kupata wateja na kupunguza ushindani na...
BIASHARA KATIKA UCHUMI
Katika nchi yetu ya Tanzania kwa mwaka pekee idadi ya wahitimu wa vyuo vikuu inazidi 1,000, Apo ni chuo kimoja kwahiyo tukiangalia idadi ya vyuo vyetu nchini tukijumlisha na...
Wajumbe za muda huu aicee.
Kuna motherboard circuit (PCB) module fulani hv nataka kuinunua kutoka ebay ila sasa hawatumi tanzania nimetafuta courier na transporting agency nimekosa naomba...
Jamani mimi ni mkazi mpya wa jiji la Dodoma, nilipata wazo la kufungua biashara ya kuuza maji ya bomba, (yaani nitengeneze system ya kuyakusanya kisha niwauzie watu watakaokuwa wanakuja kuchota...
MAZINGIRA BORA YA BIASHARA KUCHAGIZA UKUAJI WA UCHUMI.
Unapozungumzia uchumi imara wa nchi huwezi acha kuzungumzia biashara kama kiungo muhimu katika sekta hio kwani shughuli nyingi zinategemea...
Kwa wazoefu, tunaomba mchangie nasi uzoefu wenu kwenye njia hii ya kudunduiza pesa kwa kununua fedha za kigeni mathalan US Dollar, na kuja kubadilisha pindi unapifikisha lengo...
Karibu.
Habari yako ndugu
Nchi yetu imefikia katika kiwango kizuri cha uchumi ambapo ni uchumi wa kati ambao umetokana na jitihada zinazofanyika ndani ya nchi yetu zikisimamiwa na viongozi imara na...
Kwa wale wakubwa nawaamkia shikamoo, na kwa wale wadogo zangu nawasalimia habari?
Mimi ni mwanaume nisiyesikia yaani Mimi ni kiziwi ninaitwa Amirosa. Kwa yule yeyote mwenye uwezo wa kifedha...
Habarini ndugu.
Nimekuwa nikiagiza vitu mara kadhaa kutoka China hasa kwa kutumia Alibaba, 1688 na Taobao.
Ila kwa sasa nahitaji kupata connection pia ya namna ya kupata suppliers wa kutoka...
Kwema wapendwa Kuna mtu anahitaji kuanzisha project ya kufyatua tofari na kuuza . Naomba kujua kwa niaba yake na wengine walio na wazo Hilo wajifunze.
Je biashara hii inachangamoto zipi, pia...
Kwa tafsi rahisi naweza kusema Vicoba ni vikundi vya watu/wajasiriamali kwa madhumuni ya kuweka akiba na kukopeshana na pia kugawana faida/gawio.
Hata hivyo,hili la kugawana faidi kwangu mimi...
Naleta kwenu wana JamiiForums
Kwa wale wenye uzoefu wa kuagiza bidhaa mbalimbali kutoka Dubai kuja Tanzania tupeane experience japo kidogo
EXPERIENCE HUSANI KATIKA;
• Masoko: ni masoko yapi...
BALE ZA SKINNY JEANS ZA KIKE MTUMBA GRADE A zinakuja wiki hii Dar es Salaam.
Kila bale ina jeans kati ya 100 mpaka 115, ya rangi mbalimbali.
Bei ya kutupa, bale moja kwa jumla laki 4 na...
Habari yako ewe mdau wangu wa nguvu.
Mara kadhaa tumekuwa tukiona watu wanachukua mikopo kwenye benki tofauti tofauti au taasisi za kifedha huku wimbi kubwa la wanaochukua mikopo hiyo ikiwa ni...
Kumekuwa na agizo la Serikali lililotolewa miezi michache iliyopita ya kuyataka mabenki kushusha riba ili kuongeza ukwasi mitaani. Naomba kufahamu kama agizo hilo limeshaanza kutekelezwa.
Habari Wana JF
Nahitaji kununua mahindi Kwa wakulima mikoani na kuwa nasafirisha kuyaleta dar au mikoa yenye uhitaji zaidi.
Naomba kujua niwe na vibali gani na vinatolewa na Taasisi gani...
Wakuu Kama nilivoelezea hapo hapo juu namiliki kituo Cha mafuta. Nina changamoto yakushuka mauzo kulinganisha nahapo awali mauzo yamepungua baada yakuongezeka vituo viwili vingne vya mafuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.