Hiki ndo kumekuwa kisingizio kikuu sana kwa kila kijana. Ukimuuliza kwanini uko sehemu fulani au kwanini haufanyi chochote ili kuhakikisha ndoto zako zinatimia, utajibiwa ," sina mtaji, sina pesa...
Habari wa jamvi. Kijana wenu nawaletea good laptops brand new, second hand from United Kingdom at cheapest price. Pia mteja anaweza kutaja price ambayo anayo then akapewa best laptop according to...
Kuwa na Bidhaa au Huduma nzuri sana
Bila kuitangaza
Au kuweka bajeti kwaajili ya kuitangaza
Ni sawa na kuwa na gari nzuri sana
Pengine BMW, PRADO au Benz
Isiyo na mafuta
...Hakuna...
Assalam wakuu
Nimependa niwaletee elimu toka kwa mtaalamu kama ifuatavyo
Utangulizi
Bismillah Rahman Rahim. Watu wengi bado wanajiuliza juu ya mfumo huu wa fedha wa kiislamu hususani uendeshaji...
Matangazo ni swala muhimu kwa kila biashara. Tatizo linatokea pale ambapo biashara inashindwa kumudu gharama za matangazo, hasa matangazo ya gharama kubwa.
Naamini wewe kama mjasiriamali...
HILI LA WAMACHINGA RAIS AMENENA
Ni bahati njema kwamba idadi kubwa ya watu wetu katika taifa ni vijana, ambao ni nguvukazi muhimu katika juhudi za kujiletea maendeleo. Kuwa na vijana wengi ni...
Habari za leo Wana jamvi, natumai ninyi wazima.
Kumekua na ongezeko la Facebook page zinazo toa maudhuhi ya Habari hasa habari za michezo,siasa, matukio na burudani.
Mimi binafsi mpaka Sasa...
Huwa tunashangaa kwa nini watu wanaacha Shule? Kwa nini mtoo unakuta amapata Zero yaani sifuri Darasani? Kwa nini huwa tunasikia watu walidrop shule?
KUNA AINA TATU ZA MAKUNDI.
1. THINKER-wako...
Niko na uzoefu sasa baada ya miaka kadhaa ya uagizaji wa bidhaa mbali mbali ndogo na kubwa yakiwemo magari, bidhaa zinazokuja kwa kontena, mashine kama incubator, photocopier, lab microscope nk...
Wasalaam,
-Kama ilivyo ada, leo nimeona ni vyema kuchangia hapa jamvini mawazo ambayo yatatupa moyo wa kusonga mbele, za pale tunapokutana na changamoto za kibiashara tukiwa Kama wajasiriamali...
Nimejikusanyia ka pesa ka boom kwa miaka miwili sasa, nimepata 1, 400, 000. Nafikiri kununua boda halafu nimwachie mtu aendeshe ili jioni aniletee hesabu!
Hivi bodaboda itanilipa kweli? Na je...
Wana JF
Huenda kila anaye soma uzi huu anaweza akajifunza kitu au anayo au hana akaunti benki ila ataangalia kama ameshakutana na makato haya akiangalia bank statement yake kwa makini sana...
Karibu nikukutanishe na mkulima kutoka Jijini Mbeya Rafael Saimon Ndelwa, Mmiliki wa Kampuni ya Rapha Group iliyo Uyole Mkoani hapo.
Rapha ni miongoni mwa Mabilionea wa Mkoa wa Mbeya na utajiri...
Ubunifu ni tabia muhimu sana katika utatuzi wa changamoto zinazoikabili jamii, lakini pia katika kuzalisha fursa mbalimbali za biashara.
Kama nilivyoeleza huko nyuma, fursa ya biashara ni tunda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.