Laki tano, Mshahara wa Ma-Teller wa Benki hapa mjini Laki Tano, Bei ya TECNO PHANTOM mpya kabisa kwa kujishau Snapchat na Istagram Laki Tano, Bajeti ya Mafuta ya SUBARU mwezi Mzima.... Laki Tano...
Natamani enzi naanza maisha ningeijuaga JamiiiForums au ningepata mawazo na idea ambazo nazitoa mimi kila siku au ninazokuta watu wamezitoa bure humu humu JF.
Leo nimekaaa nimewaza sana namna ya...
Nimenunua Jeans zaidi ya Nne Vunjabei zote zimechanika zote ni Low Quality vitu vingi anavyouza ni Mitumba ya Kichina haidumu kabisa.
Now Kashakuwa na Jina Kubwa Auze Nguo zenye Quality sio...
Habari wana jukwaa
Nina partiner wangu yupo Japan anaishi south Africa ni car dealer....ameniambia nisajili custom bond ware house na kampuni commission agent company.amedai nikifanya hivyo...
Mfumo ambao dunia imejiwekea wa kumtafsiri mtu na mtu au hata taifa na taifa kupitia vipato vyao (pesa) umekuwa ukiweka maswali mengi sana kichwani kwangu, moja kati ya swali ambalo mpaka leo bado...
Habari wana j.f
naomba watalam wa maswala ya fedha mni saidie.nimezunguka nchi nyingi utaratibu wa fedha upo hivi kuna sent 1,2,5 na10 na 50 baada ya hapo kuna 1 mfn 1usd,1kwacha,1rand au 1tsh...
Mambo vipi wadau,
Nataka kufungua car wash nzuri na ya kisasa lakini hii biashara nataka iwe tofauti na watu wengine wanavyofanya ili tuweze kuliteka soko.
Nahitaji mtu tushirikiane tuwe kitu...
Ndugu zangu,Mimi Ni kijana natafuta pikipiki ya hesabu ambapo nitakuwa naitumia kufanyia biashara ya boda boda na kumlipa mwenye Mali kutokana na makubaliano ya kiasi tutakachokubaliana...naomba...
Assume unadate na kadada, asubuhi kanakupigia simu kanasema namuomba Mungu akusimamie katika hustle zako siku nzima ya leo 😁😁.
Kwan Pete ya dhahabu shingapi wadau.? 😂😂
Habari wajuzi wa mambo. Nimevutiwa Sana na Biashara ya cement.
Naomba Anayeweza nambia njia nzuri ya kufanya Kazi hii in and out. Mtaji wangu ni 3million
Ahsante
Wadau wa Biashara na Ujasiriamali,
Tumeona humu kuna wazoefu wa biashara hizi za mazao ya kilimo, bila shaka ni sahihi kuleta jambo hili kwenu ili tubadilishane uzoefu.
Pichani ni mzigo wa...
Hii taasisi ya kukopesha watumishi wa Uma Faidika au Letshego inakiuka kanuni na taratibu za utoaji mikopo mathalani kupandisha riba bila taarifa mpaka kupitiliza na hii wameanza mwezi wa 9...
Salaam Wakuu,
Baada ya kusota na demo account kwa miezi mitatu na nusu hivi sasa soon nitaanza kutrade live, naomba kupata taarifa sahihi za huyu broker kama yupo regulated na board yoyote...
Nahitaji kuwa na mtu mmoja wa kufanya nae biashara kubwa ya stationary kibwa sana mjini Bukoba,,awe seriously kwa hilo mimi nipo Dar es salaam ila ni mzaliwa wa Maruku,yeye awe ni mtu ambae makazi...
Habari za muda huu wana Jamii Forums.
Takribani wiki nzima sasa nimekuwa nikijiuliza hili swali "Tofauti kati ya biashara na uwekezaji ni ipi" linaweza likawa swali la kijinga au la kitoto kwa...
Ruzuku ni kiasi cha fedha kinachotolewa na mashirika binafsi ya hisani (charitable giving foundation), mashirika ya ya umma ya hisani (public charity) au wakala/Taasisi za serikali (government...
Biashara ya betting imekuwa kwa kasi sana miaka ya hivi karibuni. Napenda kuuliza kwa anayejua inaingiza shs ngapi kwa mwezi. Na kawaida mtaji wake ni bei gani?
Nawasalimu kwa jina la JMT
Ningependa kufahamu budget ya kufungua duka la reja reja la mahitaji ya kila siku, duka la wastani, na maandalizi yake yanahitaji nini na nini.
Karibuni mlete mawazo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.