NAIBU WAZIRI MHANDISI KUNDO AFUNGA KIKAO MAALUUMU CHA VIONGOZI WA SHIRIKA LA POSTA TANZANIA.
Naibu Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari Mhe. Mhandisi Kundo Mathew amefunga kikao kazi...
Habari wakuu, nataka nianze kulipia matangazo kupitia Facebook sponsored page nataka nianze na dola moja au dola mbili kwani ndo uwezo wangu.
.
.
Msaada, je nianzie wapi? je ni kweli kwa dola moja...
Na Smartdunia
Ni dhahiri tangu tulivyofahamu maana ya neno muda, basi tumeshalitaja neno hili mara nyingi kiasi kisichohesabika.
Lakini pia ni jambo la kushangaza mno kwani wengi Bado hawajajua...
Mbunge wa Viti Maalum Vijana Mhe. Asia Halamga anatarajiwa kuwa Mgeni Rasmi kwenye Uzinduzi wa Vijana Jogging Club Mkoa wa Kilimanjaro ambao utafanyika Jumamosi Tarehe 07 August 2021 yenye Kauli...
🛣️ CHANGA MOTO ZA KUELEKEA KWENYE MAFANIKIO
✍🏿 Kila mtu anaye ishi anahitaji kuwa na mafanikio kwa ghalama yoyote ile.
Wengi tumekuwa tukikosa kuyaendea malengo yetu ambayo n mafanikio kwa...
Moja ya changamoto kubwa wanayokutana nayo wateja wetu ni kuagiza bidhaa kwa njia ya mtandao halafu kukutana na kodi/ushuru mkubwa wa kutoa mzigo pale Bandarini, Uwanja wa Ndege au mipakani.
Bei...
Hello wakuu
Kama kuna mtu anajua dealers wazuri wa vifaa vya offisini na Shuleni, (stationeries) ambao wanauza jumla, naomba aniunganishe nae /anipe mawasiliano yake.
Asante
🎤 Nyenzo kuu inayotumika kuwasilisha mambo ni uongeaji kama wewe ni mfasaha wa kuongea vizuri watu watapenda kukusikiliza muda wote.
Hivyo basi katika ulimwengu wa sasa kuna haja kubwa ya mtu...
Swali la sikuzote. Ikiwa ninamiliki Mali asilia ya nchi je nikiuza kwa mtu nje ya nchi yangu nitakua sina uzalendo na nchi yangu au ni mfanya biashara kama wengine.
Hali iliofikia sasa watu wanajali biashara kuliko afya. Embu chukua mfano wa biashara za ufugaji kuku wa mayai.. je mayai tunayokula ni salama?
Japo faida yake kubwa. Najiulizaga sana: hivi watu...
Mafuta ya Petroli na Diesel kwa kila lita 1 Nchini Zambia & Rwanda ni 1800-1900 za kitanzania wakati kwa Tanzania ni 2450-2800 TZS kwa kila lita. Ili hali Rwanda & Zambia mafuta yao wanayapitishia...
Uzinduzi wa Huduma za Kibenki za CRDB WAKALA Ndani ya Ofisi za Posta Tanzania nzima.
"Niseme mmeanza Vizuri sana, mimi kama waziri niwapongeze sana kwa Hatua hii, nimefarijika kwa Ushirikiano huu...
✍🏿✍🏿 KITU PEKEE CHA KUIBADILI DUNIA NI KALAMU.
🖌️ Wengi wanasema kuwa Mimi siwezi:
1. Kusoma makala ndefu.
2. Kusikiliza mazungumzo.
3. Matamasha na kadhalika.
👆🏽 Watu hawa kamwe hawezi...
Habari za kutwa wana JF.
Matumaini yangu wote mu wazima na mnaendelea vizuri kwa ujumla.
Kwa muda mrefu nilikuwa nafatilia juu ya uwekezaji katika soko la Hisa la Dar es salaam na mifuko (DSE)...
Wakuu habari?
Juzi tu hapa nimetoka kumpokea mgeni kwenye Airstrip apa Morogoro cha ajabu huduma ya Uber amnaa wala Bolt au chochote. Nimesikitika sana.
Hivi tatizo litakuwa nini mpaka mikoa...
Unanunua nondo unaambia ina ukubwa wa inch 16 lakini ukipima hata kwa macho unaona kabisa umepigwa, flat bar ya 3 mm² ni nyembamba kama wembe, ukija kwenye aina zote za chuma ukipima hazifikii...
Professor Assad nimekusikia tangu mwanzo mpaka mwisho nashukuru kwamba nilijitahidi kuzuia hisia zangu. Nimeshangaa kama wewe professor unadiscretic SGR project kwa kuwahadaa watanzania kwamba SGR...
1. ufugaji wa kuku. Ufugaji wa kuku wa kienyeji ama kuku wa kisasa. Faida zake zinatokana na uuzaji wa mayai, nyama ya kuku, kuku wenyewe, vifaranga, mbolea n.k
_ Ndege wengine wenye faida kama...
Hii ni kwa wale wadau wa hisa za Vodacom ambao kwa muda kidogo walikumbwa na sintofahamu kuhusu hatma ya hisa zao.
Ni kwamba leo Vodacom wameanza kuuza hisa zao soko la hisa la Dar es Salaam...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.