Biashara, Uchumi na Ujasiriamali

Special forum for those interested in Business and Economics discussions
Kinacho kufanya wewe kuwa Tajiri sio kiwango cha pesa ulicho nacho ila ni matumizi kwa kile unacho kipata. 🙏 Mfano : Kama unapokea laki 3 kwa mwezi na ukatumia laki 2 na 80 na ukatunza elfu 20...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habarini wadau, Nina rafiki yangu ambae bahati ipo upande wake maana kiukweli linapokuja kwenye swala la uchumi wapo vizuri sana. Familia yao kiufupi wapo vizuri, kaka na dada zake wanajitegemea...
2 Reactions
44 Replies
5K Views
Ninaongelea hizi biashara ndogo ambazo hazihitaji uwekezaji mkubwa au kuajiri wataalamu wa kukusaidia mambo ya marketing, accounts ana vitu vingine. 1. Angalia unachoweza kufanya kutoka moyoni...
5 Reactions
5 Replies
1K Views
Habari zas sasa, Naomba kujua kutoka kwa wabobezi humu, wapi hapa Dar naweza kupata motor/mashine nzuri kwa ajili ya kusaga na kukoboa nafaka? Aina ipi ya ya motor, na vifaa vingine associated...
1 Reactions
8 Replies
3K Views
Habari zenu wote, naitwa Rey. Dhumuni la post hii ni kutoa nafasi kwa watu au kundi au kampuni kuweza kuweka pesa yao katika mzunguko wa biashara na in return, kupata pesa yao na some %in cash...
0 Reactions
0 Replies
835 Views
Shallom / Asalam Aleykum Husika na Kichwa Cha Mada Hapo Juu Katika Pirika Pirika na Mbilinge Mbilinge Zangu Za Hapa na Pale, Mkoa Kwa Mkoa, Mtaa Kwa Mtaa kuzisaka nimekutana, kuona na ku...
22 Reactions
31 Replies
6K Views
Habari za Leo Wanafamilia! Pole na Majukum, Mm naitwa Hussein, naishi Tandika Magorofan, nna miaka 34, nna mke na watoto watatu. Nnajishughulisha na Ufugaji, utengenezaji dawa za Asili za Kuku...
11 Reactions
39 Replies
5K Views
Wakuu habarini! Mi nasemaga kitu kimoja kama wewe ni boss mwenye kampuni ya toyota nitajishika na wewe boss ukipanda na mi napanda, ukitoa new fashion nami napita nayo nyuma yako, wabongo...
2 Reactions
23 Replies
2K Views
Habari za leo, Kumekua na thread nyingi zinazohusiana na biashara ya bajaj na pikipiki. Nyingi zikijikita katika mambo ya uendeshaji wa vyombo hivyo na uuzaji wake wa spare parts. Lakini...
8 Reactions
34 Replies
11K Views
Wale waliokuwa wanauliza interest inayolipwa na benki kwa fixed deposit account. Niliongea na mmoja aliniambia wastani wa malipo ni kama hivyo ilivyo. Hii inawafaa wasioweza kuzungusha pesa...
23 Reactions
135 Replies
17K Views
Naomba leo tuzungumze namna tofauti Za kupata mtaji kwakuwa kuna changamoto Sana kwa Wau wengi wanaotaka kufanya biashara kupata fedha Za kuanzia. Napenda tuangalie namna na mbinu unazoweza...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Uchimbaji wa dhahabu kuanzia kwa mchimbaji mdogo mpaka mkubwa. Watu wanaingia woga sana kwenye hii biashara ambayo inataka umakini na adabu sana kwenye fedha. Tuanze na uchimbaji wenyewe Kwanza...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari Wakuu Wa JF, Nimekua Mdau wa JamiiForums, Kwa Muda Kidogo But leo, Nimeona nije niombe Kama Kuna mdau ambae anahitaji kuinvest katika upande wa Technologies ( ICT / IT ). Mimi Ni Kijana...
6 Reactions
14 Replies
2K Views
Ndugu zangu kama kichwa kinavyo jieleza kama kuna MTU anafahamu nikwa namna gani MTU naweza kuwa tajiri samahani naomba tusaidiane mawazo Ili wengine wenye uhitaji huo kama Mimi tuifikie utajiri...
3 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari zenu wakuu, Naamini mko na afya njema. Nilikua naomba wadau wanaoyafamu mawe yenye mali mcheki haya mawe mnipe ideas zenu mi naona kuna clear gold lakini view inatofautiana
2 Reactions
6 Replies
736 Views
Good evening, I am a Tanzanian business man living and based in Arusha, I am doing tourism mainly in accommodation in Ngorongoro and Serengeti. I am now looking for an investor/partner to join...
0 Reactions
6 Replies
837 Views
Habari wadau, Kwa mtaji wa Mil.30 mtu anaweza kufanya biashara ya Kuuza rangi za Nyumba akiwa Mkoani(Mwanza)? Je, Hii ni moja kati ya Biashara nzuri kuifanya? (It pays, ina Mzunguko mzuri?) Je...
2 Reactions
4 Replies
5K Views
Hii leo, Julai 15 2021 gharama ya miamala ya fedha kupitia mitandao ya simu nchini Tanzania imepanda baada ya serikali kupandisha tozo ya miamala hiyo. Sintofahamu kubwa inashuhudiwa hii leo kwa...
0 Reactions
6 Replies
2K Views
Karibu wana JF tupeane mawazo ya kuwekeza katika online marketing mfano kuwengeneza website kama jumia kupatana facebook twitter youtube whatsapp halloapp Tuwe na sisi na vya kwetu sio kutegemea...
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Biashara (kuuza na kununua au kubadilishana bidhaa) imedumu duniani tangu enzi za kuumbwa kwa dunia. Kazi hii imekuwa ikifanywa na watu wa kila aina. Hapo awali biashara ilifanyika kwa...
2 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom