Habarzi za Wakati huu;
Wakati fulani nilipitia kipindi kigumu sana kibiashara na kujikuta ninayumba sana katika biashara na katika maisha kwa ujumla.Ndani ya kipindi kifupi sana nilipata hasara...
Habari zenu ndugu,
Natafuta wazo bora la biashara ambayo nategemea kuwekeza mtaji takribani million arobaini na tano za kitanzania na return yake napenda kushauriwa itakuaje kwa mwezi...
Habari za leo.
Naomba ushauri, nataka kufanya biashara ya juice ya miwa. Ni hivi sitaifanya mimi nitamuweka kijana afanye. Kwahiyo naomba ushauri juu ya hii biashara ikiwa itaweza kunilipa maana...
Mimi sio mchumi wala mbobezi wa tabia za binadamu. Natoa ushauri kama lay person.
Toka TRA ianze kufanya kazi mnamo Julai 1, 1996 kumefanywa maboresho madogo sana ya upande wa kuzitambua tabia za...
Wasalaam Wakuu.
Ubahili ni moja ya nguzo muhimu Sana katika kufanikiwa. Ni hali ya kuwa na nidhamu ya fedha kwa kujibana au kutafuta njia za kupunguza gharama zisizo na msingi. Lengo kuu hasa la...
Kama kutakuwa na uwezekano serikali ifanye jitihada za kupanda vifaranga vya samaki Tuna ambae mmoja anaweza kuuzwa kwa hadi milioni 70.
Kama zoezi hili likifanikiwa basi tutaweza kuwauza nje na...
Habari wakuu!
Nina leseni zangu 3 za uchimbaji mdogo wa dhahabu(PL) ambazo zipo ktk eneo moja ktk moja ya mikoa ya kusini ambazo nimezipata Mwaka huu.. 1 PL nimeanza kuifanyia kazi na nimepata...
Kwa aina ya kazi na majukumu ninayofanya na pia kwa utashi wangu binafsi huwa naona na familia yangu hasa watoto kwa nadra sana.Pamoja na kwamba huwa tunaonana kwa nadra mimi na watoto wangu...
Habari,
Ninahitaji kujenga nyumba simple mshahara wangu laki 5 je nikisema nijilipue NMB au CRDB nivute mkopo wa million 9 nitakuwa nakatwa shillings ngapi?
Msaada please [emoji120]
Huwa naamini sana katika biashara zinazohusiana na ujuzi flani flani kwani najua hata kama utakosa mtaji pesa ila ujuzi wako utakusaidia kwenda kupata pesa ya kuanzisha biashara yako mwenyewe...
The Honest Debtor is the kind of person who demonstrates a proactive desire to fulfill their payment obligation. Upon receiving the demand letter, they may make the first call to address it.
They...
Ni matumaini yangu kuwa nyote ni wazima wa afya,
Ndugu zangu ninaomba kujuzwa kwa wale wazoefu wa biashara ya kwenda Mombasa kufuata vijora ni taratibu zipi natakiwa kuzifuata na mtaji ama...
Wakongwe habari mie Kama Kawaida yangu nachokoza Mada na Leo nachokoza kuhusu Biashara ya kutengeneza samani (furniture)
Kwa maana sofas, vitanda, dining table, etc. Hapa Wakongwe tuongelee...
Habari ndugu,
Samahani naomba msaada njia gani nitumie ili kusafirisha mzigo wangu kutoka Senegal to Tz mimi ni mgeni kwenye jambo hilo mzigo ni mdogo ni box ndogo.
Naomba msaada TAFADHALI
Habar za kwenu wana JF.
Naomba kujua kuhusu biashara hizi duka la spea za pikipiki, vifaa vya bomba au vifaa vya ujenzi (hardware) uzuri, ubaya, faida, hasara na mtaji wa biashara hizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.