Habar wana JF
Mimi ni graduator wa chuo kimojawapo jijini Mbeya mwaka wa jana, kutokana na tatizo la ajira niliamua kutafuta mtaji kwa kufanya kazi vibarua na nimefanikiwa...
Habari zenu Watanzania wenzangu na Wengine pia!!
Naomba kufahamishwa ni Taratibu zakufuatwa ili mtu afungue real estate agent business ( uwakala wa kuuza na kununua viwanja, Mashamba na Nyumba)...
Je bado unatumia daftari kwa ajili ya kuhifadhi mauzo, matumizi, au umekumbuna na kuibiwa na wafanyakazi wako kutokana na kutokuwa na taarifa sahihi juu ya stock au mauzo ya duka lako la dawa...
Wakuu nawasalimu kwa jina la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania!
Ninafikiria kuhusu kuanzisha soko dogo la kisasa, na litaendeshwa kisasa kweli kweli.
Soko ambalo mteja akifika anamaliza mahitaji...
WanaJF naombeni ushauri ni crytocurrency ipi nikiwekeza kwa mtaji wa laki moja baadaye inaweza nipatia pesa kwa kipindi Cha miaka 2.
Pia, ni plartform gani naweza kuzipata kununua eos, chain...
Habari wana Jamii Forums
Naombeni mnisaidie mawazo yenu kwa yeyote anaejua wapi nitapata chimbo la vyombo vya mtumba kwa bei ya jumla nimeanza kukusanya mzigo wangu kidogokidogo ila hawa...
Uliza maswali kadri uwezavyo, NHC watayatolea majibu/ufafanuzi
NHC Website: www.nhctz.com
NHC Facebook: www.facebook.com/nhctz
Miliki nyumba yako leo kwa pesa taslimu au kwa mkopo wa nyumba...
Dada anasema muda pekee ambao, Familia nyingi za Kiaafrica huwa pamoja ni wakati ambao wanajiandaa na msiba, Ila Hata siku moja Familia haiwezi kukaa pamoja ili kuanzisha biashara au project...
Habari ndugu, jamaa na marafiki katika mihangaiko yangu ya hapa na pale baada ya kusoma mawazo ya wadau humu, nimefanikiwa kufungua Bar nimekuja kwenu ili nipate jina zuri ambalo naweza kulitumia...
Habari wakuu
Nimepata tenda ya kreti za mayai (zaid ya mayai 9,000) kadhaa ya kienyeji nayotakiwa kusafirisha from Arusha to Dar.
1.Kwa jinsi mayai yalivyo fragile nilikua naomba kujua kutoka kwa...
Nafikiria kuanzisha kampuni ya kupandisha wageni mlima kilimanjaro. Kwa sasa ninachojua ni kwamba.
Lazima uwe na kampuni iliyosajiliwa BRELA na TRA.
Sio lazima kuwa na gari. Magari ya kuwachukua...
Jambo wakuu. Nimechukulia usajili wa line za simu kama fursa kwa upande wangu, hivyo naomba mwenye ABC's kuhusu namna ya kuwa wakala wa kusajili line kwa finga- print anifahamishe yafuatayo:
1...
Naombeni ushauri nataka kuacha kazi ya kuajiriwa maana naona wanazingua now nataka niingie kwenye biashara ya kuosha pikipiki na magari.
Jetwasher nzuri na original zinauzwaje iwe used au mpya...
Mmnamo mwezi wa 10 mwaka jana baada ya kuona hali ya maisha inazidi kuwa ngumu, niliona bora niingize gari yangu kwenye hizi uber/taxify. Basi nikapata kijana mmoja akaniomba nimpe gari kwa...
Nilikuwa na vibiashara vyangu na Connection tamu na nzuri sana kutoka huko Aliexpress, Alibaba na mitandao mingi tu ya China kuhusu bidhaa.
Nilikuwa nishajenga hadi mahusiano ya ukaribu na...
Habari wanazengo,
Leo hii nimekuja kumaliza misconceptions na mijadala ya uoga waliokua nayo vijana mitaani, nimekua nikiona nyuzi nyingi humu zikiwapotosha vijana kuhusu uhitaji na vigezo vya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.